Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
wana real estates nyingi tu, wana machines, hata Mabwawa ya kuzalisha umeme na hata hili jipya la Nyerere nafikiri ni Mali ya tanesco yetu pia na vyote hivi tumejenga kwa kodi zetu hata kama tulichukuwa mkopo lkn tunalipia kwa kodi zetu, sasa mali za tanesco zitakwenda kwa mnunuzi wa tanesco pia au itakuwaje ?
nakumbuka tanganyika packers kawe muhindi adamje wakati wa awamu ya 4 aliipewa akafungua na kubeba machines zote za kutengenezea nyama akaenda kujenga kiwanda nchi nyingine leo hii tanganyika packers ni magofu.
come back afrika, …
nakumbuka tanganyika packers kawe muhindi adamje wakati wa awamu ya 4 aliipewa akafungua na kubeba machines zote za kutengenezea nyama akaenda kujenga kiwanda nchi nyingine leo hii tanganyika packers ni magofu.
come back afrika, …