Haya mateso tunayopata kama wananchi ni makubwa mno, umeme unakatika hujui unakatwa saa ngapi wala unarudi saa ngapi, tofauti na nchi za wenzetu hata kama kuna tatizo basi ratiba ifahamike na wahusika hao wakata umeme waifuate sio wanajiamulia tu, sisi kama wateja tuna haki ya kufahamu ili tujipange kwenye shughuli zetu za uchumi na kijamii.
Leo kwa mfano hapa karibu na shule ya liberman Mbezi beach wamekata tangu saa kumi jioni hadi sasa saa tisa alfajiri hawajarudisha huku kawaida tumezoea wakikata saa kumi jioni basi saa tano usiku wanarudisha sasa hatuelewi leo bwana mkata umeme labda starehe zimemzidi katusahau au kazidiwa na usingizi, ila kwa mateso haya nayoyapata nasali hapa namuomba mungu wafanyakazi wote wa TANESCO na mawaziri wao walaaniwe wao na vizazi vyao mungu naomba ujibu maombi yangu. Amen.
Leo kwa mfano hapa karibu na shule ya liberman Mbezi beach wamekata tangu saa kumi jioni hadi sasa saa tisa alfajiri hawajarudisha huku kawaida tumezoea wakikata saa kumi jioni basi saa tano usiku wanarudisha sasa hatuelewi leo bwana mkata umeme labda starehe zimemzidi katusahau au kazidiwa na usingizi, ila kwa mateso haya nayoyapata nasali hapa namuomba mungu wafanyakazi wote wa TANESCO na mawaziri wao walaaniwe wao na vizazi vyao mungu naomba ujibu maombi yangu. Amen.