TANESCO kufanya ukarabati na Maboresho ya Miundombinu ya umeme kwenye baadhi ya Maeneo ya Dar es Salaam, Septemba 1 na 3, 2023

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,554
IMG_8355.jpeg
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa kutakuwa na ukarabati na maboresho ya miundombinu kwenye njia kuu ya kusafirishia Umeme ya Msongo wa Kilovoti 132 Mbagala - Dege na Kurasini siku ya ljumaa, tarehe 01 Septemba ,2023 na Jumapili, tarehe 03 Septemba, 2023 kuanzia saa mbili kamili asubuhi (02:00) hadi saa kumi na mbili kamili za joni (12:00).

Sababu ya kufanya karabati na maboresho haya ni kuimarisha miundombinu ya umeme inayozunguka njia hiyo.

Umuhimu wa kazi hi ni kumarisha hali ya upatikanaji wa huduma ya meme kwenye maeneo yanayopata meme kutoka kwenye vituo vya kupoza Umeme vya Dege na Kurasini na hivyo kuwezesha ukuaji wa shughuli za kiuchumi.

Kutokana na kazi hi baadhi ya maeneo yatakosa huduma ya umeme kwa tarehe na muda tajwa kama ifuatavyo, baadhi ya maeneo ya Bandarini, Mbagala, Kurasini, Dege, Kibada, Mjimwema, Kisarawe II, Pemba mnazi, Avic town, Tuangoma na Geza ulole.

Tutaendelea kuwataarifu maendeleo ya kazi hiyo mpaka itakapokamilika.

Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya Umeme itakosekana.
 
hamna shida kikubwa ukarabati ufanyike ili kuboresha huduma.
pia naipongeza serikali ya jamuhuri ya mungano wa tanzania kwa kazi kubwa ya kulipambania taifa
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake kuwa kutakuwa na ukarabati na maboresho ya miundombinu kwenye njia kuu ya kusafirishia Umeme ya Msongo wa Kilovoti 132 Mbagala - Dege na Kurasini siku ya ljumaa, tarehe 01 Septemba ,2023 na Jumapili, tarehe 03 Septemba, 2023 kuanzia saa mbili kamili asubuhi (02:00) hadi saa kumi na mbili kamili za jioni (12:00).

Sababu ya kufanya ukarabati a maboresho haya ni kumarisha miundombinu ya umeme inayozunguka njia hiyo.

Umuhimu wa kazi hi ni kumarisha hali ya upatikanaji wa huduma ya meme kwene maeneo yanayopata meme kutoka kwenye vituo vya kupoza Umeme vya Dege na Kurasini na hivyo kuwezesha ukuaji wa shughuli za kiuchumi.

Kutokana na kazi hi baadhi ya maeneo yatakosa huduma ya meme kwa tarehe na muda tajwa kama ifuatavyo, baadhi ya maeneo ya Bandarini, Mbagala, Kurasini, Dege, Kibada, Mjimwema, Kisarawe II, Pemba mnazi, Avic town, Tuangoma na Geza ulole.

Tutaendelea kuwataarifu maendeleo ya kazi hiyo mpaka itakapokamilika.

Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya Umeme itakosekana.
Huku chuga tumeshazoea mishumaa asee, hadi no ya luku nimeanza kuisahau
 
Back
Top Bottom