Tanesco; Hivi kuna mgao wa umeme kimya kimya?

Aisee jana usiku huku tbt tumelala gizani!
Majuzi huyu geneous wa nishati na madini kakanusha hakuna mgawo! Killa siku umeme unakatika! Whats going on!ajiuzulu huyu ki.l.a.z.a aghrrrr
 
Wakuu huku Arusha inaenda siku ya pili sasa tunakaa tu.. hakuna kazi kisa hakuna umeme ukiuliza Tenesco wanasema ni mgao...ila ni Juzi tu hapa Ngeleja alisema mambo ni mazuri....

sasa najiuliza ni Arusha tu au ni kote....

Tueleweje kauli ya waziri husika kwamba hakuna shida ya umeme?

Bushbaby ni mgao wala usihangaike kusubiri utangaziwe utachukua takribani week 2-4. Jamaa wanaosupply gas wanafanya marekebisho katika visima vyao.
 
Wakuu huku Arusha inaenda siku ya pili sasa
tunakaa tu.. hakuna kazi kisa hakuna umeme ukiuliza Tenesco wanasema ni mgao...ila ni Juzi tu hapa Ngeleja alisema mambo ni mazuri....

sasa najiuliza ni Arusha tu au ni kote....

Tueleweje kauli ya waziri husika kwamba hakuna shida ya umeme?

mkuu usishangae huyo jamaa ni waziri wa mgao hata kwetu hivyohivyo
 
Tumekuwa tukisikia kutoka uongozi wa TANESCO kuwa mgao wa umeme umekwisha, lakini kauli hii imekuwa ni kiini macho tu, kwani mgao unaendelea kama kawaida japo hawajatangaza, kama mikoa mingine hakuna mgao lakini waulizeni watu wa Dodoma wanaoipatapata. je, tuatafika kwa hali hii? kumbukeni hii February tu.
 
Rekebish heading mkuu.
Inaonekana kama umewanukuhu Tanesco wakisema kuwa mgawo unaendelea, kumbe habari yenyewe ni tofauti na heading.
 
mambo ya tz utayaweza ndugu yangu ,,,,haya ndio maisha yetu kama kunamaisha mengine unayafikiria kutoka tz utasubiri sana.
 
mbona hata huku dar kuna maeneo kila siku lazima wakate umeme na sio chini ya masaa 4 sijui ndio mgao,yangu macho,nangoja tamko rasmi kutoka tanesco :A S-coffee:
 
Nilikuwa Morogoro umeme upo lakini hauna nguvu ya kuwasha fridge au chombo kikubwa wiki yote hii labda tv na radio tu. Clouds wamezimika pale naona hawana generator
 
Huku Tabora na maeneo ya Sikonge kuna siku nyingi za kuwa gizani kuliko siku za kuwa na umeme na sababu haieleweki make hamna taharifa yoyote kutoka popote zaidi ya wiki2 mbili sasa na watu wanaendelea kupigika kama Syria
 
Tumekuwa tukisikia kutoka uongozi wa TANESCO kuwa mgao wa umeme umekwisha, lakini kauli hii imekuwa ni kiini macho tu, kwani mgao unaendelea kama kawaida japo hawajatangaza, kama mikoa mingine hakuna mgao lakini waulizeni watu wa Dodoma wanaoipatapata. je, tuatafika kwa hali hii? kumbukeni hii February tu.

Bora wakatiwe hao jamaa walifaidi sana wkt ule wa mgao mkali kisa wabunge wa posho wakijadili masaburi alivyowaita makalio!
 
Naona Tanesco sasa wanaona soni, watatuambiaje ilhali kulikuwa na mikakati kibao ya umeme wa dharura? Kilichobaki ni kupiga mgao wa kimya kimya tu. Nobody knows unaanza lini wala utaisha lini. Kwa tafsiri rahisi "huko mbele kiza ni kinene zaidi". Na motto wao eti "We light up your life".
 
Light up your life to my foot! Hawa ni watu wa ajabu, nimetoka kuwapigia customer care wamesema kuna mgao wa dharura unarudi saa tano usiku toka asubuhi wamekata huku mbezi juu! Halafu waziri anakataa hakuna mgao, thats ridiculous!
 
Mie toka jumapili ndo wameanza aste aste na kuanzia jana wameanza kukomelea sawa sawa. Hivi wangekuwa waungwana si wangesema huu mgao ni wa kiwango gani ili walau wananchi tujipange tujuavyo wenyewe. Sasa kama haijulikani utaisha lini, hapo kazi tunayo wabongo.
 
Nilikuwa Morogoro umeme upo lakini hauna nguvu ya kuwasha fridge au chombo kikubwa wiki yote hii labda tv na radio tu. Clouds wamezimika pale naona hawana generator

ni kweli mgao upo pale pale leo kariakoo mpaka ilala hakuna umeme kabisa ni saa ya tano sasa, kuhusu wizi wa umeme hili alina ufumbuzi kwa kuwa wanaiba kiasi cha 15 v mpaka ishirini hivyo vitu ambavyo utumia umeme constant haviwaki kabisa.
 
Ingawa Tanesco hawataki kukubali, lakini hiyo ndiyo hali halisi tunayokabiliana nayo hivi sasa
 
Wakitangaza tu tariifs zinatakiwa zirudi kama ilivyokuwa kabla ya January na EWURA nao wamejificha kam wako Kenya vile.
Ingawa Tanesco hawataki kukubali, lakini hiyo ndiyo hali halisi tunayokabiliana nayo hivi sasa
 
Back
Top Bottom