Kuna mgao ndugu hilo naomba uelewe! Kwa upande wa Tabora mjini tumeanza kuzoea!.... Nenda kanunue generator!....
Kuna mgao ndugu hilo naomba uelewe! Kwa upande wa Tabora mjini tumeanza kuzoea!.... Nenda kanunue generator!....
Poleni mkuu huku Arusha hili tatizo limeanza kama wiki sasa, walituambia wanafanya service kwenye mitambo lakini wapi, service hata usiku?Kwani mgao uliisha ? tunakatiwa masaa 12 mara 3 kwa wiki zaidi ya miaka 2 sasa,nipo Dar.
Jamani ndugu zangu wanajf, naomba nipate msaada kwa hili, je ni kweli mgao wa umeme umeanza au kuna matatizo ya mitambo ya uzalishaji hii nishati?
MKUU!
Yaani wewe unauliza habari za mgao wakati ndiyo sera ya TANESCO kwa hivi sasa!!!! Sisi wa MUHEZA Tanga tulisha zoea kwamba umeme ni ANASA. Juzi waziri kasema eti TANESCO wanazalisha umeme wa ziada na hajui waupeleke wapi!! Wakati huo kaacha kazi za wizara na kwenda mikoani kupokonya CHADEMA wanachama.
Kazi ipo mkuu kama ulivyosema
Hadi 2015 mbona tutaipata?
Nina hasira sn umeme makwetu umekesha unawaka na kuzma ss wamekata toka 5 asubuh hadi ss hakuna kitu!!
wazira anamaliza taarifa yake unakatika
Tanesco wamekuwa wanasiasa! Hapa ninapoandika, nilikuwa namalizia research report yangu, umeme umekatika, laptop imeisha charge sasa nimebaki na hasira tupu. Siwapendi Tanesco, wanatuumiza sana wananchi.