tuombe tu miaka miaka yao mitatu iishe waondoke maana .
Vijijini kwenu kuna umeme? Watanzania 14% ndio wenye umeme 95% kati yao ni wa mijini.
Nyie toka mhamie mijini muujuwe umeme ndio nini basi hatusemi.
ccm ni janga kwa watz....long way to go with wrong people!!!!!!!!!!!
mkombozi wa tabu hzi ni nani.?