RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 167
watu kila kona wanalalama kwamba kwa sasa ni nadra kuwa na umeme saa 24 kwa siku[/QU
Nadhani mgao upo kinyemela; mana toka last week hadi usiku wa jana kuwa na umeme ni ishu kwa baadhi ya maeneo ya sinza