TANESCO bado hawajashusha bei ya umeme kwa mlaji

TANESCO bado hawajashusha bei ya umeme kwa mlaji

Kaa chini wewe!!! Siyo kila kitu unyooshe mkono. Unadhani hapa tunafundishana Sarufi?

Hayo ni mambo ya NETQUETTE. Alama nyingi za kuuuliza zina maana yake, kuuliza mchanganyiko na kushangaa zina maana yake, Herufi kubwa zote pia zina maana yake, Bold pia kuna maana. We vipi? Unakagua usiyoyaelewa?

Umeanza kutumia mtandao lini? Hii ni njia ya mawasiliano iliyokuja na taratibu zake jifunze jinsi ya kutumia maneno, alama na mpangilio wake. Usirukie taaluma za watu.

Taaluma ya kujaza ma question mark na ma dots?

Unazidi kuniaminisha kuwa hizo shule mnasomea ujinga.
 
Ooh! Possible. FaizaFoxy hata mimi nahisi hivyo. Sijaweza soma msg yoyote ya mtu huyu kwa lugha ya kiingereza kwa miaka yote ya vurugu zake. Hata akikasirika, hawezi weka neno la kiingereza. Hata akiamua kuringia elimu yake haonyeshi kama anajua lugha nyingine zaidi ya Kiswahili!

Mmmh mtu huyu alisomaje? Au hajawahi fika University?

Akili finyu utazijuwa tu, wewe umeona mtu akiandika Kingereza ndiyo wa maana sana. Dah! pole sana.

Amma kwa hakika unazidi kunihakikishia kuwa shule yako ulienda kusomea ujinga.
 
Naam niliwahi kuwa Mwalim lakini si Tanzania wala si shule, nilikuwa Mwalimu wa Training Institute ya...

Una maanisha training institute siyo shule?

Au ulienda shule kusomea ujinga?
 
Una maanisha training institute siyo shule?

Au ulienda shule kusomea ujinga?

Training Institute siyo shule ni aina fulani ya chuo. Shule kwa Kiswahili ni neno linalotokana na Kijerumani ambalo Kingereza chake ni School.
 
Mafunzo ya aina yoyote ni shule.
Naona madrasa imekuharibu.
 
hawa TANESCO sina hamu nao!!jana nimeweka ka 10,000 naambulia unit 27.7,yaani unit 1 sasa ni kama sh 366!!kweli october watatuambia hawa!!
 
Akili finyu utazijuwa tu, wewe umeona mtu akiandika Kingereza ndiyo wa maana sana. Dah! pole sana.

Amma kwa hakika unazidi kunihakikishia kuwa shule yako ulienda kusomea ujinga.

Sina ubishi nawe maana kwa ujinga wewe ni mtaalamu.
 
Taalua ya kujaza ma question mark na ma dots?

Unazidi kuniaminisha kuwa hizo shule mnasomea ujinga.

Ujinga ni tabia ya kukataa kujifunza. Nakuagiza tena soma Netquette. Kama hujawahi sikia neno hilo, tumia google, ni vizuri tu! Usitegemee taaluma ya sarufi na fasihi ya ile shule ya Saint Halima ulikosoma.
 
Ujinga ni tabia ya kukataa kujifunza. Nakuagiza tena soma Netquette. Kama hujawahi sikia neno hilo, tumia google, ni vizuri tu! Usitegemee taaluma ya sarufi na fasihi ya ile shule ya Saint Halima ulikosoma.

= Netiquette

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
= Netiquette

Kwi kwi kwi teh teh teh.

Pole! Etiquette then Internet etiquette= coined words; netiquette =netquette. Usikariri it's a coined word. Google ni nzuri lakini kwa walioenda shule, siyo wewe.
Umeachana na kufundisha sarufi? Eti ni vibaya kutumia alama ya kuuliza zaidi ya moja! Eti dot dot mwisho ni tatu.

Mwalimu wa madrasa. Vipi kile kitabu cha Salman Rushdie, ulishakisoma? Au kigumu sana?
 
Pole! Etiquette then Internet etiquette= coined words; netiquette =netquette. Usikariri it's a coined word. Google ni nzuri lakini kwa walioenda shule, siyo wewe.
Umeachana na kufundisha sarufi? Eti ni vibaya kutumia alama ya kuuliza zaidi ya moja! Eti dot dot mwisho ni tatu.

Mwalimu wa madrasa. Vipi kile kitabu cha Salman Rushdie, ulishakisoma? Au kigumu sana?

Hata haya huoni? Nimekubamba tena kuwa u finyu sana, kubali tu ulikosea na Maalim wa madrassa kakusahihisha. Usione haya.

NETIQUETTE is network etiquette or etiquette in technology, haijawahi kuwa "netquette" kama utakavyo, itakuwaje hivyo unavyolazimisha wakati hiyo ni "etiquette" in technology. Fikiri, kama una uwezo huo.

Nenda kawadanganye misukule wenzako au walimu waliokujaza ujinga si FaizaFoxy.

Au waite wenzako wanaojuwa kutumia "google" wakusaidie, ujione ulivyopotoka kwa kutaka kung'ang'aniza kisichokuwepo.

Ningekuona wa maana sana ungekubali tu kuwa umekosea, au japo baada ya kuujuwa usahihi ungejidai tu kuwa ni "typo" ningekuelewa, lakini kung'ang'ania kisichokuwepo, khaa! hapo umejionesha how shallow you are.

Huwa sikisii.

Punguani wahed.
 
Hata haya huoni? Nimekubamba tena kuwa u finyu sana, kubali tu ulikosea na Maalim wa madrassa kakusahihisha. Usione haya.

NETIQUETTE is network etiquette or etiquette in technology, haijawahi kuwa "netquette" kama utakavyo, itakuwaje hivyo unavyolazimisha wakati hiyo ni "etiquette" in technology. Fikiri, kama una uwezo huo.

Nenda kawadanganye misukule wenzako au walimu waliokujaza ujinga si FaizaFoxy.

Au waite wenzako wanaojuwa kutumia "google" wakusaidie, ujione ulivyopotoka kwa kutaka kung'ang'aniza kisichokuwepo.

Ningekuona wa maana sana ungekubali tu kuwa umekosea, au japo baada ya kuujuwa usahihi ungejidai tu kuwa ni "typo" ningekuelewa, lakini kung'ang'ania kisichokuwepo, khaa! hapo umejionesha how shallow you are.

Huwa sikisii.

Punguani wahed.

Vipi swali langu, kile kitabu cha Salman Rushdie, ulishakisoma? Au kigumu sana?
 
Vipi swali langu, kile kitabu cha Salman Rushdie, ulishakisoma? Au kigumu sana?

Huwa sisomi upuuzi. Hivyo soma wewe vikujaze ujinga.

Nnaamini ujinga ni gene-imprint, nawe ni contender.
 
Huwa sisomi upuuzi. Hivyo soma wewe vikujaze ujinga.

Nnaamini ujinga ni gene-imprint, nawe ni contender.

Soma wewe! Anayekukosoa siyo mjinga. Msome Rushdie uondoe indoctrination.

Btw, gene-imprit ndo nini? ulitaka kuandika geneimprint? ondoa hyphen maana hakuna neno kama hilo. Au umekosea kama mimi hapo zamani?
Then matumizi ya neno geneimprit ulivyolitumia ni makosa kabisa. hiyo ni kujaribu hitchhiking ya taaluma isiyokuwa yako. You need 6 months of learning elementary genetics. Knowing first meiosis and mitosis before venturing into detailed genomic matters.
 
Soma wewe! Anayekukosoa siyo mjinga. Msome Rushdie uondoe indoctrination.

Btw, gene-imprit ndo nini? ulitaka kuandika geneimprint? ondoa hyphen maana hakuna neno kama hilo. Au umekosea kama mimi hapo zamani?
Then matumizi ya neno geneimprit ulivyolitumia ni makosa kabisa. hiyo ni kujaribu hitchhiking ya taaluma isiyokuwa yako. You need 6 months of learning elementary genetics. Knowing first meiosis and mitosis before venturing into detailed genomic matters.

Naona huna jipya, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Tatizo lako kubwa ni shule uliyoenda ulienda kusomea ujinga.
 
Naona huna jipya, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Tatizo lako kubwa ni shule uliyoenda ulienda kusomea ujinga.

Uzuri wangu ni uwiano wa ukubwa wa mwili na akili uko safi! Rushdie nilishamsoma, Ahmed Deedat nilishamsikiliza pia. wewe unajivunia nini zaidi ya kusifia tuuu! Kikwete Kikwete Kikwete! It is almost synonymous to saying kichwa chako ni Kikwete wewe huna kichwa!

Ukweli na uchizi naujuwa, Sayansi niko fit, Uchumi niko fit, Sayansi jamii niko fit, hesabu niko fit! What next? Lugha? English kwangu safi, Je suis bien en français et. Si unaona avatar yangu ilivyotofauti na yako?

Utanisimulia nini mtu kama wewe? Unadandia mambo ya genetics wakati umesoma madrasa na 'shule' za kikwete! Weeee!
 
Uzuri wangu ni uwiano wa ukubwa wa mwili na akili uko safi! Rushdie nilishamsoma, Ahmed Deedat nilishamsikiliza pia. wewe unajivunia nini zaidi ya kusifia tuuu! Kikwete Kikwete Kikwete! It is almost synonymous to saying kichwa chako ni Kikwete wewe huna kichwa!

Ukweli na uchizi naujuwa, Sayansi niko fit, Uchumi niko fit, Sayansi jamii niko fit, hesabu niko fit! What next? Lugha? English kwangu safi, Je suis bien en français et. Si unaona avatar yangu ilivyotofauti na yako?

Utanisimulia nini mtu kama wewe? Unadandia mambo ya genetics wakati umesoma madrasa na 'shule' za kikwete! Weeee!

Huna jipya hapo.

Kikwete kakukaa rohoni, aliyoyafanya Kikwete kwa miaka 9, changanya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na mkoloni wao hawayafikii hata nusu yake. Kumbuka hilo.

Huna jipya, nnajuwa imekuuma sana kukusahihisha kwenye "Netiquette" sasa unatokwa povu lisilo mfano.

Jinsi ulivyoandika tu na kujisifu unaonesha kuwa shule ulienda kusomea ujinga.

Huwa sikisii.
 
Huna jipya hapo.

Kikwete kakukaa rohoni, aliyoyafanya Kikwete kwa miaka 9, changanya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na mkoloni wao hawayafikii hata nusu yake. Kumbuka hilo.

Huna jipya, nnajuwa imekuuma sana kukusahihisha kwenye "Netiquette" sasa unatokwa povu lisilo mfano.

Jinsi ulivyoandika tu na kujisifu unaonesha kuwa shule ulienda kusomea ujinga.

Huwa sikisii.

Kunisahihisah neno Netiquette siyo tatizo kwangu. Jisikie huru kukosolewa kama nilivyokukosoa kwa kuandika gene-imprint. Nadhani nilienda mbali na kukuonyesha kwamba hukulitumia vizuri, hiyo ni kusema hukujua hata maana yake, Nimeishi maisha ya shule, kwenye kukosea na kukosolewa.

Najua jina Kikwete kwako ni zaidi ya Rais. Alikutoa kwenye NGO hadi kukupa ukurugenzi, lakini hiyo siyo sababu ya kukufanya ujisisike ndoa na mtu wa jinsia moja nawe.
 
Back
Top Bottom