TANESCO bado hawajashusha bei ya umeme kwa mlaji

TANESCO bado hawajashusha bei ya umeme kwa mlaji

Kama ni hivi hatuendi kokote. Sayansi gani unayozungumzia? Hata upendeleo ni sayansi? Utawezaje sayansi ktk siasa wakati shuleni ilikushinda?

Hebu tuamini kwamba ametumia sayansi, ni shule ipi au chuo kipi unachoamini kakianzisha profesa wetu, ambacho ni mfano wa mafanikio? Mafanikio ya mtu anayefaa, usiniletee mfano wa mtu sifuri.

Unaoesha huelewi kuna "Political Science".

Si kila elimu inapatikana darasani, kumbuka hilo, wengi waliofanya vizuri kwenye maisha hawakufanya vizuri mashuleni, utasema hawana elimu? Jee, hulijuwi hilo?
 
Unaoesha huelewi kuna "Political Science".

Si kila elimu inapatikana darasani, kumbuka hilo, wengi waliofanya vizuri kwenye maisha hawakufanya vizuri mashuleni, utasema hawana elimu? Jee, hulijuwi hilo?

Naona unaanzaa ku-edit maandiklo yako. Kwa nini useme sayansi sasa unasema politcal science. Unamaanisha sayansi jamii? Kama ndo hivyo kwa nini useme sayansi. Always qualify your statements.

Kama unaamini wengi waliofanya vizuri ktk maisha hawakufanya vizuri shuleni. Wewe inakupa faraja gani? Huo ni mfano wa kuigwa ktk familia yako? That will be concluded to imply failure-norm!

Hata hivyo niliuliza, katimia sayansi gani? Nijibu basi badala ya kunizungusha dunia nzima. Je, upendeleo ndo sayansi? Shule za kata ndo sayansi?
 
Naona unaanzaa ku-edit maandiklo yako. Kwa nini useme sayansi sasa unasema politcal science. Unamaanisha sayansi jamii? Kama ndo hivyo kwa nini useme sayansi. Always qualify your statements.

Kama unaamini wengi waliofanya vizuri ktk maisha hawakufanya vizuri shuleni. Wewe inakupa faraja gani? Huo ni mfano wa kuigwa ktk familia yako? That will be concluded to imply failure-norm!

Hata hivyo niliuliza, katimia sayansi gani? Nijibu basi badala ya kunizungusha dunia nzima. Je, upendeleo ndo sayansi? Shule za kata ndo sayansi?

Kumbe nnajibizana na mtu ambae upeo wake umeishia kwenye pua yake. Sasa wewe ulifikiri siasa kama haihusiani na jamii inahusiana na nani?

Na bila kuielewa sayansi ya siasa utakuwa mwana siasa au utakuwa kama babu Slaa anaemwambia Body Guard akamalizane na mama nyumbani? Fikiri.
 
Kumbe nnajibizana na mtu ambae upeo wake umeishia kwenye pua yake. Sasa wewe ulifikiri siasa kama haihusiani na jamii inahusiana na nani?

Na bila kuielewa sayansi ya siasa utakuwa mwana siasa au utakuwa kama babu Slaa anaemwambia Body Guard akamalizane na mama nyumbani? Fikiri.

Tangu ningundue kwamba wewe ni mfuasi wa CCM nimedhalau sana hata uandikaji wako. Sioni uelewa wowote kwa mwana CCM kama Mkiti ndo yule! Katibu mkuu ndo yule! mwenezi ndo huyo! Uelewa uko wapi?

FaizaFoxy! Uelewa wako uko chini munoo! hujui kingine zaidi ya siasa za CCM na chadema. Yeyote asiyekubali ya Profesa JK basi anamfuata Slaa. That is rubbish of yours.

Umesema Kikwete katumia sayansi, nimekuuliza sayansi gani hiyo? Au upendeleo ndo sayansi? Ukarekebisha kwamba political science. Nimekuuliza tena sayansi na sayansi jamii viko sawa? hujui la kujibu sasa unaanza mambo ya slaa.Slaa ananihusu nini? Kikwete ananihusu nini? Lame duck!

Kwa nini unajibu maswali ambayo hujaulizwa?
 
Tangu ningundue kwamba wewe ni mfuasi wa CCM nimedhalau sana hata uandikaji wako. Sioni uelewa wowote kwa mwana CCM kama Mkiti ndo yule! Katibu mkuu ndo yule! mwenezi ndo huyo! Uelewa uko wapi?

FaizaFoxy! Uelewa wako uko chini munoo! hujui kingine zaidi ya siasa za CCM na chadema. Yeyote asiyekubali ya Profesa JK basi anamfuata Slaa. That is rubbish of yours.

Umesema Kikwete katumia sayansi, nimekuuliza sayansi gani hiyo? Au upendeleo ndo sayansi? Ukarekebisha kwamba political science. Nimekuuliza tena sayansi na sayansi jamii viko sawa? hujui la kujibu sasa unaanza mambo ya slaa.Slaa ananihusu nini? Kikwete ananihusu nini? Lame duck!

Kwa nini unajibu maswali ambayo hujaulizwa?

Hebu rekebisha niliyokuwekea nyekundu halafu urudi tena nikupe darsa la "Political Science".
 
CCM ni majizi, nilijua yamepunguza bei kumbe wapi. Unampunguzia mfanyabiashara ambaye mwisho wa siku mlaji wa mwisho ndo anayelipia hiyo huduma, this is shame
 
Nani ale umeme? Weee unadhani hatuogopi kuungua
 
Hebu rekebisha niliyokuwekea nyekundu halafu urudi tena nikupe darsa la "Political Science".

Unajua maana ya typography? Kama unajua, basi ondoa mstari wako JF. Typos hazimuondolei mtu ufahamu, lakini uandikaji wako ni wazi kwamba uelewa wako ni mdogo. Sasa eti unaomba kufundisha watu political science, why apply for such useless job? Are you not becoming succulent to your own brain? Political?! Am apolitical, advise to be otherwise.
 
Serikali ilishindwa siku nyingi sana kusimamia biashara na ilishajitowa katika biashara toka enzi ya Mwinyi, lakini naona hili shirika watu wanafanya kila njia kulibakisha Serikalini ili liwe ndiyo sehemu ya kujichotea, kwani biashara yake ni kubwa sana.

Hayo ma "coma" uliyoyajaza katika maandiko yako maana yake nini? Ndivyo mwalimu wako alivyokufundisha namna ya kutumia "coma" hivyo?

Unazidi kutuhakikishia kuwa hizo shule mlienda kusomea ujinga.

Hivi uliwahi kuwa mwalimu?
 
Jibu swali faiza mbona unakwepa???....... Kweli wewe mwanasiasa......

Ukiandika, question mark moja inatosha, huna sababu ya kuweka zaidi ya moja sehemu moja. Na dots huwa ni tatu... amma kabla maandiko ay baada ya maandiko zikiashria kuna maneno kabla na si lazima kuyaweka na ikiwa baada ya neno basi inaashiria kuna maneno baada ya hayo lakini si muhimu kuyaweka, mara nyingi ikiwa unam "quote" mtu.

Sasa sijui mwenzetu hizo dots zako zinakusudia nini? maana elimu ni pana, haya tujuze.
 
Tangu ningundue kwamba wewe ni mfuasi wa CCM nimedhalau sana hata uandikaji wako. Sioni uelewa wowote kwa mwana CCM kama Mkiti ndo yule! Katibu mkuu ndo yule! mwenezi ndo huyo! Uelewa uko wapi?

FaizaFoxy! Uelewa wako uko chini munoo! hujui kingine zaidi ya siasa za CCM na chadema. Yeyote asiyekubali ya Profesa JK basi anamfuata Slaa. That is rubbish of yours.

Umesema Kikwete katumia sayansi, nimekuuliza sayansi gani hiyo? Au upendeleo ndo sayansi? Ukarekebisha kwamba political science. Nimekuuliza tena sayansi na sayansi jamii viko sawa? hujui la kujibu sasa unaanza mambo ya slaa.Slaa ananihusu nini? Kikwete ananihusu nini? Lame duck!

Kwa nini unajibu maswali ambayo hujaulizwa?

hujui kuwa anatafuta ukuu wa mkoa? Hta serikali ifanye vby wao watasema ok kwa kuwa wanajua wasipofanya hvyo hawawezi kupewa buku7.
 
hujui kuwa anatafuta ukuu wa mkoa? Hta serikali ifanye vby wao watasema ok kwa kuwa wanajua wasipofanya hvyo hawawezi kupewa buku7.

Kwani huyu FaizaFoxy naye ni mtoto si riziki? Maana hao wakuu wa wilaya? Hao wakuu wa mikoa? Suruali itamshuka tu!
 
Madrasa, Pakistan

Ooh! Possible. FaizaFoxy hata mimi nahisi hivyo. Sijaweza soma msg yoyote ya mtu huyu kwa lugha ya kiingereza kwa miaka yote ya vurugu zake. Hata akikasirika, hawezi weka neno la kiingereza. Hata akiamua kuringia elimu yake haonyeshi kama anajua lugha nyingine zaidi ya Kiswahili!

Mmmh mtu huyu alisomaje? Au hajawahi fika University?
 
Ukiandika, question mark moja inatosha, huna sababu ya kuweka zaidi ya moja sehemu moja. Na dots huwa ni tatu... amma kabla maandiko ay baada ya maandiko zikiashria kuna maneno kabla na si lazima kuyaweka na ikiwa baada ya neno basi inaashiria kuna maneno baada ya hayo lakini si muhimu kuyaweka, mara nyingi ikiwa unam "quote" mtu.

Sasa sijui mwenzetu hizo dots zako zinakusudia nini? maana elimu ni pana, haya tujuze.


Kaa chini wewe!!! Siyo kila kitu unyooshe mkono. Unadhani hapa tunafundishana Sarufi?

Hayo ni mambo ya NETQUETTE. Alama nyingi za kuuuliza zina maana yake, kuuliza mchanganyiko na kushangaa zina maana yake, Herufi kubwa zote pia zina maana yake, Bold pia kuna maana. We vipi? Unakagua usiyoyaelewa?

Umeanza kutumia mtandao lini? Hii ni njia ya mawasiliano iliyokuja na taratibu zake jifunze jinsi ya kutumia maneno, alama na mpangilio wake. Usirukie taaluma za watu.
 
Gharama za kuzalisha umeme zimeshuka kwa 50% lakini inashangaza kwamba TANESCO bado hawajashusha bei za umeme kwa kiwango cha kuridhisha.

Zamani wateja wa kikabwela (KCC) tulikuwa twapata unit 2.7 kwa gharama ya Tsh 1000. Baada ya hili punguzo feki (linalopigiwa kelele sana na serikali kwa sababu ya kukaribia uchaguzi mkuu wa Oktoba), sasa mlaji hupata unit 2.8 kwa thamani ya Tsh 1000! Maana yake ni kwamba kwa kila Tsh 10,000 unapata unit 1 ya umeme! Hii ni dharau, kebehi na kejeli kwa wavuja jasho wa nchi hii.

Badala haya mafisadi yashushe bei ya umeme kwa walalahoi, wamefanya hivyo kwa wafanyabiashara na mapapa wakubwa ambao wana uwezo mkubwa wa kulipia umeme. Ni bora hili punguzo la kipuuzi liondolewe badala ya serikali kujitapa kwamba wameshusha bei ya umeme wakati hawajashusha chochote.

Ndugu zangu, nyie wote ni mashahidi mnapolipia ankara za umeme mahali mlipo. Ifike wakati tufunguke akili na kuing'olea mbali hii serikali ya wachumia tumbo mwezi Oktoba. Tusikubali kudanganywa tena na haya mafisadi.
Tanesco ndio chaka kuu la ufisadi,mafisadi hawako tayari bei ya umeme ishuke kwani itaadhiri vipato vyao kutoka kwa misukule yao...
 
Back
Top Bottom