willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Hatimaye nimepata barua pepe ya usaili tarehe 20 mwezi huu toka mwaka jana mwezi wa kumi na mbili ila nasikitika sitokwenda kufanya nataka nijiajiri tu.
Usaili wa TANAPA siwezi haribu nauri wakati najua hata kupata field mpaka ujuane na mtu wa TANAPA.
Asanteni TANAPA ila sitokuja.
Usaili wa TANAPA siwezi haribu nauri wakati najua hata kupata field mpaka ujuane na mtu wa TANAPA.
Asanteni TANAPA ila sitokuja.