Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 466
- 538
Nimekosa nafasi ya usaili nikiambiwa sikuhakiki vyeti kwa mwanasheria ilihali nilifanya hivyo na vyote kwenye mfumo vimehakikiwa
MIMI NIMEKOSA KUITWA USAILI HIZI AJIRA 800 ZA MAENDELEO YA JAMII ETI WANANAMBIA VYETI HAVIKUHAKIKIWA NA KUPIGWA MUHURI MWANASHERIA AU MAHAKAMANI CHA AJABU VYOTE VYOTE NIMEVYOWEKA VINA MUHURI WA MWANASHERIA NA HUYO HUYO MWANASHERIA ALITUPIGIA MUHURI WATU TULIKUA KAMA 20 HIVI KILA MTU NA VYETI VYAKE CHA AJABU WOTE WAMEPATA MIMI TU NDO NIMEKOSA
NA HII NDO SABABU YA MIMI KUTOITWA KWENYE USAILI LAKINI SIO KOSA LANGU WAKUU
Nishaurini nifanyeje maana imekua ajabu sana kwangu kila kitu niliambatanisha inavyotakiwa lakini imekua hivyo usaili utaanza tarehe 8
Naombeni msaada wa haraka ni kama nimechanganyikiwa hivi
.
.
.
.
.
.
LEO JULY 6 WAMEFANIKIWA KUNIPA HAKI YANGU FINALLY....NAMI NIMO DAAAAH ASANTE MUNGU.....ASANTENI SANA WANAJAMIIFORUM.........Nashukuruni sana kwa mawazo yenu bila nyie nisingeweza kujua napaswa kufanya nini....Hatimaye namimi jina limetoka nimepata namba ya usaili
MIMI NIMEKOSA KUITWA USAILI HIZI AJIRA 800 ZA MAENDELEO YA JAMII ETI WANANAMBIA VYETI HAVIKUHAKIKIWA NA KUPIGWA MUHURI MWANASHERIA AU MAHAKAMANI CHA AJABU VYOTE VYOTE NIMEVYOWEKA VINA MUHURI WA MWANASHERIA NA HUYO HUYO MWANASHERIA ALITUPIGIA MUHURI WATU TULIKUA KAMA 20 HIVI KILA MTU NA VYETI VYAKE CHA AJABU WOTE WAMEPATA MIMI TU NDO NIMEKOSA
NA HII NDO SABABU YA MIMI KUTOITWA KWENYE USAILI LAKINI SIO KOSA LANGU WAKUU
Nishaurini nifanyeje maana imekua ajabu sana kwangu kila kitu niliambatanisha inavyotakiwa lakini imekua hivyo usaili utaanza tarehe 8
Naombeni msaada wa haraka ni kama nimechanganyikiwa hivi
.
.
.
.
.
.
LEO JULY 6 WAMEFANIKIWA KUNIPA HAKI YANGU FINALLY....NAMI NIMO DAAAAH ASANTE MUNGU.....ASANTENI SANA WANAJAMIIFORUM.........Nashukuruni sana kwa mawazo yenu bila nyie nisingeweza kujua napaswa kufanya nini....Hatimaye namimi jina limetoka nimepata namba ya usaili