Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Ting unaijua mkuu?Kama kituo kipi
Hakuna kitu cha Mkristo kina huo ulimbukeni.
Labda kama ni channel ya kikristo TU kama ilivyo channel za kiislam parse
Lakini sio TV ya hapa Bongo
Ting unaijua mkuu?Kama kituo kipi
Hakuna kitu cha Mkristo kina huo ulimbukeni.
Labda kama ni channel ya kikristo TU kama ilivyo channel za kiislam parse
Lakini sio TV ya hapa Bongo
Brother nunua kingamuzi cha TINGMpumbavu ni wewe unaefikiria Mwenye Azam ahamue yeye Cha kuwaonyesha wateja wake Kama unavyofikiri.Baada ya kumshauri mnaanza kuwaona watu wapumbavu.Wateja wana haki ya Msingi malalamiko yamejaa Kila Kona na hii ni thread ya pili Kuna Jambo lazima lifanyiwe kazi.Kama anataka yeye Nini Cha kuonyesha hasingefanya biashara ingekuwa ya yeye na familia yake pamoja na dini yake.Samahani kama nimekukwaza lakini walahu nimejibu kulingana na comment yako.
Uislam unakuudhi nini kijana? Mbona una mafundisho mema. Kipi kibaya ulichokiona kwenye Uislam, hata uudhike kiasi hicho?Kumbe na wewe umeliona mkuu...
Yani ni uislam tupu,hata watangazaji wao asilimia 97 ni waislam
Hata wewe umeingia mkenge wa wana dini????Mimi mwenyewe nilitoka kuongea Hilo last week
Uislam unakuudhi nini kijana? Mbona una mafundisho mema. Kipi kibaya ulichokiona kwenye Uislam, hata uudhike kiasi hicho?
Nakwambia acha upimbavu kumpangia mtu cha kufanya.
Hata wewe umeingia mkenge wa wana dini????
Hapo nimeudhika wap mkuu?Uislam unakuudhi nini kijana? Mbona una mafundisho mema. Kipi kibaya ulichokiona kwenye Uislam, hata uudhike kiasi hicho?
Nijuavyo mkubwa wa hiyo TV ni Dustan Tido Mhando, huyo kama ni Muislam au Mhindi basi anachotenda si haki.Hapo nimeudhika wap mkuu?
Mimi nimesema mtoa mada yupo sahihi azam hata waajiriwa wao ni waislam wengi, na kwenye position za juu wapo wahindi tupu..wanatakiwa wajitafakari nankubalance mambo kama ipp media
Mimi sio mkristo
Masikini hivi tido ni muislam nenda kaulize position yake pale halafu ingia upande wa finance IPP uangalie wahindi wapo wangapi usifikie conclusion bila reseach halafu by the way sheria hamkatazi mtu binafsi kuajiri watu awatakao. Ila naomba uniambie TBC katika ile top management waislamu wapo wangapi halafu uje unyooshee vidole kampuni za watu waliotafuta pesa bila ya msaada wa mtu leo hii unawapangia wamuajiri nani kweli nyie jamaa mnamakubwa mnayoyaficha nyoyoni mwenuHapo nimeudhika wap mkuu?
Mimi nimesema mtoa mada yupo sahihi azam hata waajiriwa wao ni waislam wengi, na kwenye position za juu wapo wahindi tupu..wanatakiwa wajitafakari nankubalance mambo kama ipp media
Mimi sio mkristo
Ni kweli Azam amejaza vibagalashia tu kwenye tv lake. Bora nirudi dstvHawa jamaa ni chuki tu inawasumbua.muulize huko azam ni mambo mangapi yanaoneshwa ambayo hayana uhusiano wowote na uislam?
Ukweli lazima usemwe.Kanunue Ting na wewe uangalie waefaso