Tamthilia za Azam tv zina Udini

Tamthilia za Azam tv zina Udini

Status
Not open for further replies.
Mbona wakristo mnakerwa sana na mambo ya kiislamu?
Nyie si mna tv zenu kama agape,emanuele na zingine ambazo ziko kwenye azam upande wa other chanel?
Hivu wangekua wadini wangeziweka? Hivi kwenye agape kuna chanel za kiislam kama kwenye azam walivyoweka?
We mwandishi acha chuki,uwe mkweli,hiki ninachosema ni uongo?
Kama utathibitisha mimi ni muongo,tuma namba hata ya jirani yako nakurushia laki moja hapa hapa na muamala ntauweka hewani kila mtu asome.
Shukrani.
 
Wacha upumbavu wewe! Nani kakulazimiasha uangalie, tv yake mwenyewe kwanini unataka kumpangia cha kuonyesha.
Hivi hiki kituo cha Azam tv mbona kinarusha vipindi vinavyoeneza Dini moja kupitia lugha ya kiswahili.Dini nyingine zipo kwenye kipengele cha other channels.
mfano hiyo tamthilia inayoitwa Uhuru imejaa udini na inaonesha kukandamiza dini nyingine.
tamthilia ya sultan iliyoisha vivyo hivyo.mie naamini nchi yetu haina udini.
Ombi;basi angalau kama nyie luninga yenu mnataka thawabu wekeni vipindi vya dini nyingine pia.msitumie channel zenu kukandamiza dini zingine kwani sio nyie tu mnalipia ving'amuzi.
 
Hivi hiki kituo cha Azam tv mbona kinarusha vipindi vinavyoeneza Dini moja kupitia lugha ya kiswahili.Dini nyingine zipo kwenye kipengele cha other channels.
mfano hiyo tamthilia inayoitwa Uhuru imejaa udini na inaonesha kukandamiza dini nyingine.
tamthilia ya sultan iliyoisha vivyo hivyo.mie naamini nchi yetu haina udini.
Ombi;basi angalau kama nyie luninga yenu mnataka thawabu wekeni vipindi vya dini nyingine pia.msitumie channel zenu kukandamiza dini zingine kwani sio nyie tu mnalipia ving'amuzi.

Kuna ukweli hiyo tamthiliya ya Sultan ina chembe chembe za imani ya dini ya kiislamu! Na pia huwezi kuitenganisha hiyo tv na hiyo imani kwa sababu hata mmiliki wake (Mzee Bakhresa) anatokea kwenye imani hiyo!

Lakini mtoa mada, umeangalia Azam tv hiyo hiyo chaneli ya Azam One saa moja kamili jioni kila siku za jumatatu mpaka ijumaa?
Kuna tamthiliya ya Kimexico ya Silvana; (Miss Chives) ambayo ukiangalia maudhui yake, utagundua pasipo shaka; dini iliyopewa kipaumbele mle ni ya Katoliki! Hivyo siwezi kuunga mkono hoja! Sema Azam tv wamekuwa na utaratibu wa kuonesha tamthiliya nyingi kutoka Uturuki! mfano ni Secret, hiyo Sultan, na nyinginezo nyingi!
 
Hivi hiki kituo cha Azam tv mbona kinarusha vipindi vinavyoeneza Dini moja kupitia lugha ya kiswahili.Dini nyingine zipo kwenye kipengele cha other channels.
mfano hiyo tamthilia inayoitwa Uhuru imejaa udini na inaonesha kukandamiza dini nyingine.
tamthilia ya sultan iliyoisha vivyo hivyo.mie naamini nchi yetu haina udini.
Ombi;basi angalau kama nyie luninga yenu mnataka thawabu wekeni vipindi vya dini nyingine pia.msitumie channel zenu kukandamiza dini zingine kwani sio nyie tu mnalipia ving'amuzi.
Yaani umechelewa sana kufahamu hilo.
 
Hivi hiki kituo cha Azam tv mbona kinarusha vipindi vinavyoeneza Dini moja kupitia lugha ya kiswahili.Dini nyingine zipo kwenye kipengele cha other channels.
mfano hiyo tamthilia inayoitwa Uhuru imejaa udini na inaonesha kukandamiza dini nyingine.
tamthilia ya sultan iliyoisha vivyo hivyo.mie naamini nchi yetu haina udini.
Ombi;basi angalau kama nyie luninga yenu mnataka thawabu wekeni vipindi vya dini nyingine pia.msitumie channel zenu kukandamiza dini zingine kwani sio nyie tu mnalipia ving'amuzi.
acha fitana mkuu.
Sultan watu wake ni waislam lakini ni moderate na hakuna popote walipoitumia kueneza udini.
 
Wacha upumbavu wewe! Nani kakulazimiasha uangalie, tv yake mwenyewe kwanini unataka kumpangia cha kuonyesha.
Mpumbavu ni wewe unaefikiria Mwenye Azam ahamue yeye Cha kuwaonyesha wateja wake Kama unavyofikiri.Baada ya kumshauri mnaanza kuwaona watu wapumbavu.Wateja wana haki ya Msingi malalamiko yamejaa Kila Kona na hii ni thread ya pili Kuna Jambo lazima lifanyiwe kazi.Kama anataka yeye Nini Cha kuonyesha hasingefanya biashara ingekuwa ya yeye na familia yake pamoja na dini yake.Samahani kama nimekukwaza lakini walahu nimejibu kulingana na comment yako.
 
Mpumbavu ni wewe unaefikiria Mwenye Azam ahamue yeye Cha kuwaonyesha wateja wake Kama unavyofikiri.Baada ya kumshauri mnaanza kuwaona watu wapumbavu.Wateja wana haki ya Msingi malalamiko yamejaa Kila Kona na hii ni thread ya pili Kuna Jambo lazima lifanyiwe kazi.Kama anataka yeye Nini Cha kuonyesha hasingefanya biashara ingekuwa ya yeye na familia yake pamoja na dini yake.Samahani kama nimekukwaza lakini walahu nimejibu kulingana na comment yako.
hawaangalii wao tu ila na wengine pia.
 
Unajua ifike mahali tusiumize kichwa kwa vitu vidogo..kimsingi kuna maudhui ambayo kwa tamthilia wanazoonesha wanaona yanafaa kwa general audience..just imagine ndio waweke game of thrones au Empire..kuna inshu zingine usizichukulie serious sana.
Hawa jamaa ni chuki tu inawasumbua.muulize huko azam ni mambo mangapi yanaoneshwa ambayo hayana uhusiano wowote na uislam?
 
Hivi hiki kituo cha Azam tv mbona kinarusha vipindi vinavyoeneza Dini moja kupitia lugha ya kiswahili.Dini nyingine zipo kwenye kipengele cha other channels.
mfano hiyo tamthilia inayoitwa Uhuru imejaa udini na inaonesha kukandamiza dini nyingine.
tamthilia ya sultan iliyoisha vivyo hivyo.mie naamini nchi yetu haina udini.
Ombi;basi angalau kama nyie luninga yenu mnataka thawabu wekeni vipindi vya dini nyingine pia.msitumie channel zenu kukandamiza dini zingine kwani sio nyie tu mnalipia ving'amuzi.
Naona toka jana Azam Tv wanaandamwa humu ........
acha chuki binafsi mkuu udini huu ndio unatunyima maendeleo,
Wewe ulitaka waweka tamthilia ambazo hazina maadili , yaani baba huwwzi angalia na watoto pamoja?
Sio kweli mkuu kama AZAM TV WANAENEZA UDINI , hizo ni chuki na propaganda tu zakutaka watu waichukie hii AZAM TV ,
mbona chanel nyingi mle za dini nyingine ........CHUKI HAIWEZI KUKUFIKISHA POPOTE MKUU, NAKUSHAURI KAMA UMETUMWA KUENEZA HII CHUKI NI BORA UNGETAFUTA NJIA NYINGINE ILI UWEZE KUUZA VISIMBUZI VYAKO
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom