Twalb zubeir
Senior Member
- Feb 23, 2015
- 143
- 51
Hili tamko sio la kweli ni uzushi tu#LOWASSA RAIS AJAYE
CC
l.OWASSA NA BASHE WAKE
2.NAPE Nnawiye hongera sana11
3. Rostam Aziz na Karamage upumbafu wenu utaiponza nchi yetu nyie mtasepa Pakistani sisi tutakimbilia wapi?
4.Philip Mangula mshauri mwenyeiti wako mchezo wake ndio mauti yetu
wasomi wazima mnakubali kutumika na mtu anayeutafuta urais kwa nguvu,mbona hatuwaon mkiandamana kudai haki ya kupatiwa mikopo ya elimu ya juu?
Tupo apa UDOM,
siku ile ya jumapili watu waliingia kwenye daladala zilizokuwepo hapa library wengine wakiwa wanajua wanaenda kwa mamvi ila wengine hawakujua mchezo wakadhani ni daladala za siku zote,safari ikaanza bila hata watu kudaiwa nauli na moja kwa moja hadi kwa mamvi,sasa nachoshangaa hapa waliokuwepo wengi ni viongozi wa ii UDOSO na wafuata mkumbo wengine...wametudhalilisha sana hawa wajinga
Tupo apa UDOM,
siku ile ya jumapili watu waliingia kwenye daladala zilizokuwepo hapa library wengine wakiwa wanajua wanaenda kwa mamvi ila wengine hawakujua mchezo wakadhani ni daladala za siku zote,safari ikaanza bila hata watu kudaiwa nauli na moja kwa moja hadi kwa mamvi,sasa nachoshangaa hapa waliokuwepo wengi ni viongozi wa ii UDOSO na wafuata mkumbo wengine...wametudhalilisha sana hawa wajinga
mke wakonyie ndio mnaotumiwa na nepi mje kuupotosha umma wa watz sio,kw hilo mmechelewa sana mnakumbuka shuka tyr kumekucha,watz ujumbe umeshafika kwao kwamba makundi mbalmbali yana muunga mkono ktk mbio zake za kuwani urais tofauti na mtu yyte kwa sasa na el ndio tumaini la watz wengi,hizo propaganda zenu zimechelewa mno yan labda mngeanza kabla makundi kufika kwa el huenda mngefanikiwa kuturubun huo ujinga wenu,lowassa ndo habar ya mjin aisee bnafsi cjaona mbadala wake labda ww mleta mada nan unaona anacfa za kutuongoza zaidi ya el
Mmefanya vizuri kuliweka wazi suala hili japo mmechelewa kidogo. Pengine mlikuwa mnajipanga kutoa jibu muafaka. Haingii akilini kwamba wanafunzi wa vyuo vikuu wanafanya upuuzi kama huo.
Ya Masheikh tayari lipo bayana. Ni utapeli mtupu. La watu wa bodaboda wala halihitaji kuumiza kichwa sana. Kila timamu anajua usanii usiojificha. Tunasubiri majibu toka kwenye baraza la makanisa ya wapentekoste.
Ifike mahali Mheshimiwa Lowassa atambue kuwa watu wake wanamtumia kama kitega uchumi. Bila shaka anawawezesha lakini wanamfanyia kiini macho watafune hela zake.
Kama kweli lile suala la Masheikh wa Bagamoyo lililatibiwa na Prof. Kapuya, wasomi wenye hadhi hiyo watoe tamko kuhusu huyo mwenzao anayewadhalilisha. Heshima ya mtu kuitwa profesa inatoweka taratibu.