Julius Malema Jr
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 653
- 155
Riz na familia ya Jk hawapo na Membe kitambo walishamtosa hawamtaki kabsa kwenye URAIS wamebaki kuwa ndugu tu na pengine kumzuga kuwa wapo naye, chagua lao ni Pinda au Kinana au Wasira na lowasa baadae lakini Membe hana nafasi kwao walimtosa baada ya kugundua kuwa alikwapua mapesa ya Marehemu Gadafi kisha akamuua balozi wa libya kimafia, hawataki Rais ajae awe Mgeni wa The Hague Mahakama ya Uhalifu wa kimataifa.
mlipolala ndio tulikoamkia...membe na riz wanakesha wakhonga daily wanafunz na wajumbe na kutshia masheikh mstuibie JK moyon kila mtu anajua kua anampenda lowasa ila si familia yake.......karume ameshawaambia ccm wauze bidhaa inayouzka ambayo ni lowasa waachane na bidhaa ziszouzka ambazo ni membe na kna pinda......anakwambia asposmama lowasa haon presdent material mwngne