TAMKO: Rais JPM Kasema

TAMKO: Rais JPM Kasema

Tamko? Tamko bila pesa?
Hela ziliishia kwenye kampeni
 
ama wewe kweli ni mbuzi na kuku! Jina linakufaa sana na wala usilibadilishe. Unafurahia mkopo wakati ulikuwa usilipe kitu mpaka unamaliza phd yako!
hiyo kitu haiwezekani hizo ni mbwembwe tuu na maneno ya wakosaji. Hadi south africa wanalipa hakuna anaesoma bure moja kwa moja utanambia tanzaniia hii. Hiyo kitu ni ngumu babu labda kwa mwaka mmoja tuu hapon ntakubali. We hujaona hadi mzee kaanza kuambia tra wafanye kazi kwa bidii. Eti bure nyooo
 
sio jambo la kushukuru.
Ukitaka kujua ni haki yako ya msingi angalia vitu hivi.
-mwaka jana walipata wangapi na % ilikua ni ngap linganisha na mwaka huu.
-bajeti ilikua kiasi gan mwaka jana na mwaka huu.

Utaelewa tuu ni michezo kwasababu watz hua hatutaki kujifikilisha so tunaona ni neema ila hamna kitu ni ujanja ujanja tuuu
ok naamini bora kitu kuliko kukosa kitu
 
ngoja waombe vyuo viwasajili uku wakishughulikia tatizo usome semester moja ya tabu na mateso uichukie serikali vizur
huyu mzee naamini ana busara na hilo swala linaenda kutendeka hata kama tutachelewa hadi january mwakani ila litatendeka tuu amini nakuambia.
 
jaman ni bahati ilioje? kweli tumshukuru Mungu kwa kutupatia kiongozi mchapa kazi na tumshukuru pia kwa uchaguzi kufanyika vyema. sasa lililo mbele yetu ni mikopo kwa sisi wanavyuo tunaoanza masomo yetu. Mh JPM jana alitoa kauli kwa kweli iulinifurahisha sana na sasa ni kumwomba Mungu uzima niwe mnufaika na pia kumuombea mema Rais wetu awe na hekima. hakika ni mchapa kazi i appreciate that. and the next election i promise him vote lazima kwa mchango aliouonyesha alfajiri na mapema. hakika sisi totoz za kipato cha kawaida tungelamba chini kwa hali halisi ya maisha but tamko la Mr president linanipa faraja pia na wengine pia. pia wana wa DARUSO pamoja sana kwa support yenu mnayoionyesha tuko pamoja.
wadogo zetu mnaoanza shule mwakani 2016 mambo yamenoga kazi kwenu kutia msuli tuu. i wish you the best.
never seen.
pia Mr president naomba uangalie mgogoro katika chuo cha st joseph Arusha campus na Kampala ile sekta ya afya ina matatizo sana please tatua hii migogoro na nina imami serikali yako itapendeza sana. nakuombea kwa Mungu kama ulivyosema Baba.


Mimi kama msomi wa Saikolijia nimebaini kuwa wewe si mwanafunzi unayetegemea kujiunga na masomo, Bali ni mpambe na shabiki wa Magufuli na CCM kwa ujumla ila unatafuta namna ya kuwashawishi watu kumkubari mapema Magufuli na kumuona anafaa. Hakuna Jambo la maana aliloliongea Magufuli kuhusu mikopo ambalo unaweza kuja kuwaaminisha wahusika hapa kuwa tayari tatizo lao limetatuliwa wakati hata hii elimu ya burr kwa wanafunzi wa sekondar anategemea zitakazopatikana kwa kupunguza misamaha ya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa
 
wewe kweli ndo AZONTO unatoa mi meno nje ushapata uo mkopo au ndo uajipa faraja MPUUZI wewe na ngoja UKOSE mkopo wenyewe usitufie.
 
jaman ni bahati ilioje? kweli tumshukuru Mungu kwa kutupatia kiongozi mchapa kazi na tumshukuru pia kwa uchaguzi kufanyika vyema. sasa lililo mbele yetu ni mikopo kwa sisi wanavyuo tunaoanza masomo yetu. Mh JPM jana alitoa kauli kwa kweli iulinifurahisha sana na sasa ni kumwomba Mungu uzima niwe mnufaika na pia kumuombea mema Rais wetu awe na hekima. hakika ni mchapa kazi i appreciate that. and the next election i promise him vote lazima kwa mchango aliouonyesha alfajiri na mapema. hakika sisi totoz za kipato cha kawaida tungelamba chini kwa hali halisi ya maisha but tamko la Mr president linanipa faraja pia na wengine pia. pia wana wa DARUSO pamoja sana kwa support yenu mnayoionyesha tuko pamoja.
wadogo zetu mnaoanza shule mwakani 2016 mambo yamenoga kazi kwenu kutia msuli tuu. i wish you the best.
never seen.
pia Mr president naomba uangalie mgogoro katika chuo cha st joseph Arusha campus na Kampala ile sekta ya afya ina matatizo sana please tatua hii migogoro na nina imami serikali yako itapendeza sana. nakuombea kwa Mungu kama ulivyosema Baba.


Ana IMANI ndio maana ameanza kushukuru kwanza kabla hajapata mkopo
 
Back
Top Bottom