TAMKO: Rais JPM Kasema

TAMKO: Rais JPM Kasema

kapepa

Senior Member
Joined
Dec 15, 2014
Posts
132
Reaction score
22
Naona wahanga wa mikopo chuo kikuu mmepata afueni rais JPM kawakumbuka kasema lipatiwe ufumbuzi maramoja so soon mambo yatakuwa mazuri nahisi wiki ijayo mtaanza kula bata.

N.B JPM huwa hapendi masihara


#HAPA KAZI TU

HOTUBA----here
 
Madogo wapewe boom!!!
Magufuli wewe ni kazi tu!
 
Jamaa inaelekea kaanza na moto ngoja tumsikilizie

Wale wapa kazi tu! Polen maana mlikuwa mnaomba tusipewe #mikopo
 
Itabidi wakavunje zile fixed diposit walizokuwa wanasubiria interest
 
nop tz tuko blessed sana pesa zipo nyingi tofauti na hizo zinazo bear interest
Mkuu nadhani hujanielewa...hao jamaa wa bodi za mikopo huwa wanachukua pesa za wanafunzi, wanapeleka fix deposit kwa miezi sita alafu wakishatafuna interest ndo pesa zinapelekwa kwa wanafunzi..mjini kugumu
 
Mkuu nadhani hujanielewa...hao jamaa wa bodi za mikopo huwa wanachukua pesa za wanafunzi, wanapeleka fix deposit kwa miezi sita alafu wakishatafuna interest ndo pesa zinapelekwa kwa wanafunzi..mjini kugumu
we pumba kweli kwani tz kuna bodi ngapi za mikopo alafu usinifundishe ishu za CREDIT CREATION na nikuulize kitu hivi bodi ina akaunti benki gani hapa tz na pesa za bodi huwa zinatoka hazina sasa sijui hiyo logic umeitoa wapi au ulikariri AMBILIKILE akakujaa kichwani sasa unatema urojo
 
we pumba kweli kwani tz kuna bodi ngapi za mikopo alafu usinifundishe ishu za CREDIT CREATION na nikuulize kitu hivi bodi ina akaunti benki gani hapa tz na pesa za bodi huwa zinatoka hazina sasa sijui hiyo logic umeitoa wapi au ulikariri AMBILIKILE akakujaa kichwani sasa unatema urojo
We kima ungejua unaongea na nani usingeharisha kupitia hilo domolako.
 
Ila madogo msisahau rais alivyowahonya, chukua mkopo kapige shule, usilogwe kwenda kujenga heshima baa.
 
We kima ungejua unaongea na nani usingeharisha kupitia hilo domolako.

We kima ungejua unaongea na nani usingeharisha kupitia hilo domolako.
dah kweeli wewe ni popoma domo lipi tena huku jf sauti yangu unaijua eti naongea na nani hahahahah kweli shule na uelewa vitu viwili tofauti kama ni kujitambulisha kuna jukwaa lake mwambie moderator akuonyeshe ukajaze wasifu wako huko #hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom