Let each side fight with the arsenals they possess, as one side uses the police so let the other side use the influence and the pressure of the international community. Fair enough.Tanzania ni nchi huru na inaongozwa na Utawala wa sheria (Rule of Law) Hakuna aliye juu ya sheria, watu wote wapo sawa mbele ya sheria, mtu yeyote akifanya kosa lolote la kijinai atachukuliwa hatua za kisheria bila kujali nafasi yake, rangi take au jinsia yake.
Mbowe anatuhumiwa kwa makosa ya Kigaidi yeye na genge lake, ni kinyume cha Utawala wa kisheria kuanza kumtetea Mtuhumiwa/watuhumiwa kabla hata hajafikishwa Mbele ya Mahakama.
Tanzania inaheshimu utawala wa sheria na lazima Mbowe atafikishwa mbele ya Mahakama kujibu tuhuma na bila shaka watapata nafasi ya kujitetea, kinacho fanywa hivi sasa na Viongozi wa chadema ni kujaribu ku "frustrate" mchakato wa kumshitaki Mbowe kwa tuhuma za ugaidi kwa kutumia vyombo vya habari vya kimataifa, wakiamini kuwa Vyombo vya ulinzi vya tz vitaogopa na kurudi nyuma, hilo ndio lengo la chadema hivi sasa. wanaitishia nyau serikali makini!!!
Naamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama havitoingia kwenye mtego wa chadema wanao fanya hivi sasa kamwe vyombo vyetu visitetereshwe wala wasiogope kufuata utawala wa sheria kwa kumhofia Mbowe au hata mtu mwengine.
Utawala wa sheria ni "Hakuna aliye juu ya sheria".
Mbowe hatuko juu ya sheria lazima ashitakiwe na kwa kufanya hivyo ndio kuheshimu na kufuata utawala wa sheria.
Call me whatever you want sweetheart I won't be surprise at all.Nilichogundua una chuki binafsi na Yeriko.....kiufupi roho mbaya yako haiwezi kumpunguzia lolote. He's better than you all round kuanzia mafanikio ya kimaisha mpaka IQ wise (I doubt umewahi andaa hta paper ya kipublish). Unajiita mtu wa dini na umejaa chuki?? Unajadili jino la mwanaume mwenzio?
Aiseee excuse my french but you're a c*nt!!
Mbavu zangu ziko taaban hapa.Teh teh teh,
Alhabib,unasema meno kama kakoswa na radi??
Ha ha ha,lione linavyochungulia hapo kama nguchiro...!!
Yaani km vile zito alipowaambia World Bank wasikopeshe Tz sababu wanawake wenye mimba wamekatazwa kuingia darasa moja na watoto wetu sio?Let each side fight with the arsenals they possess, as one side uses the police so let the other side use the influence and the pressure of the international community. Fair enough.
Don't throw stones while living in a glass house young lady.Post picha yako hapa if you have guts!! we all know linapokuja suala la muonekano wamakonde can never be included in the conversation.
Mnajifanya wapenda dini mnajadili meno yaliyoumbwa na Allah? Ko Allah huwa anakosea hadi kaumba mtu ana meno kma nguchiro?
C*nts!
Acha kuzunguka umekejeli uumbaji wa Allah and it's wrong kwa dini yako. Ssa utakua na credibility ya kumtangaza Allah wako ilihali unakejeli alivyoumba meno ya Yeriko?Call me whatever you want sweetheart I won't be surprise at all.
When you deal with morons like you and ur sweet jelebi Yericko that's what you get.
Keep on pretending lkn unafahamu fika who Is a C..nt here.
Umeshawahi kuona sehemu yyt Muislamu anakashifu kiongozi yyt sababu ya UKRISTO wake?
U r a real nicompoop
Funny thing unadhani ukimuita kidume ni mwanamke basi ni tusi? Yet again unadharau gender alizoumba Allah? Kwamba wasio na akili basi ni lazima awe mwanamke?? Kma ww ndio think tank wa waislam humu JF alafu ndio reasoning yako imekaa kibaguzi hivi then ni dini gani unayotangaza wwe??Don't throw stones while living in a glass house young lady.
Mungu hakuumba uchafu kwa mtu.
Msemaji wenu hata kupiga mswaki hataki leo ataongea la maana mbele ya waungwana!
Halafu ngoja nikukumbushe kitu bi mkubwa. Unapotaka kukosoa watu jaribu kujitazama wewe kwanza.
Kwa akili yako fupi unategemea kweli Chadema ije kutuongoza sisi watanzania wapenda Demokrasi hali ya kuwa kiongozi wenu hataki kuachia kiti miaka yooote hali anajua hafai? Leo akikaa ikulu huyu kiumbe si atataka tumzike humo humo?
Grow up young lady. Giving up its not failure, its courage.
I agree mimi siwesi kuwa kama Yericko hata siku moja. Mimi sili nguruwe, na pia natumia mswaki 5 times a day.kahtaan ana nini kumzidi Yeriko? He's just a coward hiding behind a fake ID. Jitu zima unajadili meno ya mtu? Huyo kahtaan kma ni mpenda dini hajui anakosoa uumbaji wa huyo Allah wake?
You're a bunch of losers with inferiority complex coz mnaona kma wakristo wanawazidi kila kitu thus you play a victim role day in day out.
Mlikua na Rais muislam mbona alimpiga risasi ponda, mbona aliwapa kesi ya ugaidi UAMSHO, mbona alimmaliza Ustadh Ilunga, mbona alihujumu mahakama ya kadhi isitambulike kikatiba?? Adui yenu ni CCM mkipambana na wakristo mtajikuta kusini mnaburuza mkia miaka yote maana adui wa kweli mnamkwepa.
Embu niambie kwa uchovu huu wa CCM kufeli kila kitu alternative ni ipi?? Yaani kma sio Chadema twende chama gani?? Ile ACT ya wavaa makobazi ambayo hta kura laki 1 haiwezi pata bara?Kwa akili yako fupi unategemea kweli Chadema ije kutuongoza sisi watanzania wapenda Demokrasi hali ya kuwa kiongozi wenu hataki kuachia kiti miaka yooote hali anajua hafai? Leo akikaa ikulu huyu kiumbe si atataka tumzike humo humo?
Kipindi JK anawanyima makahama ya kadhi, anamtwanga risasi ponda, and anawasweka UAMSHO ndani mbona hamkuinua mdomo?? Kipindi wanamuua Ustadh Ilunga mlikua wapi? Wanafiki tu nyie kma Sheikh Alhad tu.Hakuna kiongozi aliyefanya udhalimu juu ya waislamu au wakristo sisi tukakaa kimya. Tatizo wee dada huoni kashfa wanazotoa chadema kuhusu waislamu
See how you deserve to be called young lady?Funny thing unadhani ukimuita kidume ni mwanamke basi ni tusi? Yet again unadharau gender alizoumba Allah? Kwamba wasio na akili basi ni lazima awe mwanamke?? Kma ww ndio think tank wa waislam humu JF alafu ndio reasoning yako imekaa kibaguzi hivi then ni dini gani unayotangaza wwe??
Kama Mwinyi na Kikwete waliweza kwanini CHADEMA ishindwe? Hao ni moja ya marais failures wa wakati wote na walishinda kwa kishindo ndio kama kigumu kipi CHADEMA kushinda?? Kinachokwamisha ni tume huru ndio maana mkiambiwa katiba mpya mnakua wakali sana.Hivi kweli in your sound mind kwa tabia zenu hizi iko siku Chedema itakuwa na uwezo wa kuongoza watu wenye akili nzuri kama watanzania?
Mpuuzi Mama yako.Embu niambie kwa uchovu huu wa CCM kufeli kila kitu alternative ni ipi?? Yaani kma sio Chadema twende chama gani?? Ile ACT ya wavaa makobazi ambayo hta kura laki 1 haiwezi pata bara?
Mmejaa udini tu na chuki yenu kwa CHADEMA ni sababu tu Mwenyekiti ni mkristo. No wonder Ritz na THE BIG SHOW mlikua mna sympathize na Zitto kipindi anatimuliwa. Leo hii it's clear that he was no match to Mbowe kwenye kila kitu say kaondoka na kura za waislam cha kushangaza CHADEMA ikachukua hadi Jiji zima la Dar lililojaa waislam!!
Wapuuzi nyie
Are acting stupid or maybe you're stupid for real?Yaani km vile zito alipowaambia World Bank wasikopeshe Tz sababu wanawake wenye mimba wamekatazwa kuingia darasa moja na watoto wetu sio?
Au pale Tundu anapotukana taifa lake kwenye television za wazungu walio wafanya babu Zake watumwa.
Hio ndio unaiita " using influence?
Give us a break young man
Nimeishia kusoma hapa.... Fika huku kigoma CHADEMA imetapakaa kuanzia kakonko mpaka uvinza tokea 90s unasema kaskazini? Hvi unajua Dr Slaa alipata kura nyingi kigoma kuliko kaskazini? Get seriouschama cha watu wa kaskazini wapenda vurugu na ugaidi usio na tija kwa mtanzania maskini.
Don't be hypocrite, hao unaodai walifanya babu zenu watumwa hapa mnapokea misaada ya vaccination ya Covid19 kutoka kwao ambayo hata haijafanyiwa research ya kutosha, you're nothing but lab rats halafu bado unapayuka bila tafakuri.Yaani km vile zito alipowaambia World Bank wasikopeshe Tz sababu wanawake wenye mimba wamekatazwa kuingia darasa moja na watoto wetu sio?
Au pale Tundu anapotukana taifa lake kwenye television za wazungu walio wafanya babu Zake watumwa.
Hio ndio unaiita " using influence?
Give us a break young man
Ndiyo akili yako ilkoishia? Ni bora ungekaa kimya we zuzu
Tofautisha serikali na taifa...... Alikua anaichafua serikali ya CCM. Kma tu ambavyo Nyerere na Mandela walichafua serikali zao walipoenda kwa mababeru kudai uhuru.Tundu anapotukana taifa lake
Mwinyi alifanikiwa kwa lipi? Taja hta moja hapa? He was a failed experiment.Leo bila mwinyi wewe kibaka ungekuwa na uhuru wa kutukama viongozi namna hii?