celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,331
- 1,059
Ni majuzi akiongea na walimu huko dodoma alisema benki ya walimu inayumba..
Najiuliza hivi alidhamiria kutoa hilo tamko au bahati mbaya. Anajua athari zake kwa benk kwa yale matamshi au mdomo ulimteleza kama alivyoteleza pale aliposema yeye na mkewe wanajua namna ya kumalizana hadi mkewe akaangalia chini kwa aibu.
Kimsingi ile kauli ni moja ya mwanzo wa kuyumba kwa ile benk kwani wateja watakosa imani na kukimbilia kuchukua hela zao.
Hivi ni lini atajifunza aseme nini wapi na wakati gani,
A shameful statements ...
Najiuliza hivi alidhamiria kutoa hilo tamko au bahati mbaya. Anajua athari zake kwa benk kwa yale matamshi au mdomo ulimteleza kama alivyoteleza pale aliposema yeye na mkewe wanajua namna ya kumalizana hadi mkewe akaangalia chini kwa aibu.
Kimsingi ile kauli ni moja ya mwanzo wa kuyumba kwa ile benk kwani wateja watakosa imani na kukimbilia kuchukua hela zao.
Hivi ni lini atajifunza aseme nini wapi na wakati gani,
A shameful statements ...