Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,383
- 33,041
Una wivu kutajwa mke wa rais roho inakuuma. Au na ww ni mshirika?Unazungumzia kuhusu bank ya walimu kuyumba , then ishu ya mke wake imeingiaje hapo!
Ujinga bado unatusumbua watanzania wengi kama hata kueleza hoja yako umeshindwa.