Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Nachelea kusema kwamba kuna upotoshaji unafanyika na sijui ni kwa hasara ya nani.
Mhe. Mbowe ana Makosa ya wazi kabisa ya kudharau Mahakama, si jambo zuri kwa kiongozi Mkuu wa aina yake.
Mhe. Lissu ni Mwanasheria makini, hivi ana amini hilo tamko linatosha kuzuia utekelezaji wa Amri ya Mahakama?
Tusipumbazane hapa, kama sijasahau Sheria, Tamko hilo lingekuwa na Makali kama lingefuatana na Amri ya Mahakama ya juu kusitisha/kuzuia kwa muda utekelezaji wa Amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha.
I stand to be corrected!
You are blabbing!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!