Tamko la Lissu kuhusiana na sakata la kesi ya Arusha; Mbowe naye alonga

Nachelea kusema kwamba kuna upotoshaji unafanyika na sijui ni kwa hasara ya nani.

Mhe. Mbowe ana Makosa ya wazi kabisa ya kudharau Mahakama, si jambo zuri kwa kiongozi Mkuu wa aina yake.

Mhe. Lissu ni Mwanasheria makini, hivi ana amini hilo tamko linatosha kuzuia utekelezaji wa Amri ya Mahakama?

Tusipumbazane hapa, kama sijasahau Sheria, Tamko hilo lingekuwa na Makali kama lingefuatana na Amri ya Mahakama ya juu kusitisha/kuzuia kwa muda utekelezaji wa Amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha.

I stand to be corrected!

You are blabbing!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hali hii ya umbumbu wa sheria ni mbaya hasa hati zinapotolewa kukamatwa kwa watu wa upande mmoja.
 
upole c ujinga, itafika wakati tutaonana wabaya, kwanini wasiende kuwakamata mafisadi ambao wametajwa na bado wanapeta 2 mjini, wanakomaa na m2 anawajibika kwa wananchi c wale wanaowajibika kwa ajili ya matumbo yao na familia zao.
 
They have been using our ignorance to oppress and abuse our freedom of speech for so long!!!. This time wataipata yupo baba mnadhimu aliyeisoma sheria neno kwa neno! Hatubabaiki! Utaona kama watamgusa!



PP daima!!!!!!!!!!!!!!!1

kaka ningekuwa mimi ni police nisingekubali kudhalilishwa ningemwambie HAKIMU aende akamkamate mwenyewe. :biggrin1:
 
Crap
Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.

Tatizo ni kuwa huwezi kumwelewa mtu mwingine zaidi ya yule anayekulipa kuendelea kumwaga upupu haba jamvini
 
wewe crap naona bora uende ukalale maana unaniboa kwa kutoelewa maandashi zaidi zaidi unatumia ushabiki wako usio kuwa na msingi wowote hajasema kwamba ana kinga ya kuwa yeye ni kiongozi kivuli la! yeye ni mbunge tena aliyeshinda kwa kishindo kuliko hata wale ambao unawajua sio vivuli, hivyo hiyo haijalishi still kinga ipo na mkizingua tu mkaendelea kuwanyima hiyo haki sisi tupo nyuma tunakuja kwa nguvu ya umma. tutawadondosheni huko mliko.
 
wakaanze kuwakamata mapacha wa3 then ndio waje kwa kamanda wa ukweli.
 
Naomba ujue kuwa mahakama haiendeshwi na porojo, siasa wala habari za mitaani. mahakama inaendeshwa kwa vielelezo thabiti. Hivyo Mbowe alitakiwa kutoa taarifa za maandishi kwa hakimu kumweleza kuwa anashiriki katika vikao vya kamati za Bunge na si kazi ya hakimu kusoma na kujua hilo kupitia magazeti.

WanaCHADEMA jamani jifunzeni japo kidogo sheria za nchi yenu na kuacha siasa mnapokuwa mahakamani

Ndugu yangu yaelekea wewe hujui unachoongea, nimekwambia alipelekewa taarifa akakataa, na vile vile Mahakama na Bunge vyote ni mihimili ya Serikali, Mahakama inataarfa na ratiba ya Vikao vya Bunge, nikujuze tu kwamba huyo hakimu wenu ndiye asiyejua na anaendekeza ushabiki wa kizamani, hivi sasa hi nchi inaendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi kitu ambacho walio wengi bado hawajui, tembelea ukaone hao mahakimu ,MaDC na watendaji wengine wa serikali wanavyofanya kazi ki ccm ccm.

Jaribu kufikiri kwanza kabla ya kufanya maamuzi mkuu.
 
Kwenye blue hapo mbona unaongea lugha za kigaidi?
halafu inawezekana wewe unatafutwa na CIA
tuachie nchi yetu,
.

Naomba ujue mimi ni MWARABU tena kwababa na mama na hiyo ndio lugha yangu ya kwanza. Kiswahili ni lugha ya kuzugia tu. Basi kama lugha hiyo ya kigaidi basi nami ni ladhwi niwe gaidi lakini siwezi ikataa asli yangu.

najivunia Uarabu wangu.
 
Mungu huwa anapenda kusimamia ukweli na huu ndio ukweli mwenyewe maana hata mahakimu nao ni makada kwa hisia hivyo hapa Ndio maana Chadema wameonyesha mfano wa mambo yanatakiwa kwenda hivyo kuna ulazima katika hili!! Hongera sana CHADEMA
 
Crap
Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.

usikulupuke ndugu soma hiyo ripotu vizr ndipo utoe matusi yako hapa ya kejeli
 
Dalili za chama kudhoofika ni kitendo chake cha kutumia vyombo vya dola kukamata kamata wabunge na viongozi wa upinzani - baadala ya kuja na majibu ya hoja na kero za wananchi wao ni Kamata yule ---- weka ndani, Kamata yule weka ndani --- :biggrin1: --- We hakimu Masanja!! hakikisha rikesi rinaendelea tuu hadi uchaguzi mwingine ukaribie wa 2015 sawa?!!!
 
Nachelea kusema kwamba kuna upotoshaji unafanyika na sijui ni kwa hasara ya nani.

Mhe. Mbowe ana Makosa ya wazi kabisa ya kudharau Mahakama, si jambo zuri kwa kiongozi Mkuu wa aina yake.

Mhe. Lissu ni Mwanasheria makini, hivi ana amini hilo tamko linatosha kuzuia utekelezaji wa Amri ya Mahakama?

Tusipumbazane hapa, kama sijasahau Sheria, Tamko hilo lingekuwa na Makali kama lingefuatana na Amri ya Mahakama ya juu kusitisha/kuzuia kwa muda utekelezaji wa Amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha.

I stand to be corrected!

MAGAMBA BWANA!!!! mmesahau mkwe....re alivyovunja sheria akafanya campain hadi usiku bila kuchukuliwa hatua?
 
Ndugu yangu yaelekea wewe hujui unachoongea, nimekwambia alipelekewa taarifa akakataa, na vile vile Mahakama na Bunge vyote ni mihimili ya Serikali, Mahakama inataarfa na ratiba ya Vikao vya Bunge, nikujuze tu kwamba huyo hakimu wenu ndiye asiyejua na anaendekeza ushabiki wa kizamani, hivi sasa hi nchi inaendeshwa kwa mfumo wa vyama vingi kitu ambacho walio wengi bado hawajui, tembelea ukaone hao mahakimu ,MaDC na watendaji wengine wa serikali wanavyofanya kazi ki ccm ccm.

Jaribu kufikiri kwanza kabla ya kufanya maamuzi mkuu.

NilipoRED naomba nikujuze. kwa mujibu wa Utawala wa sheria Doula inaundwa na mihimili mitatu yaani Serikali, Bunge na Mahakama. Hivyyo Bunge na Mahakama vipo at per na Serikali kwa mujibu wa Rules of law.

Unaposema taarifa zao zimekataliwa mahakamani ni lazima kuwe na sababu nayo ni lazima iwekwe bayana. haiwezekani kusema tu hakimu anajuwa vikao va bunge japo anasoma na kuona kwenye TV vikao vinaendelea. lazima apate kitu cha ku document kitu ambacho nina hakika Mbowe na wenzake hawajafanya. walitaka njia mkato.

na kama taarifa zao zilikataliwa wana haki kamili ya kulalamika na kutaka kuelezwa kwanini taarifa ile hakimu alikataa na hapo sheria itachukua mkondo wake.

Tuwe wawazi Sheria si mchezo ni msumeno mkali sana.
 
Crap
Hajajibu chochote hapo zaidi ya porojo nyingi zisizo na mashiko kabisa. Mdhamini wake mbona nae hakufika ? Mbowe hana kinga hiyo na akamatwe kwa kuidharau mahakama. Yeye avunje sheria eti ni kiongozi wa kambi kivuli ya upinzani. Mkae mkielewa kivuli, maana yake si halisi, hivyo yeye ni kiongozi wa kambi isiyo halisi hana nguvu.

Tatizo la GeniusBrain (Which of course is an intellectual masterbation), Wakati sisi tunasoma kutoka kushoto kwenda kulia yeye anasoma kutoka kulia kwenda kushoto.

Hii inanikumbusha promotion ya Coca Cola ktk nchi moja ya jangwani jinsi advert yake ilivyotafasiliwa up side down hence Coca cola kukosa soka ktk nchi hiyo.

But in serious note, kama akina GeniuBrain ndiyo MA SPIN DOCTOR wa CCM, then CCM wote kweli mtaonekana hamna akili kumtuma mtu kama huyu.

The you will vindicate most educated Tanzania who believe that CCM IS A MENTAL DISEASE. Once your in CCM reasoning capacity approaches to ZERO!
 
Nachelea kusema kwamba kuna upotoshaji unafanyika na sijui ni kwa hasara ya nani.

Mhe. Mbowe ana Makosa ya wazi kabisa ya kudharau Mahakama, si jambo zuri kwa kiongozi Mkuu wa aina yake.

Mhe. Lissu ni Mwanasheria makini, hivi ana amini hilo tamko linatosha kuzuia utekelezaji wa Amri ya Mahakama?

Tusipumbazane hapa, kama sijasahau Sheria, Tamko hilo lingekuwa na Makali kama lingefuatana na Amri ya Mahakama ya juu kusitisha/kuzuia kwa muda utekelezaji wa Amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha.

I stand to be corrected!

Mh Lissu hajakataza Mh Mbowe kukamatwa alichoeleza ni taratibu za kufuatwa ili mh Mbowe akamatwe, ni hivyo kwa kifupi.
 
Na kwa taarifa ni kuwa Taarifa hi ni kwa ajili ya vyombo vya habari na sio Hakimu mwenye shauri. Hivyo Amri ya kukamatwa ipo pale pale.

Kwani mahakama aifanyi kazi kwa kufata vyombo vya habari wala kelele za watu. wanafanya kazi kwa mujibu wa Sheria zilizotungwa na Bunge lenyewe.
 
Back
Top Bottom