Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm

CCM ni chama cha wazee...bila shaka wewe ni moja ya wazee wa dar es salaam...kwa mwaka unapata posho ya buku tano na ubwabwa Rais anapowaalika....!
Hongera kwa mawazo yako babu wa dar
 
salamu kwa pasco wa jf,alituambia ile video ni ya ukweli,pasco tunakutaka hapa jamvini mara moja
Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!.
Pasco.
 
ndio hivyo mkuu, chadema wanazo details zote za mawasiliano, hapo wanachotaka ni ku cross check tu!

chadema wanaweza kuchukua data za mawasiliano ya watu kwa matakwa yao na kupablish,make hao waliowataja ni binadam na wanamawasiliano na jamaa zao hapa ukiingia kiundani unaweza kukuta kuwa hawa ni jamaa zao ambao ni kawaida kuwasiliana.
 
Hapa nimeipenda chadema kwa ushushushu,hapa ni tuhuma nzito kwa magamba na serikali yao.MWIGULU hapo alipo anaarisha.
 
Haya maelezo meeeeengi hayaondoi content ya video ya lwakatare
mkuu bunge cjui bungeni. Hatujakataa hiyo content na wala haifai kufuta ila mtataga mwaka huu tena mayai ya mbuni aisee masaburi lazima yachanike! waite chilisoso , ze marcopolo nk! wakuasaidie kucomment! MKUU MUNGU ALWAYS NI MWEMA SANA
 
Nampongeza mkuu wa jf kwa msimamo makini na kuto kubali kuyumbishwa!

 
Last edited by a moderator:
CCM ni chama cha wazee...bila shaka wewe ni moja ya wazee wa dar es salaam...kwa mwaka unapata posho ya buku tano na ubwabwa Rais anapowaalika....!
Hongera kwa mawazo yako babu wa dar

nashangaa unawachukia wazee sijui wewe wazazi wako ni vijana wote?
 

Pasco, usishangae hayo yote...popote duniani kesi ya kisiasa huendeshwa kisiasa....ndio maana makinda aliruhusu moja kwa moja kujadiliwa wazi wazi bungeni.

Hakuna mwanasiasa anayepelekwa mahakamani kama hamna sababu za kisiasa. This is the political game....

Ndio maana Marando ameanza kuicheza kisiasa kama Mbowe na mwigulu walivyoicheza bungeni ingawa mwigulu hakuelewa mtego wa Mbowe na akaingia kichwa kichwa.

Subiri uone kesho ndio utazidi kuelewa forget about justice..

Kitu pekee mahakama inachotakiwa kufanya ni kuifutilia mbali hii kesi ili kulinda heshima ya mahakama.
 
Sina kumbukumbu vema, hivi ipo siku Nape aliwahi uzungumzia hili suala? au ndo keshasoma mchezo na sasa anamwaachaa Lameck afe na kabma yake kwa shingo!
 

Wewe tulia unyolewe!
 
Mtu akikaribia kufa lazima arushe rushe miguu. Chadema inarusha rusha miguu

Hujawahi kufa wewe ndo maana...ukiona mtu anarusha miguu ujue labda anafanya mazoezi au anaruka ruka kwa ushindi plus furaha....
 
"Jitihada zinazoonyeshwa ambazo ni za kumtetea mtu hata kabla hajafika mahakamani, inadhihirisha ule ulikuwa ni mpango wa chama.
 
Tatizo lako ni kujiaminisha ujuaji wa kila kitu nina shaka nawe ni wakala wa TISS
 
Hujawahi kufa wewe ndo maana...ukiona mtu anarusha miguu ujue labda anafanya mazoezi au anaruka ruka kwa ushindi plus furaha....

mkuu umenichekesha kweli.....rukaruka ya kufa nadhani iko tofauti kidogo, mfano ni kama hii ya chadema...waambieni watulie wapeleke ushahidi mahakamani
 
Wajamen siku zinahesabika kuna watu wataumbuka sana tu kwa maelezo haya hapo juu ni dhahiri kabisa kuna kesi nyingi tu ambazo watu wamefungwa maisha zilipikwa ikiwemo ile ya Babu Seya na wanae hii hiwezekani Baba na wana wabake hii yote ndio hawa hawa waliopanga na kutoa ile video ya uongo imekula kwao Maccm na bado.Chadema ni chama makini sana hawawezi sema kitu ambacho hakipo kuna vichwa mle ndani kuna wapelelezi wenye elimu ya ukweli sema tu Magamba hayaelewi Viva Chadema
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…