Hiki mbona kinaonekana kama kichekesho cha mwaka!
Yaani wakili ana ushahidi tena mzito halafu anaitisha press badala ya kuupeleka mahakamani! Ajabu.
Swali jepesi na kitendawili kizito kwa CHADEMA, je Lwakatare yale maneno katika ule mkanda aliyasema?
Kama Lwaka akikubali zile njama, hizo namba za simu ni useless kwa vile mtuhumiwa amepatikana na hatia ya kula njama za kuteka.
Labda CHADEMA ifungue kesi nyingine ya kupinga maafisa usalama wa taifa kuwasiliana na watu wengine nje ya usalama!
Hizo kumbukumbu wataalamu wanaweza wakacheza nazo halafu mkafunguliwa kesi ya kughushi taarifa za uongo.
Mohamedi Mtoi na Edwin Mtei hii namba mmeifanyia kazi?Hapa JF hii namba anayetumia simu Na. 255756xxxxx imekuwa hided lakini kwenye Chadema Blog: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU NJAMA ZA KUKICHAFUA ZINAZOFANYWA NA GENGE LA VIONGOZI WAKUU WA CCM NA VYOMBO VYA DOLA, LIMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, APRILI 14, 2013 NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA MWANASHERIA WA CHAMA, MH. MABERE NYAUCHO MARA , namba yenyewe ni hii hapa (anayetumia simu Na. 255756809535) kwa kutumia M-PESA inaonekana namba hii imesajiliwa kwa jina gani hii imeakaaje?
Hahahaaa, wanichekesha kweli. Hivi unaamini hiyo mipasho ya akina lissu na marando? Wakati utafika watakapoumbukaNaona wewe ni Rizione, Mwigulu ama nchimbi kwa sababu unalazimisha kitu kishakuwa peupe mwanangu. Mchana kweupe mwanga mkali, mko kati kati ya soko mnawanga na mko kama mlivyozaliwa!!.
Labda kukurudishia fahamu. UMESOMA DUDE LILE LAKINI? UMEELEWA KLICHOMO? KWA FAIDA YAKO, WENZAKO CDN MMOJA KICHWA CHAKE NI ZAIDI YA HIYO SERIKALI YA MWIGULU NA RIZI ONE. WALICHUKUA SOFTWARE WAKACHAKACHULIA ZILE PICHA ALIZOKUWA AMERECORD LUDOVICK. AMBAZO ALIZIRECORD KAMA MTOTO WA NYUMBANI WAKIWA NA MAONGEZI TU NA MZEE WAKE.
SASA CHADEMA, HAWAJAISHIA HAPO TU. UJUE KWAMBA TAYARI WAMESHACHAMBUA KATIKA HIYO KAND YAPI NI MANENO HALISI YALIYOSEMWA WAKATI WA ORIGINAL MEETING, NA YAPI YAKATENGENEZWA KWA KINA MWIGULU STUDIO ILI KUTOA HIYO PICHA MNAYOING'ANG'ANIA HATA KAMA IMESHAPARANGANYIKA.
WAMEENDE MMBELE ZAIDI NA KUJUA KWAMBA HIZO SOFTWARE WALIZOTUMIA KUEIDITIA (KUCHAKACHULIA PICHA ALILYOCHUKUA LUDO) WALIZICHUKUA KWA ISSA MCHUZI. WEE MWANA VIPI? BADO MNALO JAMANI?
SASA WEWE SUBIRI GAME LITAKAVYONOGA SIKU YA UTETEZI!
cdm wakipenya hapa mipango ya ccm itakuwa imevurugwa kiasi cha kukisambaratisha chama , lakini ndani ya ccm kuna watu waajabu sana katika kusuka mipango miovu na isiyo na vision yoyote kwa taifa awali walikuwa wanatupiana wenyewe tu sasa wametoka nje . Ngoja tuone hiyo inayokuja.nasikia bado wana nyingine ambayo wameiandaa ya jaribio la chadema kumpindua kikwete. Na wanasema na yenyewe wataicheza mwezi wa kumi na mbili mwaka huu. Ni katika harakati ya kutafuta sababu ya kukifuta chadema. Maana tendwa ni mtu wao, ataibuka tu na kutangaza kwamba amekifuta chadema kwa kuwa ni chama cha kigaidi or kinafanya mipango ya kuipindua serikali.
laba wewe na familia yako ndio mmegawanyikawazalendo wameamua kukomboa nchi yao!ni kweli usalama wa taifa umegawanyika.
Hii ni habari njema
sana. Tanzania yenye neema inanukia. Chadema ni chama kikubwa sana na
ccm walitambue hili. Hata hivyo tunashukuru kwa hii video ya Lwakatare
kutengenezwa na kuvujishwa na hao hao kumbe wanajimaliza wenyewe. Bado
kuna mmoja ambaye anaitwa mtu wa mahusiano-wassira. Huyu nae ana kesi za
kujibu. Kauli zake ziko kwenye hansard za vichwa vyetu. Maisha bora kwa
kila mtanzania yananukia. Viva Chadema!
He, kumbe hapo ndo unaargue! kama ubongo ungekuwa kiungo cha uzazi hakika wagumba wangekuwa wengi na wasiozaa kwa sababu za kutotumia ubongo wangekuwa wengi mnoDu kumbe naargue na watu ambao pombe zimekolea kichwani. Ninaamini hata marando ameandaa tamko hili akiwa njwiii
Watu ambao nitaomba mahakama itoe amri ya kuletwa taarifa zao simuTuliwaeleza kuwa chadema ina intelijensia kali kuliko tiss.
Sasa ccm tafuteni mchawi wenu.
Nawashangaa magaidi kurukaruka Maana hizi mbwe mbwe kwenye Tamko haziondoi ukweli wa Yale yaliyopo kwenye video ya lwakatare. Marando angetuambia Yale anayoongea lwakatare Sio kweli Tamko lake lingekuwa na maana
Wadau, siamini kama tamko hili limetolewa na mwanasheria ambaye si tu amebobea katika fani yake bali pia ni mtu ambaye aliwahi kufanya kazi katika idara ya usalama wa taifa kutokana na ushahidi wa tamko lake hili. Cha kusikitisha zaidi, ameongea mambo ambayo anajua kuwa anayo fursa kupitia mahakama kueleza yote hayo ambako ninaamini ndiko kwenye msaada mkubwa kuliko kuongea na waandishi wa habari ambao wataishia kuandika tu. ninajua kwa sasa chadema wanatafuta huruma za wananchi kupitia matamko yao hayo kwa vile wamechungulia na kuona kuwa hawawezi kushinda kesi ya lwakatare.
mkuu hakika taifa letu haliko katika mikono salama. tunapata picha ya kwamba serikali inalinda wahalifu, kumbuka rais alivyounga mkono kufungiwa kwa gazeti la Mwanahalisi baada ya kumtaja Ramadhani Ighondo.
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm
Namba ya masatu wasira ilitakiwa ifuatiliwe huyu ndo aliye itangazia dunia kuwa atahakikisha kuwa cdm inakufa mwaka huu!. huyu ni waziri wa mahusiano asiye jua kuhusiana, aliyepewa jukumu la kustwisha demokrasia huku akijiapiza kuua vyama vya siasa!kabisa mkuu ila hapa nona wasira na Nape wamechanganya na za kwao!
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm
naunga mkono hoja