hata huyo LWaka ni haohao TISS, kinachofanyika hapa ni counter-punching tu
CHADEMA naona wamebana kende za Lwaka huku wanamkumbatia, akiinama-akiinuka ngoma iko vilevile tight
Hii kitu imeshakaa vibaya kwa system, maana hata Lwaka alikua akitegemea kutimiza wajibu basi kazi inakua ngumu sana
Naamini (sikua naamini hivyo hapo awali) kwamba kumtosa Lwaka kungeidhoofisha zaidi hoja ya chadema kwamba TISS ndio playmakers na Zitto ni weakest link
He is a smart boy, atabaki chadema lakini skeletons zote zitakua zimeisha by them time anakabidhiwa madaraka ya maana
ongea hoja siyo kukimbia tu hapa tunataka hoja wala siyo habari za magamba,jenga hoja lisaidie taifa.
Tamko hili lilitolewa baa gani na je mtoaji alkuwa ktk hali gani amelewa au?
Kama kuna kosa kubwa CCM wanafanya ni kupuuzia nguvu na uwezo wa Chadema na mwamko wa wananchi ulipofikia.wanafikiri ni rahisi kumanipulate watu kwa njia nyepesi kama zamani!huu ni mtego mbaya sana kwao.hawajaamka usingizini na kugundua Tanzania ya leo sio ile ya Nyerere na Mwinyi!hii inatokana na kufanya kazi kwa mazoea.inawagharimu na itawagharimu sana.no way to help them, hata siku Goliath alipokufa alifanya negligence iliyopitiliza.alipoona ametumiwa "katoto" aliamua kuvua kofia kabisa kwa dharau,na jiwe la Daudi likatua pale pale kwenye paji la uso!
Hahahaaa. Hapo tiss wanahusikaje. Tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni kuamini kila kito wanachokisema tuwapendao hata kama hakina ukweli ndani yake
Nimelisoma tamko hadi nimesisimka! Kama hayo aliyo yasema Marando ni kweli na iliyo kweli tupu basi nachelea kusema kuwa taifa letu haliko kwenye mikono salama hata kidogo! Wenzetu mataifa mengine wanazitumia siasa kwa ajili ya ustawi wa nchi sisi tunaitumia siasa kufanya uharamia na ugaidi wa kupanga.
Naomba niweke hakiba ya maneno kwa kusema, ukweli huwa una tabia ya kukawia kufika lakini huwa hauachi kufika uliko kusudiwa kufika.
CC chama, Ritz, ZeMarcopolo zumbemkuu Elli.
Na huyo ndio Pasco mzee wa bonafide genuine..Pasco said:Mkuu Kapiteni Tamari, Mjengwa namfahamu fika, nilikuwa nae Sweden!, uadilifu wa mtuhuonekana machoni!, kwa tunaomjuaMjengwa kiukweli, tunaujua uadilifu wakekwa maneno na matendo!. He is and alwaysbeen very honest and down to earth!.Hata kwa Rwakatare, sijatoa baraka zozote!,nilichosema kama mzoefu wa AV, ulemkanda ni "bonafide genuine", tenanikaweka kabisa sifa za mkanda huo hauwezikutumika kama ushahidi mahakamani!.Nikaweka na very good defence kuwaRwakatare akikiri kuwa it was not real butjust acting!, kesi inakwisha!, nikashauriChadema kama chama, kitamke wazi kwakumkana na kukana kutohusika kwake!.Pasco.
Wadau, siamini kama tamko hili limetolewa na mwanasheria ambaye si tu amebobea katika fani yake bali pia ni mtu ambaye aliwahi kufanya kazi katika idara ya usalama wa taifa kutokana na ushahidi wa tamko lake hili. Cha kusikitisha zaidi, ameongea mambo ambayo anajua kuwa anayo fursa kupitia mahakama kueleza yote hayo ambako ninaamini ndiko kwenye msaada mkubwa kuliko kuongea na waandishi wa habari ambao wataishia kuandika tu. ninajua kwa sasa chadema wanatafuta huruma za wananchi kupitia matamko yao hayo kwa vile wamechungulia na kuona kuwa hawawezi kushinda kesi ya lwakatare.
Hahahaaa. Hapo tiss wanahusikaje. Tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni kuamini kila kito wanachokisema tuwapendao hata kama hakina ukweli ndani yake
Jamaa hajui chochote kabisa yani anashindwa kwa nini mtu anatolewa kwa sharti la dhamana, nilicheka sana kule kwenye uzi wa kushikwa kwa maggid!
mmhh! tunakoenda sio salama, kama CDM waweza kuyajua haya, kikwete anafanya nini Ikulu, mbona naona yupo uchi?
Nimesoma mpaka mwili wangu umekufa ganzi. Nahisi hili litakuwa gumu sababu hakuna namna yakukataa kuwa mkuu wa kaya hajahusika hapa. Najiandaa kwa maandamano yasiyoisha mpaka haki itendeke