Tamko kwa wanawake wote.!

Tamko kwa wanawake wote.!

Mfumo jike wanasubiri sie tuwaanze lazima nao waanze kuchangamkia tenda wajimwage PM zetu au mwenzangu ulishawahi kupata PM kutoka kwa akinamama?
Yeah nazipata nyingi tu, wewe bado?
 
Tangazo gani labda kwamfano na watu gani labda maana sijaona wakuwawekea tangazo bado.
We kijuso una lolote,..sura huna shepu huna,..kazi kudandia mishahar ya watu,..ebu kaa chini usitualibie siku,..Gaddamit,..!!
 
We kijuso una lolote,..sura huna shepu huna,..kazi kudandia mishahar ya watu,..ebu kaa chini usitualibie siku,..Gaddamit,..!!
Hahahahhahahahaaa, unaishi kwa kukariri toka kwa dada zako pole sana, sitaki shobo.
 
DEAR LADIES,

Kama umechoshwa na text za majamaa huko
PM….
Kila ukijitahd kuwakataza
Hawakuelewi….
Ukimblock huyu mwingine
anakuja….
Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tip for You itakusaidia…..

Ingia room kwako
Vua Wigi, Toa Weave,
Toa na kope bandia
Ingia Bafuni
Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
Chukua simu Piga picha Usitumie app yoyote ku edit..
Upload kama
ilivyo Iweke profile Picture yako
NOW they will see
“Wewe wa asili”
……..PROBLEM SOLVED………….
Ukisumbuliwa tena….Tupo tayari kukusikilza…

Maeeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahhahahahaaa, unaishi kwa kukariri toka kwa dada zako pole sana, sitaki shobo.
Sa wew na Mimi nani shombo,..kujipea kua unafatwa fatwa wakati ata kweny screen saver aukai,labda tukitengeneze kibao cha mpapule tupate tax za museum,... Amna wakuku fata fata wewe inbox mkuu,..like serious,.. Shubamitt,..!!!??,sitaki shobo!.. Gadamit!!!??,..kwa uzuri UPI au izo carolite zinakupa confidence
 
nahuyu je?
2294fe35df4c7296f532f0d81f7a8375.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom