Mi without wig hapanaMa mkwe Vua wigi hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwingine akitoa hizo mambo ndiyo anakua mzuri zaidiDEAR LADIES,
Kama umechoshwa na text za majamaa huko
PM….
Kila ukijitahd kuwakataza
Hawakuelewi….
Ukimblock huyu mwingine
anakuja….
Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tip for You itakusaidia…..
Ingia room kwako
Vua Wigi, Toa Weave,
Toa na kope bandia
Ingia Bafuni
Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
Chukua simu Piga picha Usitumie app yoyote ku edit..
Upload kama
ilivyo Iweke profile Picture yako
NOW they will see
“Wewe wa asili”
……..PROBLEM SOLVED………….
Ukisumbuliwa tena….Tupo tayari kukusikilza…
Hahahahhaaha ungepaka mafuta ya nazi ili tukujue kama ni natural kweli
Ati unasemaaa? Kwahiyo kumbe Daby ndo alikuwa anaku assist?
Dah basi wacha nifute vumbi kwenye kiti
Tangazo gani labda kwamfano na watu gani labda maana sijaona wakuwawekea tangazo bado.Unataka kutuambia unamiss kusarandiwa,...tutakuchaji kwa ili tangazo,..!!!??
Mdogo angu kumbe zile kiss by wema sepetu nlikua nakupa zawadi, ulikua unazitupa?
Wallahi nakuja PM... Hata ukinitangaza poa tu
Mfumo jike wanasubiri sie tuwaanze lazima nao waanze kuchangamkia tenda wajimwage PM zetu au mwenzangu ulishawahi kupata PM kutoka kwa akinamama?Alafu ishu unakuta mambo ya PM wanakuja kuyaleta public,
tutakuja kutoana ngeu siku moja