Tamko kwa wanawake wote.!

Tamko kwa wanawake wote.!

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,262
DEAR LADIES,

Kama umechoshwa na text za majamaa huko
PM….
Kila ukijitahd kuwakataza
Hawakuelewi….
Ukimblock huyu mwingine
anakuja….
Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tip for You itakusaidia…..

Ingia room kwako
Vua Wigi, Toa Weave,
Toa na kope bandia
Ingia Bafuni
Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
Chukua simu Piga picha Usitumie app yoyote ku edit..
Upload kama
ilivyo Iweke profile Picture yako
NOW they will see
“Wewe wa asili”
……..PROBLEM SOLVED………….
Ukisumbuliwa tena….Tupo tayari kukusikilza…
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Ngoja niwaone kwanza
 
Siku hizi mkorogo unapakwa miguuni, hii tabia imeshamiri sana hapa dsm, yaani mapaja ni meupe balaa
 
Ndo hivyo yaani, yaani unamkuta Manzi ni Mweupe outside ila ni mweusi kule inside...
 
Kama hapa tu wanatambua umeweka picha bandia na jina bandia bado wanakusarandia.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Skar mliopewa n kwa ajiliyetu
Cjui kama mnajua hlo
 
Jf kuna tatizo gani hii week? [emoji41]

Maana ukirudi upande huu unakutana na Assist..mara sijui nini..[emoji41]
 
Mkorongo wa raund hii n kiboko unakuta bek 3 ndo


Kaletwa mjin mweusss
Kama huyu mchezaj wa Chelsea ngolo kante


Lakin acha alijue hehee
Hata wema kwa mkorongo
Na weupe hampat.
 
Rubii, you fire baby
Fire fire fire fire baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire)
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) Rubii
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Nikicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
 
Ndo hivyo yaani, yaani unamkuta Manzi ni Mweupe outside ila ni mweusi kule inside...
Hii kitu inawamaliza wanaume nguvu zote... Sema ndo vile tunamezea tu, yaani tunajikaza kisabuni huku tunateketea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom