Tamko kwa wanawake wote.!

Tamko kwa wanawake wote.!

nahuyu je?
2294fe35df4c7296f532f0d81f7a8375.jpg
Huyu anavutia kiasi, sema hizo make up ndo zimemuaribia
 
rubii jana ulinikimbia, njoo tumalizane sasa, au unaniogopa?
 
DEAR LADIES,

Kama umechoshwa na text za majamaa huko
PM….
Kila ukijitahd kuwakataza
Hawakuelewi….
Ukimblock huyu mwingine
anakuja….
Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tip for You itakusaidia…..

Ingia room kwako
Vua Wigi, Toa Weave,
Toa na kope bandia
Ingia Bafuni
Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
Chukua simu Piga picha Usitumie app yoyote ku edit..
Upload kama
ilivyo Iweke profile Picture yako
NOW they will see
“Wewe wa asili”
……..PROBLEM SOLVED………….
Ukisumbuliwa tena….Tupo tayari kukusikilza…
Aliyekwambia wanawake wote wanaishi maisha fake ya makope na mawigi atakua kakudanganya
 
DEAR LADIES,

Kama umechoshwa na text za majamaa huko
PM….
Kila ukijitahd kuwakataza
Hawakuelewi….
Ukimblock huyu mwingine
anakuja….
Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tip for You itakusaidia…..

Ingia room kwako
Vua Wigi, Toa Weave,
Toa na kope bandia
Ingia Bafuni
Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
Chukua simu Piga picha Usitumie app yoyote ku edit..
Upload kama
ilivyo Iweke profile Picture yako
NOW they will see
“Wewe wa asili”
……..PROBLEM SOLVED………….
Ukisumbuliwa tena….Tupo tayari kukusikilza…

ha ha ha! kuna kifaa kinauzwa cha kutafsiri maana ya maneno anayozungumza mwanamke, ni cha muhimu sana kunununua, akisema hataki usumbufu anamaanisha, nitumie vocha ndo unitext/unicall
 
ha ha ha! kuna kifaa kinauzwa cha kutafsiri maana ya maneno anayozungumza mwanamke, ni cha muhimu sana kunununua, akisema hataki usumbufu anamaanisha, nitumie vocha ndo unitext/unicall
Hiko kifaa kinawafaa wenyewe, na wakitumie wao sio sisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom