Tamko kwa wanawake wote.!

Tamko kwa wanawake wote.!

Jf kuna tatizo gani hii week? [emoji41]

Maana ukirudi upande huu unakutana na Assist..mara sijui nini..[emoji41]
Bado hali haijakaa sawa, hope kuanzia week ya kesho upepo utatulia, wacha tuwekane sawa
 
Mkorongo wa raund hii n kiboko unakuta bek 3 ndo


Kaletwa mjin mweusss
Kama huyu mchezaj wa Chelsea ngolo kante


Lakin acha alijue hehee
Hata wema kwa mkorongo
Na weupe hampat.
Wanaitaga uzuri wa kununua, anytime ananuka karolaiti
 
Rubii, you fire baby
Fire fire fire fire baby
Fire oooh
(Fire fire fire fire)
Tamu mpaka mwisho
(Fire fire fire fire) baby
Ah ah, fire ooh
(Fire fire fire fire) Rubii
Fire baby (Fire fire fire fire) baby
Nikicheka sura ya kitoto
(Fire fire fire fire) baby
Tamu mpaka mwisho??? Ni nini hiyo rubii???
Alafu hiyo iliyokuwa na moto kama fire pia tuambie ni nini?
 
DEAR LADIES,

Kama umechoshwa na text za majamaa huko
PM….
Kila ukijitahd kuwakataza
Hawakuelewi….
Ukimblock huyu mwingine
anakuja….
Kabla hujaanza kuja kutuambia huku basi I have a tip for You itakusaidia…..

Ingia room kwako
Vua Wigi, Toa Weave,
Toa na kope bandia
Ingia Bafuni
Safisha sura kwa maji, jikaushe vizuri kwa Taulo..
Chukua simu Piga picha Usitumie app yoyote ku edit..
Upload kama
ilivyo Iweke profile Picture yako
NOW they will see
“Wewe wa asili”
……..PROBLEM SOLVED………….
Ukisumbuliwa tena….Tupo tayari kukusikilza…
ha ha ha ha, hiii kali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom