Jeremy Bentham
Senior Member
- Apr 22, 2019
- 118
- 133
- Thread starter
- #21
Kama kuna watu wa karibu na Jafo wataona humu kinachofanyikaWaanikeni na ujinga wao, mpk kwa ndalichako
Kama kuna watu wa karibu na Jafo wataona humu kinachofanyikaWaanikeni na ujinga wao, mpk kwa ndalichako
Aliomba kama mwalimu wa Kiswahili na GS tena shule ya msingi ndo alikoomba ila degree yake ya ni Bachelor of education in special needs UDOM , somo aliloOpt chuo ilikua Kiswahili , hio DS au GS wanavoita wao ni compulsory course kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu , sasa hapo why wsitishe Ajira kisa eti GS na GS kaisoma level zote A level na Chuo pia kama DSHuyo ndgu yako in mwalimu masomo gani?
Haya nini kifanyike tuwanusuruKuna mwingine amenipa taarifa hii. Inaonesha wako wengi.
Haya nini kifanyike tuwanusuru
Hata kama wangeweka kigezo cha kusoma GS hakuna chuo kinafundisha GS bali ni DS na ni compulsory course kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu hasa hao wa masomo ya ualimu sioni logic ya TAMISEMI kumstishia Ajira kijana huyu .Je Tangazo la ajira liliweka kigezo hicho Cha kusoma GS?... Kama hawakuweka huo Ni usumbufu na utapeli...
Ndugu yako au wewe??Ndio akiwemo ndg yangu wa karibu afu sababu eti inaonekana hajasoma General studies wakati vyuo vya Tanzania General studies inasomwa kama Development studies ni ni lazima chuoni
Hata nikiwa mimi sio mbaya pia nimesikitishwa na hili la TAMISEMI
DahNadhani yampasa pia aende kwa wanasheria yaweza kuwa fursa nzuri ya yeye kupiga pesa kwa uzembe wao.
Iposti kwenye social media, ukieleza jina,post,kituo alichopangiwa na aliyotemdewaKama kuna watu wa karibu na Jafo wataona humu kinachofanyika
Tatizo ni hicho alichoomba kufundisha aliomba awe mwl wa kiswahil na general studies wakati hajasomea hilo somo la gs kwa ajili ya kufundishia huko shuleni alilisoma kukamilisha kozi tu.Aliomba kama mwalimu wa Kiswahili na GS tena shule ya msingi ndo alikoomba ila degree yake ya ni Bachelor of education in special needs UDOM , somo aliloOpt chuo ilikua Kiswahili , hio DS au GS wanavoita wao ni compulsory course kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu , sasa hapo why wsitishe Ajira kisa eti GS na GS kaisoma level zote A level na Chuo pia kama DS
Endelea kuniradhau tu ila niambie wewe uliyepita chuo kikuuu mtoa mada amesema aliomba awe mwl afundishe kiswahil na general studies? je mtu anayestahili kuwa mwalimu wa general studies anatakiwa asome nini chuoni?Acha uongo ww kama hujui usiandike. Sijui pumba gani umeandika hapa. Hivi umepita Chuo kikuu kweli ww? Nasikitika sana kukudharau na kukupuuza ila acha iwe ivo kwani inaonesha huna akili
Kwahy mtu aliyesoma political science ni mwalimu tangu lini?




kumbe haujui. Let me explain to you. Mwalimu wa civics anatakiwa asome SoMo linaloitwa political scienceUnasoma political science ili uje ufundishe gs au civics sekondariKwani kuna chuo kinafundisha General studies kama kozi badala ya DS hii Tanzania?
riro23 yuko sahihi, Nafikiri wewe ndiye huna akili kwa sababu umeingilia kati mada pasipo kujua kiini cha tatizo.Acha uongo ww kama hujui usiandike. Sijui pumba gani umeandika hapa. Hivi umepita Chuo kikuu kweli ww? Nasikitika sana kukudharau na kukupuuza ila acha iwe ivo kwani inaonesha huna akili