Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 913
- 2,939
hil swala n kwel kabsa sema cc tumezmwa taa za akil kwa kujfanya tunaelimu mfano wahind bila kuangalia nyota yake eneo au mji anaoenda mfanyakaz atakae fanya mae kaz hafanyi maamuz yoyote ndio mana kuna mwanamke ukioa tu unaflska kaz unafukuzwa maisha yanakua hovyo na kuna mwanamke ukioa au ukiwa nae kunakua na wepes katka mzunguko wa maisha yako