FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,213
"Anayesoma ana mengi sana asiyoyaelewa, asiyesoma hana asichoelewa".
Kama umewahi kusikia kuona au kukutana na mila ambayo kwako ilikuwa ni ya ajabu au haijakukalia sawa lakini ulipoiona au kuikuta ilikuwa ni kitu cha kawaida, itupie uzi huu.
Pia tupia hapa mila ambazo kwako au kwenu ni kawaida kabisa lakini wengine wanazishangaa na kuziona za ajabu au zina walakin.
Binafsi naanza na:
1) Kwetu ni kawaida kabisa mtu kuowana na watoto wa babake mdogo au mkubwa au watoto wa shangazi zake au wa mama zake wakubwa au wadogo au watoto wa wajomba zake.
Hii ni mila ambayo ipo kwetu na inakubalika katika sharia za Kiislam.
Kumbuka; Ni kuowana siyo kufanya uzinzi na uasherati.
Tena mila hiyo tunaisisitiza sana kwetu.
Kama umewahi kusikia kuona au kukutana na mila ambayo kwako ilikuwa ni ya ajabu au haijakukalia sawa lakini ulipoiona au kuikuta ilikuwa ni kitu cha kawaida, itupie uzi huu.
Pia tupia hapa mila ambazo kwako au kwenu ni kawaida kabisa lakini wengine wanazishangaa na kuziona za ajabu au zina walakin.
Binafsi naanza na:
1) Kwetu ni kawaida kabisa mtu kuowana na watoto wa babake mdogo au mkubwa au watoto wa shangazi zake au wa mama zake wakubwa au wadogo au watoto wa wajomba zake.
Hii ni mila ambayo ipo kwetu na inakubalika katika sharia za Kiislam.
Kumbuka; Ni kuowana siyo kufanya uzinzi na uasherati.
Tena mila hiyo tunaisisitiza sana kwetu.