Zohaan
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 268
- 272
Iyo ngoma ipo Kwenye Album ya Soga za Mzawaa ila jina limenitoka kidgoHii ngoma inaitwaje naitafuta sana
Iyo ngoma ipo Kwenye Album ya Soga za Mzawaa ila jina limenitoka kidgoHii ngoma inaitwaje naitafuta sana
hiyo ngoma inaitwa young gifted and blackIyo ngoma ipo Kwenye Album ya Soga za Mzawaa ila jina limenitoka kidgo
Shukurani manhiyo ngoma inaitwa young gifted and black
Una utani nani anasikiliza wasanii uchwaraMmemsikia Motra? Weupe pee
Huu wimbo nmeusikiliza Mara kibao Ila unatafakarishaHakuenda shule ila aliheshimika kama mwalimu // alikuwa mzuri kweli lakini shobo hana
Hakuna aliyemgusa kwani alikuwa wa moto sana...
Alipopita tulio balehe tulimwaga mbegu....
Walikuja madogo wajanja na mapesa wakamuuliza mama ukivaaje unapendeza....
Dizasta vina - mwanajua.
Chundabadi mujahidina,Super hand super some omy dimpoz/
Me ni super Gang super Babu Omy Rinkos/
Stereo-Chundabadi
HahahahaWewe kama sio demu basi shoga,
Unavotype Tu unaonekana mboga,
huelewi Panchi kisa una kichwa boga,
Rudi MMU uendelee kupiga Soga.
Mex kajibu ukooMmemsikia Motra? Weupe pee
I wapi barabara isiyo na kona?Huu wimbo nmeusikiliza Mara kibao Ila unatafakarisha
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Dizasta ni Mtamaduni ila ni Generation ya piliOyaa wazee ivi dizasta yupo tamaduni?
Mbishi ndani ya Kilinge nani anaipinge Vyema/Nafunguka mtumwa anakua Huru /
The great hawezi kufa kwa kusukumwa na lulu
NIKKI MBISHI