Tamaduni Music Punchlines Special Thread

Tamaduni Music Punchlines Special Thread

Mashabiki wa huu mziki hawana hela , ni wavuta bangi na wavaa mitepesho ,thus why wasanii wake wapo kwenye starvation point
 
Mi ndo mbaya wakuchana tungo zaki mafia, nafanya laana juu ya dundo la kihasla.../

mbeba lawama maana nina fujo kwa kinasa, amani kwa panorama ndugu na dizasta.../

kwenye vita waliita cheetah mark chui, so ukipita mbele yangu dakika ni majeruhi.../

Sijipi sifa wengi wanaobisha hawanijui, na sijali hawaumizi kichwa hawasumbui.../

Sina promo wala sijajulikana kwa TV, na ninawapa kero wanaojifanya HAWASIKII.../

Ila bongo bwana wasichana wana BIDII, nakia wema sepetu ndo rihanna wa TZ.../

Mi ndo M.A.W.E.N.G.E, kwenye mchezo wa kinasa mi ndo M.V.P.../

Got a flow like mine oh let me SEE, but im sure that you cant be me P.../
Mawenge ana bars laini sana
 
Haijalishi we ni mkali Zaid ya mentor wako/ na Enter kwako/ kama vile ume sign for trouble/ Nataka nimshukuru duke na M-Lab/ Hapa Nina pozi shughuli ina enter hapo/

One the incredible -Classsic material
sio pozi ni pause
 
Wakuu Umofia kwenu,

Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni

Tamaduni Music members

Nikki mbishi

Stereo

One the incredible

Songa

P the mc

Zaiid

Azma

Ghetto ambassador

Kad go

Dizasta vina

Nash Mc Madina

Phil technic

Man-sulii

Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Ndio maana nipo napotaka kua/
Na bado sina habari kwa wanaotakajua/
Wanao chakachua/
Wanao tupo chaka na tour ya wanao saka sio wanao saka tour/
Washamba nachukuia/...... Incredible lyrics
 
Wakuu Umofia kwenu,

Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni

Tamaduni Music members

Nikki mbishi

Stereo

One the incredible

Songa

P the mc

Zaiid

Azma

Ghetto ambassador

Kad go

Dizasta vina

Nash Mc Madina

Phil technic

Man-sulii

Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Milele nitasimama nikidondosha fasihi/
Wanabana kwa kua nimekaata kuipotosha jamii/
Wanataka niache ngumu nibane pua/
Ninyoe kiduku ndio niwe msanii wanaomtambua/.. uno
 
Wakuu Umofia kwenu,

Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni

Tamaduni Music members

Nikki mbishi

Stereo

One the incredible

Songa

P the mc

Zaiid

Azma

Ghetto ambassador

Kad go

Dizasta vina

Nash Mc Madina

Phil technic

Man-sulii

Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Mama alisema sali sana/
Safari ya mbali Sana/
Usiombe mengi omba tu ufike salama/
Na usijari kama utapata shida njiani/
Shiba imani ya bwana dhiki inasaka ujirani/
Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili/
Dhahiri mashaka, majungu utayahimili kiakili/
Ila nasimama kwa imani uwe na mi yesu/
Nisije kuiga ya jirani kabla sijayajua ya kwetu/
 
Wakuu Umofia kwenu,

Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni

Tamaduni Music members

Nikki mbishi

Stereo

One the incredible

Songa

P the mc

Zaiid

Azma

Ghetto ambassador

Kad go

Dizasta vina

Nash Mc Madina

Phil technic

Man-sulii

Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Mama alisema sali sana/
Safari ya mbali Sana/
Usiombe mengi omba tu ufike salama/
Na usijari kama utapata shida njiani/
Shiba imani ya bwana dhiki inasaka ujirani/
Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili/
Dhahiri mashaka, majungu utayahimili kiakili/
Ila nasimama kwa imani uwe na mi yesu/
Nisije kuiga ya jirani kabla sijayajua ya kwetu/
 
Mi niko ndani we ni mlinzi, ingia kwenye gemu we ni mshindani mi ni mshindi/


Ukiniona sizi usinichukulie kipimbi, wakati kitaani master naheshimika kama dingi/


Mi ni mfanya kazi we ni kazi nakufanya, hazichaniki maana hauna hadhi ya kuchana/


Tahadhari changa rambi rambi na dhamana, yakua ukaishi kwenye kambi za lawama/


Kule siskiki sishawishiki, kusaliti we ni mwanafunzi mi ndo shule ya muziki/


We ni mume mbona mke halidhiki, unajiita mcee na bado uko nje ya msingi/


Mi kibaka we ndo shingo ya kabali, mi ndo driver we ndo konda au tingo kwenye gari/


We kapuku mi na' bingo la mistari, ogelea kote dizasta ndio kingo za bahari/


Mi ndo tungo shazi nazisuka kama jamvi, we ndo pusha zungusha mi ndo mzuka kwenye nyasi/


Najua ku rythms ma mcee wanajua nini, vilio kila masta navyotua kwenye scene/


Nina mama bora,mama nuru,mama funzo, we ni mtumwa kwenye soko niko huru kwenye tungo/


Tukirudi class we ni good mi ni better, mulize kingo kitaani mi ni babuu we ni sheta/


Gumzo sura wana ghani tu majina, wao majini kama kabula mi ndo shetani la vina/


Mi nimenuna bwege cheka na hii vocal, beat tope na dizasta mi ndo mega mining volvo


Mi ndo folder, mi ndo hoja, mi ndo mada kwenye somo kwenye jeshi mi ni mjeda


Mi ndo muosha naogesha midundo, niite dizasta wananiita profesa tungo
Ebhna Scar hili goma linaitwaje asee Dizasta Ni💥💥
 
mwenye ngoma za songa One the incrdible na p th3 mc anitumie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom