Mawenge ana bars laini sanaMi ndo mbaya wakuchana tungo zaki mafia, nafanya laana juu ya dundo la kihasla.../
mbeba lawama maana nina fujo kwa kinasa, amani kwa panorama ndugu na dizasta.../
kwenye vita waliita cheetah mark chui, so ukipita mbele yangu dakika ni majeruhi.../
Sijipi sifa wengi wanaobisha hawanijui, na sijali hawaumizi kichwa hawasumbui.../
Sina promo wala sijajulikana kwa TV, na ninawapa kero wanaojifanya HAWASIKII.../
Ila bongo bwana wasichana wana BIDII, nakia wema sepetu ndo rihanna wa TZ.../
Mi ndo M.A.W.E.N.G.E, kwenye mchezo wa kinasa mi ndo M.V.P.../
Got a flow like mine oh let me SEE, but im sure that you cant be me P.../
Wewe kama sio demu basi shoga,Mashabiki wa huu mziki hawana hela , ni wavuta bangi na wavaa mitepesho ,thus why wasanii wake wapo kwenye starvation point
Hatari mzee. Hii ilimtoa sana jamaa kwenye mchezo hehehEti switcher Baba ,Picha Caspa F**k/ Taifa Rasta n I was like what ?/
P the mc-Futi sita Diss track
Wanauliza eti ivi songa we ni facebook? Mbona hauna DISLIKEWanauliza eti Eti songa unaflow wapi /jaribu kumuuliza demu wako atakuambia nimeshafanya shoo ngapi
Song:Hisia
Artist:Songa
sio pozi ni pauseHaijalishi we ni mkali Zaid ya mentor wako/ na Enter kwako/ kama vile ume sign for trouble/ Nataka nimshukuru duke na M-Lab/ Hapa Nina pozi shughuli ina enter hapo/
One the incredible -Classsic material
Ndio maana nipo napotaka kua/Wakuu Umofia kwenu,
Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni
Tamaduni Music members
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the mc
Zaiid
Azma
Ghetto ambassador
Kad go
Dizasta vina
Nash Mc Madina
Phil technic
Man-sulii
Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Milele nitasimama nikidondosha fasihi/Wakuu Umofia kwenu,
Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni
Tamaduni Music members
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the mc
Zaiid
Azma
Ghetto ambassador
Kad go
Dizasta vina
Nash Mc Madina
Phil technic
Man-sulii
Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Mama alisema sali sana/Wakuu Umofia kwenu,
Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni
Tamaduni Music members
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the mc
Zaiid
Azma
Ghetto ambassador
Kad go
Dizasta vina
Nash Mc Madina
Phil technic
Man-sulii
Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Mama alisema sali sana/Wakuu Umofia kwenu,
Karibuni katika Special Thread ya Tamaduni Music
Hapa tutakua tunatupia Line Kali tulizowahi kuziskia kupitia tracks za members wa Tamaduni
Tamaduni Music members
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the mc
Zaiid
Azma
Ghetto ambassador
Kad go
Dizasta vina
Nash Mc Madina
Phil technic
Man-sulii
Kila mmoja atupie punchline Kali anayoipenda ,ataje msanii na jina la nyimbo husika kama ifuatavyo
Duh..umemchana sn🤣🤣Wewe kama sio demu basi shoga,
Unavotype Tu unaonekana mboga,
huelewi Panchi kisa una kichwa boga,
Rudi MMU uendelee kupiga Soga.
Ebhna Scar hili goma linaitwaje asee Dizasta Ni💥💥Mi niko ndani we ni mlinzi, ingia kwenye gemu we ni mshindani mi ni mshindi/
Ukiniona sizi usinichukulie kipimbi, wakati kitaani master naheshimika kama dingi/
Mi ni mfanya kazi we ni kazi nakufanya, hazichaniki maana hauna hadhi ya kuchana/
Tahadhari changa rambi rambi na dhamana, yakua ukaishi kwenye kambi za lawama/
Kule siskiki sishawishiki, kusaliti we ni mwanafunzi mi ndo shule ya muziki/
We ni mume mbona mke halidhiki, unajiita mcee na bado uko nje ya msingi/
Mi kibaka we ndo shingo ya kabali, mi ndo driver we ndo konda au tingo kwenye gari/
We kapuku mi na' bingo la mistari, ogelea kote dizasta ndio kingo za bahari/
Mi ndo tungo shazi nazisuka kama jamvi, we ndo pusha zungusha mi ndo mzuka kwenye nyasi/
Najua ku rythms ma mcee wanajua nini, vilio kila masta navyotua kwenye scene/
Nina mama bora,mama nuru,mama funzo, we ni mtumwa kwenye soko niko huru kwenye tungo/
Tukirudi class we ni good mi ni better, mulize kingo kitaani mi ni babuu we ni sheta/
Gumzo sura wana ghani tu majina, wao majini kama kabula mi ndo shetani la vina/
Mi nimenuna bwege cheka na hii vocal, beat tope na dizasta mi ndo mega mining volvo
Mi ndo folder, mi ndo hoja, mi ndo mada kwenye somo kwenye jeshi mi ni mjeda
Mi ndo muosha naogesha midundo, niite dizasta wananiita profesa tungo
mi ndoEbhna Scar hili goma linaitwaje asee Dizasta Ni💥💥
POA mkuu ngja niitafutemi ndo
Hii ngoma inaitwaje naitafuta sanaHip hop Nnafurahii kua wako hata usiponipa Mtoto ntafurahii kua UNCLE