Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,287
- 7,388
Hawa wasanii wa tamaduni Music hapa nawazungumzia
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Azma
Nash mc
Wakazi
Man su lee
Dizasta
Ni wasanii wenye vipaji vikubwa sana , kitu ambacho kimenifanya niwe shabiki yao mkubwa sana , Napenda tungo zao, flows n.k.
Lakini kinachonisikitisha hii crew kifedha hawana mafanikio yoyote ukija kwa msanii mmoja mmoja ukimtoa Stereo ambaye kaajiriwa na Azma ambaye kafungua biashara zake nje ya music.
Hawa wengine wote wana maisha ya kuikitisha sana tofauti na ukubwa wa vipaji vyao
Kuna kauli yao wanaipenda sana VITENDO DHIDI YA MANENO Lakini ukiangalia uhalisia wa mambo hii kauli yenyewe inawapinga kwakua hakuna hata moja walilo lianzisha likafanikiwa kwa asilimia
Tukianza na
Kilinge
Hii ilikua tamasha ambalo ilikua kila jumamosi wanakutana pale Msasani club kwa ajili ya kufanye vitu vingi kama battles , kuuz album, mixtape na project zao mbali mbali
Lakini kutokana na kukosa kwao nidhamu walishindwa kuendeleza huu utamaduni wa kilinge
Rap City Battle
Hii ni project nyingine iliyo anzishwa na Wakazi, One the incredible, P the Mc & Man su lee
Hii ilikua inafanyika pale Micasa lounge Riverside.
Walikua wanakutanisha underground Artists kwa ajili ya freestyle battle lakini baada ya muda walishindwa kuiendeleza
Kinasa
Hii ni project ya Nash Mc inafanyikia Temeke lakini hii nayo mpaka leo hatujawahi kuona impact yoyote coz hakuna kipaji kipya (New artist) chochote alichokitoa huko ushwahilini
Kikosi kazi kazini
Hii ni project ya mwisho ambayo iliongozwa na Azma , hapa waliunda kama kundi lakini hawakua tamaduni crew wote walikua kama nane, walitoa baadhi ya nyimbo na walisema washafanya album.
Lakini ukweli ni kwamba nyimbo iliyofanya vizuri ilikua ni ile Dis truck ya WEUSI na hii ilipata media coverage kubwa kwa sababu wali diss Kundi la weusi.
Baada ya kutoa ile dis truck ngoma zilizofuata hakuna media iliyokua na mpango nazo
Taaribu wakaanza kukaa kimya mpaka leo
Ukiwauliza mmoja mmoja watakuambia bado kikosi kazi ipo lakini ukweli ni kwamba walishaona financially haikua na impact yoyote zaidi ya kujichoresha tuu
Inasikitisha sana kuona hawa jamaa wanaenda kuzeeka bila kunufaika na vipaji vyao , wameku wakiwa diss sana wasanii wengine wa HIPHOP walio main stream kuwa wanapendelewa lakini ukweli hawa jamaa wanafeli kutokana na ujinga wao wenyewe.
Bado wana mentality za kimtaa mtaa na hawajua jinsi soko la Music linavyoenda
Inashangaza sana mpaka leo bado wanaendelea na mfumo wao wa kuuza Santuri na kanda mseto kwa kuzungusha mtaani , email na whatsapp ..eti madai yao hizi plartform zinazouza music zinawaibia
Huu ulimbukeni wao ushawagharimu na utaendelea kuwa gharimu sana
Ukianza hata level ya umaarufu hawa jamaa wanafahamika na watu wanaofuatilia sana HIPHOP
Nikki mbishi
Stereo
One the incredible
Songa
P the Mc
Zaiid
Ghetto ambassador
Kad go
Azma
Nash mc
Wakazi
Man su lee
Dizasta
Ni wasanii wenye vipaji vikubwa sana , kitu ambacho kimenifanya niwe shabiki yao mkubwa sana , Napenda tungo zao, flows n.k.
Lakini kinachonisikitisha hii crew kifedha hawana mafanikio yoyote ukija kwa msanii mmoja mmoja ukimtoa Stereo ambaye kaajiriwa na Azma ambaye kafungua biashara zake nje ya music.
Hawa wengine wote wana maisha ya kuikitisha sana tofauti na ukubwa wa vipaji vyao
Kuna kauli yao wanaipenda sana VITENDO DHIDI YA MANENO Lakini ukiangalia uhalisia wa mambo hii kauli yenyewe inawapinga kwakua hakuna hata moja walilo lianzisha likafanikiwa kwa asilimia
Tukianza na
Kilinge
Hii ilikua tamasha ambalo ilikua kila jumamosi wanakutana pale Msasani club kwa ajili ya kufanye vitu vingi kama battles , kuuz album, mixtape na project zao mbali mbali
Lakini kutokana na kukosa kwao nidhamu walishindwa kuendeleza huu utamaduni wa kilinge
Rap City Battle
Hii ni project nyingine iliyo anzishwa na Wakazi, One the incredible, P the Mc & Man su lee
Hii ilikua inafanyika pale Micasa lounge Riverside.
Walikua wanakutanisha underground Artists kwa ajili ya freestyle battle lakini baada ya muda walishindwa kuiendeleza
Kinasa
Hii ni project ya Nash Mc inafanyikia Temeke lakini hii nayo mpaka leo hatujawahi kuona impact yoyote coz hakuna kipaji kipya (New artist) chochote alichokitoa huko ushwahilini
Kikosi kazi kazini
Hii ni project ya mwisho ambayo iliongozwa na Azma , hapa waliunda kama kundi lakini hawakua tamaduni crew wote walikua kama nane, walitoa baadhi ya nyimbo na walisema washafanya album.
Lakini ukweli ni kwamba nyimbo iliyofanya vizuri ilikua ni ile Dis truck ya WEUSI na hii ilipata media coverage kubwa kwa sababu wali diss Kundi la weusi.
Baada ya kutoa ile dis truck ngoma zilizofuata hakuna media iliyokua na mpango nazo
Taaribu wakaanza kukaa kimya mpaka leo
Ukiwauliza mmoja mmoja watakuambia bado kikosi kazi ipo lakini ukweli ni kwamba walishaona financially haikua na impact yoyote zaidi ya kujichoresha tuu
Inasikitisha sana kuona hawa jamaa wanaenda kuzeeka bila kunufaika na vipaji vyao , wameku wakiwa diss sana wasanii wengine wa HIPHOP walio main stream kuwa wanapendelewa lakini ukweli hawa jamaa wanafeli kutokana na ujinga wao wenyewe.
Bado wana mentality za kimtaa mtaa na hawajua jinsi soko la Music linavyoenda
Inashangaza sana mpaka leo bado wanaendelea na mfumo wao wa kuuza Santuri na kanda mseto kwa kuzungusha mtaani , email na whatsapp ..eti madai yao hizi plartform zinazouza music zinawaibia
Huu ulimbukeni wao ushawagharimu na utaendelea kuwa gharimu sana
Ukianza hata level ya umaarufu hawa jamaa wanafahamika na watu wanaofuatilia sana HIPHOP