ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,060
- 49,744
Serikali ya Tanzania Kupitia Shirika la reli TRC inatafuta pesa zaidi ya Shilingi Trilioni 14 sawa na Dola 5.6 Bilioni za ujenzi wa reli Mpya Kwa viwango vya Sgr kutoka Bandari ya Mbamba Bay mwambao mwa Ziwa Nyasa Hadi Bandari ya Mtwara Kwa umbali wa km 1,000.
Reli hiyo itajengwa Kwa ushirikiano na sekta binafsi yaani PPP na itakuwa na Matawi kwenye migodi ya Madini ya Chuma,makaa ya mawe ya Liganga/Mchuchuma. Pia kutakuwa na Matawi kutoka kwenye migodi ya graphite iliyoko mpakani mwa Lindi na Mtwara.
My Take: Tanzania itaendelea ku make headlines Kwa miradi mikubwa hapa Afrika.
Serikali itafute pesa pia Kwa Ajili ya ujenzi wa reli ya Tanga-Arusha-Musoma na Mbeya -Dodoma.
Reli hiyo itajengwa Kwa ushirikiano na sekta binafsi yaani PPP na itakuwa na Matawi kwenye migodi ya Madini ya Chuma,makaa ya mawe ya Liganga/Mchuchuma. Pia kutakuwa na Matawi kutoka kwenye migodi ya graphite iliyoko mpakani mwa Lindi na Mtwara.
My Take: Tanzania itaendelea ku make headlines Kwa miradi mikubwa hapa Afrika.
Serikali itafute pesa pia Kwa Ajili ya ujenzi wa reli ya Tanga-Arusha-Musoma na Mbeya -Dodoma.