Tall building a threat to Ikulu

Lakini kutokana na mabadiliko ya tekinolojia hapa dunia waweza hit ikulu ukiwa popote pale.
Hapo sasa kama wanajari usalama wa Rais wetu inabidi serikali ichukue ghorofa kazaa ziwe ofisi zake kwa walinzi wake.
 
Tangu msingi hadi finishing TISS walikuwa wapi?wacha auwawe kwanza ametuletea matatizo yasiyoweza kusafishika tanzania,wanaweza mmaliza leo?
 
Kwa maana hiyo hao wanaojiita Usalama wa Taifa hili ni mazuzu kabisa. Iweje wasigundue hilo mapema? wao ndio wenye kazi ya kuhakikisha usalama hasa wa Ikulu, au wanajua tu kukimbiza misafara na kutugandisha barabarani weeeeeee! hovyo kabisa

Kikwete janga kubwa la taifa.
 
Kwa maana hiyo hao wanaojiita Usalama wa Taifa hili ni mazuzu kabisa. Iweje wasigundue hilo mapema? wao ndio wenye kazi ya kuhakikisha usalama hasa wa Ikulu, au wanajua tu kukimbiza misafara na kutugandisha barabarani weeeeeee! hovyo kabisa

mi nashauri hiyo gorofa ya 19 ndio iwe ikulu
 
Mimi sielewi kabisa watu,huyo jamaa kujenga hilo jumba hakua na niambaya,tena hata ikulu hawakua na wasiwasi wowote,sasa hawa waamerika kwasababu za kuwindwa ndio kuzusha hizo kesi,au ndio kuogopa wasi muhit.
 
Kwani hilo jengo limeota ghafla kama uyoga, wakaamka asubuhi wakalikuta lipo? (Hapana)
Limejengwa muda wote kwa siri? (Hapana)
Unaweza kulificha ghorofa refu kwa kuliwekea uzio? (Hapana)
Watu wa Ikulu walikuwa wanapita njia gani kuelekea Ikulu wakati ujenzi ukiendelea? (Njia hiyo hiyo)
Walikuwa hawalioni wakati mkandarasi kaweka na vibao kulitambulisha ujenzi wake? (Waliona)
Hakuna mamlaka za Serikali yetu tukufu zilizobariki ujenzi huo? (Zipo)
Wanausalama wanaotoa assessment zao za kiusalama sasa, hawakuwepo wakati linaanza kujengwa (Walikuwepo)
Walichukua hatua gani kulizuia kwa sababu za kiusalama? (Walinyamaza)
HIVI WATANZANIA WENZANGU, HATUWEZI KUACHA USANII HATA KIDOGO? (Tumejitahidi tumeshindwa)
Sasa mtajeni kigogo aliye "nyuma" ya ghorofa hili, au mnyamaze milele! Tushachoka sisi.
 
Kwani mkaazi wa Ikulu kwa sasa ameacha kutegemea ulinzi wa al marhum Sheikh Yahya Husein?
 
... Mkuu hayo majini labda ndio miungu inayo mlinda kama si Mungu mkuu.... na kwakua Giza na Nuru havichangamani basi analindwa na hiyo miungu ya Yahya Hussein

...vipi kuhusu ule ulinzi wa majini aliowekewa na marehem Sheikh Yahya?...
 
Tanzania nchi ya ajabu sana, kuna mlolongo wa vitu ambavyo vina uhusiano na rushwa kubwa kubwa; sababu haingii akilini jengo hadi linaisha na watu wanahamia then eti tunakurupuka kwamba jengo ni refu ambapo mtu aliyeko juu anaweza kuichungulia ikulu.

Chochote kitakachofanyika, hata kama kuvunjwa au kulikondisha kwa usalama wa taifa - lakini kweli utabaki pale pale kwamba uongozi wa nchi hii una dhaifu - kuanzia ngazi ya chini hadi juu.

Na kama mkiamua kulivunja - jiandaeni kulipa Mabillion kama yale ya Dowans!! sababu mmiliki ana hati halisi, ana ana kibali cha uwekezaji.
 
Kwa maana hiyo hao wanaojiita Usalama wa Taifa hili ni mazuzu kabisa. Iweje wasigundue hilo mapema? wao ndio wenye kazi ya kuhakikisha usalama hasa wa Ikulu, au wanajua tu kukimbiza misafara na kutugandisha barabarani weeeeeee! hovyo kabisa

wamebobea kwenye kung'oa kucha na kunyofoa watu macho tu hao, kwenye usalama ni sifuri kabisa
 
kwakweli ndani ya hii serikali sijaona ambaye anatimiza wajibu wake accuretely, yani kila idara ni uozo mtupu. haya sasa mpaka mgeni aje atukosoe ndio tunashtuka!
 
Kwa maana hiyo hao wanaojiita Usalama wa Taifa hili ni mazuzu kabisa. Iweje wasigundue hilo mapema? wao ndio wenye kazi ya kuhakikisha usalama hasa wa Ikulu, au wanajua tu kukimbiza misafara na kutugandisha barabarani weeeeeee! hovyo kabisa

Kama hujui cha kuandika ni bora ukakaa kimya
 
HAKUNA UWAJIBIKAJI WA MAOFISA WA USALAMA WA RAIS, HAKUNA UWAJIBIKAJI MIPANGO MIJI JIJI NA WIZARANI ! mpaka hii leo lile jengo lilitakiwa liwe limeisha bobomolewa
 
Back
Top Bottom