Tall building a threat to Ikulu

hahaaa hilo nalo NENO,anacheza hata nyau

Aaa wapi...
Marehemu Laurent Kabila aliuwawa na mlinzi wake wa karibu tu, wala hakuhitaji mtu kupanda ghorofani.
Ulinzi mkubwa zaidi kwa rais ni matendo yake mema kwa wananchi waliomchagua...

Embu ona huyu rais wa Uruguay hapa....


images


José Mujica - Wikipedia, the free encyclopedia
 
kwakweli nimekupenda wanyamaze milele tumeshachoka na nyimbo zao za mabata maa madogo yanaogelea.

UOTE=Komeo;7070774]Kwani hilo jengo limeota ghafla kama uyoga, wakaamka asubuhi wakalikuta lipo? (Hapana)
Limejengwa muda wote kwa siri? (Hapana)
Unaweza kulificha ghorofa refu kwa kuliwekea uzio? (Hapana)
Watu wa Ikulu walikuwa wanapita njia gani kuelekea Ikulu wakati ujenzi ukiendelea? (Njia hiyo hiyo)
Walikuwa hawalioni wakati mkandarasi kaweka na vibao kulitambulisha ujenzi wake? (Waliona)
Hakuna mamlaka za Serikali yetu tukufu zilizobariki ujenzi huo? (Zipo)
Wanausalama wanaotoa assessment zao za kiusalama sasa, hawakuwepo wakati linaanza kujengwa (Walikuwepo)
Walichukua hatua gani kulizuia kwa sababu za kiusalama? (Walinyamaza)
HIVI WATANZANIA WENZANGU, HATUWEZI KUACHA USANII HATA KIDOGO? (Tumejitahidi tumeshindwa)
Sasa mtajeni kigogo aliye "nyuma" ya ghorofa hili, au mnyamaze milele! Tushachoka sisi.[/QUOTE]
 
Inachekesha lakini pia inatia kinyaa? Hapo jengo lilipo ni moja ya njia kuu za kutoka ba kuingia ikulu. Hivi viongozi wito na maafisa usalama walikuwa hawalioni au?. Narudia tena hili jambo linatia kichefuchefu hata kulisikia! Watu wawajibishwe na jengo litathminiwe linunuliwe na serikali. Tusisubiri maadui wa take opportunity ya maisha ya rais wetu. Mungu apishe mbali.
Dawa ni moja tu kuhamia Dodoma Kama Nyerere alivyopendekeza kwani aliyajua Haya mapema Ndio Maana akataka ikulu
 
Inachekesha lakini pia inatia kinyaa? Hapo jengo lilipo ni moja ya njia kuu za kutoka ba kuingia ikulu. Hivi viongozi wito na maafisa usalama walikuwa hawalioni au?. Narudia tena hili jambo linatia kichefuchefu hata kulisikia! Watu wawajibishwe na jengo litathminiwe linunuliwe na serikali. Tusisubiri maadui wa take opportunity ya maisha ya rais wetu. Mungu apishe mbali.
Dawa ni moja tu kuhamia Dodoma Kama Nyerere alivyopendekeza kwani aliyajua Haya mapema Ndio Maana akataka ikulu ihamie Dodoma
 
kwakweli nimekupenda wanyamaze milele tumeshachoka na nyimbo zao za mabata maa madogo yanaogelea.

UOTE=Komeo;7070774]Kwani hilo jengo limeota ghafla kama uyoga, wakaamka asubuhi wakalikuta lipo? (Hapana)
Limejengwa muda wote kwa siri? (Hapana)
Unaweza kulificha ghorofa refu kwa kuliwekea uzio? (Hapana)
Watu wa Ikulu walikuwa wanapita njia gani kuelekea Ikulu wakati ujenzi ukiendelea? (Njia hiyo hiyo)
Walikuwa hawalioni wakati mkandarasi kaweka na vibao kulitambulisha ujenzi wake? (Waliona)
Hakuna mamlaka za Serikali yetu tukufu zilizobariki ujenzi huo? (Zipo)
Wanausalama wanaotoa assessment zao za kiusalama sasa, hawakuwepo wakati linaanza kujengwa (Walikuwepo)
Walichukua hatua gani kulizuia kwa sababu za kiusalama? (Walinyamaza)
HIVI WATANZANIA WENZANGU, HATUWEZI KUACHA USANII HATA KIDOGO? (Tumejitahidi tumeshindwa)
Sasa mtajeni kigogo aliye "nyuma" ya ghorofa hili, au mnyamaze milele! Tushachoka sisi.
[/QUOTE]
Dawa ni kuhamia Dodoma
 
kwakweli nimekupenda wanyamaze milele tumeshachoka na nyimbo zao za mabata maa madogo yanaogelea.

UOTE=Komeo;7070774]Kwani hilo jengo limeota ghafla kama uyoga, wakaamka asubuhi wakalikuta lipo? (Hapana)
Limejengwa muda wote kwa siri? (Hapana)
Unaweza kulificha ghorofa refu kwa kuliwekea uzio? (Hapana)
Watu wa Ikulu walikuwa wanapita njia gani kuelekea Ikulu wakati ujenzi ukiendelea? (Njia hiyo hiyo)
Walikuwa hawalioni wakati mkandarasi kaweka na vibao kulitambulisha ujenzi wake? (Waliona)
Hakuna mamlaka za Serikali yetu tukufu zilizobariki ujenzi huo? (Zipo)
Wanausalama wanaotoa assessment zao za kiusalama sasa, hawakuwepo wakati linaanza kujengwa (Walikuwepo)
Walichukua hatua gani kulizuia kwa sababu za kiusalama? (Walinyamaza)
HIVI WATANZANIA WENZANGU, HATUWEZI KUACHA USANII HATA KIDOGO? (Tumejitahidi tumeshindwa)
Sasa mtajeni kigogo aliye "nyuma" ya ghorofa hili, au mnyamaze milele! Tushachoka sisi.[/QUOTE]
 
kwakweli nimekupenda wanyamaze milele tumeshachoka na nyimbo zao za mabata maa madogo yanaogelea.

UOTE=Komeo;7070774]Kwani hilo jengo limeota ghafla kama uyoga, wakaamka asubuhi wakalikuta lipo? (Hapana)
Limejengwa muda wote kwa siri? (Hapana)
Unaweza kulificha ghorofa refu kwa kuliwekea uzio? (Hapana)
Watu wa Ikulu walikuwa wanapita njia gani kuelekea Ikulu wakati ujenzi ukiendelea? (Njia hiyo hiyo)
Walikuwa hawalioni wakati mkandarasi kaweka na vibao kulitambulisha ujenzi wake? (Waliona)
Hakuna mamlaka za Serikali yetu tukufu zilizobariki ujenzi huo? (Zipo)
Wanausalama wanaotoa assessment zao za kiusalama sasa, hawakuwepo wakati linaanza kujengwa (Walikuwepo)
Walichukua hatua gani kulizuia kwa sababu za kiusalama? (Walinyamaza)
HIVI WATANZANIA WENZANGU, HATUWEZI KUACHA USANII HATA KIDOGO? (Tumejitahidi tumeshindwa)
Sasa mtajeni kigogo aliye "nyuma" ya ghorofa hili, au mnyamaze milele! Tushachoka sisi.
[/QUOTE]

Hakuna ufumbuzi zaidi ya kuhamia Dodoma
 
Ahamie Dodoma si ndio kuna makao makuu. Dar Es Salaam anafanya nini?
 
Gharama zote za nini hizo? Wakati kuitisha Uchaguzi mpya ni kama 100Bil tu?

Uchaguzi Ujao 2015 tunaomba Rais awe mzaliwa wa Dodoma ili iwe rahisi kuhamia Dodoma au Kama imeshindikana kuhamia Dodoma basi katiba itengue kauli na kuhamia Tanga au Moro au Kilimanjaro au Arusha au hata Kibaha ili mladi ikulu ikae sehemu tulivu yenye hewa nzuri
 
...vipi kuhusu ule ulinzi wa majini aliowekewa na marehem Sheikh Yahya?...

kikwete ana miaka miwili aondoke. tunapozungumzia usalama wa ikulu, tunazungumzia usalama wa Rais wa Tanzania. awe JK au atakaekuja baada yake
 

AUG132013



JENGO la ghorofa 19 lililojengwa karibu na Ikulu ya Dar es Salaam linadaiwa kuhatarisha maisha ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, UWAZI limefuatilia kwa umakini.

Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, jengo hilo ni refu sana na waandishi wetu waliingia humo mpaka ghorofa ya 19 kisha kuona ukaribu uliopo na kubaini kwamba ni hatari kwa usalama wa ikulu na rais mwenyewe.

Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili walisema kutokana na ghorofa hilo kuwa karibu na ikulu maadui wanaweza kulitumia kwa kupanda hadi juu na kuona kinachofanyika ikulu hivyo kama ni wenye nia mbaya wanaweza kutekeleza uhalifu kirahisi.


MMILIKI WAKE ANA ASILI YA NJE
Jengo hilo linalodaiwa ni la kigogo Mbongo mwenye asili ya Asia (jina tunalo) limekuwa kero katika eneo hilo kiusalama jambo ambalo limesababisha serikali kuingilia kati na kuwasaka walioruhusu ujenzi wake na kuwaburuza kortini.

Baadhi ya wakazi wa jijini Dar waliwalaumu viongozi wa serikali kwa kuacha ujenzi wa ghorofa hilo hadi kumalizika na watu kuhamia ndipo wakachukua hatua.




“Lazima tukiri kwamba kuna matatizo ya utendaji katika serikali yetu. Haiwezekani jengo linafikia ghorofa kumi na tisa ndipo serikali inaona, tunaamini walikuwa wanaona lakini waliamua kukaa kimya mpaka waliposhtuka kwamba, kumbe mtu akiwa juu anaweza kuchungulia ikulu kwa JK,” alisema mwananchi mmoja kwa sharti la kutotajwa jina.
WALINZI WA OBAMA WADAIWA KUWA CHANZO
Kuna habari kwamba, ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama nchini Tanzania Julai Mosi, mwaka huu ndiyo ulioibua mambo mengi juu ya kuwepo kwa jengo hilo kwani maafisa wake wa usalama walikataza watu kupanda hadi ghorofa ya 19 kwa maelezo kuwa wamegundua ni hatari kwa maisha ya viongozi, hasa Rais Obama aliyekuwa ikulu na JK.




Kikosi cha Majasusi wa Marekani (FBI) waliotangulia nchini miezi minne kabla ya ujio wa Obama ndiyo walioishtua serikali kwa kuwaambia watu wa usalama kuwa urefu wa jengo hilo ni hatari kwa ikulu kwa vile maadui wanaweza kulitumia.

FBI WALITEGA MITAMBO YAO JUU YA JENGO

Uchunguzi unaonesha kwamba, kwa vile FBI waliamini usalama wa ikulu ni mdogo kutokana na jengo hilo hivyo walilazimika kuweka mitambo yao juu yake na kuendelea kuwepo hapo kwa saa ishirini na nne kipindi chote cha ziara ya Obama.

FBI WALIONDOA MAGARI CHINI YA JENGO
Vyanzo vyetu vya habari ndani ya ikulu vililitonya Uwazi kuwa, mbali na FBI kuweka mitambo yao ya kiusalama, pia walilazimika kuondoa magari yote yaliyokuwa yamepaki chini ya jengo hilo na kuitahadharisha serikali ya Tanzania kuwa makini na ghorofa hilo.

WAPENDEKEZA JENGO LIVUNJWE
Habari zaidi zinasema FBI hao walipendekeza jengo hilo livunjwe ama liwe la serikali na waishi wana usalama wanaolinda viongozi wa kitaifa.

“Baada ya FBI kutoa taarifa hizo ikulu ndipo ‘mchawi’ alipoanza kutafutwa hadi kufikia hatua ya kukamatwa walioruhusu ujenzi huo,” kilisema chanzo.

KILA KITU KINAENDELEA
Waandishi wetu wamegundua kuwa pamoja na tahadhari iliyotolewa na FBI juu ya jengo hilo, lakini bado shughuli za kila siku zinaendelea sambamba na watu kuishi.

WALIOTOLEWA ‘KAFARA’ NI HAWA
Hivi karibuni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na Msanifu Mwandamizi wa Majengo, Richard Maliyaga walipandishwa kizimbani wakikabiliwa na mashitaka ya kutumia madaraka vibaya kwa kuruhusu ujenzi wa ghorofa hilo karibu na ikulu.

Washitakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka na Wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai mbele ya Hakimu Mkazi Sundi Fimbo.

Washitakiwa walikana mashitaka na kuachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya kuwa na wadhamini watatu wafanyakazi wa serikali waliosaini hati ya shilingi milioni 50.





Souce: Gazeti la Uwazi via Global publisher











Tiba ya yote Haya ni kuhamia Dodoma
 
miye siyo mtaalamu, lakini kwa uelewa wangu mdogo wakala wa majengo (TBA) hawahusiki na kutoa vibali vya ujenzi ila ni ofisi ya municipal ndiyo wahusika. hivyo huyo afisa mtendaji mkuu wa TBA atakuwa amefikishwa mahakamani kwa kosa lingine lakini siyo kutoa la kutoa kibali.
Bora useme wewe issue ya Kimweri iinajulikana na ni takribani mwaka wa pili kama si wa tatu yuko chini ya uchunguzi.Mleta mada ameweka chumvi
 
Na Maisha ya marais watakaomfuata vipi? Hayo yakosalama? Hivi JF sasa inajadili uzushi wa akina Shigongo?
 
suala la hili tumeshajadili sana humu jukwaani ila kwa kua TISS wako bize na chadema ngoja siku wataunda tume kuchunguza kifo cha rais dhaifu.
 
Mimi nadhani watawala wamejua 2015 hawana chao, wanachokifanya ni kutengeneza mazingira ya kuua Rais atakayefuata kinyume na mwenendo wao!
 
Hivi kweli hata Jk hakuona jengo hili?pinda nae?wasira pia?wafanyakazi je?watoto wa vigogo na lukuvi nao hawajaona jamani?TISS nao vp?ujanja mwingi mbele giza.Tena mwanahalisi waliwahi kusema habari hii.basi ndomana tunadharauliwa na pk,jb nk.viongozi wanamna hii hawatufikishi mbali hata ktk maendeleo aise.
 
Jengo la Mwenye nchi ndio maana alikuwa haoni shaka lilivyokuwa likipaa...
 
Back
Top Bottom