Tall building a threat to Ikulu

Tall building a threat to Ikulu

quote_icon.png
By happiness win

Kwa maana hiyo hao wanaojiita Usalama wa Taifa hili ni mazuzu kabisa. Iweje wasigundue hilo mapema? wao ndio wenye kazi ya kuhakikisha usalama hasa wa Ikulu, au wanajua tu kukimbiza misafara na kutugandisha barabarani weeeeeee! hovyo kabisa
Walikuwa na wataendelea kuwa busy kulinda usalama wa magamba na chama chao, busy kuzuia mikutano na maandamano ya cdm na wapinzani wengine, hiyo ndio kazi yao hasa.
 
Kumbe mkuu ritz nawe ulikuwa ukienda pale kwa akina Mkongwe na group lake kupata msosi wa kiswahili na samaki wa ferry huku ukitozwa na vijana wa IFM! Kile kilikuwa kijiwe changu mkuu hasa pale kwa yule General Mstaafu kama unampata ambaye ndiye mwenye ile nyumba.

Nyie Watu kumbe ni wa Hatari yaani watu wa JF ni noma kumbe huwa tunakula misosi pamoja lakini hatujuani kama ni wana JF? Mkongwe kwa Sasa yupo maeneo OP na PPF tower Ndani kuna Nyumba za Zamani za Tanzania Railway Yaani ukimaliza Jengo la Zamani la Voda lililovunjwa limezungushiwa Mabati kuna Mtaa mwembamba Gari Moja tu linapita Ukiingia ndani Utamkuta kajaa Msimuache Mkamuunge Mkono Mkongwe nyie Wakongwe... Kumbe....
 
By Bernard James
The Citizen Reporter
Sunday, 07 August 2011


2.png



The construction of a controversial 19-storey building overlooking State House has prompted security concerns, and the government has demanded to know who authorised the project in the area.The Citizen on Sunday has reliably learnt that State House has come down hard on authorities responsible for urban planning and issuance of building permits, requiring them to explain why they approved one of the tallest structures in the city to be built near the President’s official residence and office.

The approval is in breach of urban planning and security regulations, which set a height zone limit of six storeys in the area. The building, which is located on Chimala Street, near Ocean Road Cancer Institute, is a joint venture between Palm Residence Limited and Tanzania Building Agency (TBA).

“The sanctioning of the project is a good example of how urban planning laws are routinely violated even by government agencies,” Land, Housing and Human Settlements Development Permanent Secretary Patrick Rutabanzibwa said.

“We have to reach a point where such irregularly built structures are pulled down...short of that there will never be any discipline in observing construction regulations,” he added.

A senior Ilala Municipal Council official, who requested for anonymity because he is not authorised to speak to the media, told The Citizen on Sunday that he was among several people summoned to State House over the matter. However, The Citizen on Sunday could not get State House’s reaction, with Chief Secretary Philemon Luhanjo saying yesterday that he was attending an important meeting and was not in a position to comment.

The erection of the structure, which began three years ago, disregards the 1979 Dar es Salaam Master Plan, which set the six storeys as the maximum height for private buildings around State House. Mr Rutabanzibwa said the limit was deliberately set for security reasons.The project also contravenes the Dar es Salaam Central Area Redevelopment Plan of 2000, jointly prepared by the Lands ministry and Ilala Municipal Council, and which bans such structures in the vicinity of State House.

TBA Executive Director Makumba Kimweri admitted that the agency issued the building permit for the structure, adding that he was aware that the project contravened regulations. However, he could not explain why the regulations were flagrantly violated.

Under Section 28 (d) of the Urban Planning Act, 2007, only the municipal planning authority has powers to consider applications and grant permission for land development in any part of the city.This newspaper has seen at least three letters the Lands ministry wrote to TBA, asking the agency to explain how and why the project was approved contrary to regulations, but Mr Kimweri has denied receiving any of them.

“So far we have not received any communication from the Lands ministry over the issue,” he said in a written reply to The Citizen on Sunday late last month.

Several sectoral stakeholders have pinned the blame on both the Lands ministry and the Ilala Municipal Council, saying they could have stopped the project much earlier. They said many developers had shown interest and even sought permission to erect high-rise buildings near State House, but their requests were turned down on security grounds.

The projects include the multi-billion-shilling Mwalimu Nyerere Foundation House, which was to be built on Lithuli Street, a few metres from the State House main entrance. The project was quickly halted when preliminary work had already begun, and relocated. Some real estate and property management experts dismiss the security threat aspect in barring the undertaking of such projects near State House as unfounded. They say advances in security technology means that high-rise buildings should not be such a thorny issue.

“With the technology we have today, such structures are no longer a security threat. Today’s technology can be used to monitor virtually everything going on in buildings near sensitive facilities,” said a senior official with the Construction Registration Board, who asked for anonymity due to the sensitivity of the matter.

He said the government should consider changing the building’s use instead of pulling it down as this would have far-reaching adverse implications.Last week, Prime Minister Mizengo Pinda told Parliament that the matter had already been discussed by senior government officials, adding that it had been forwarded to President Jakaya Kikwete for his final decision.

“We are very much aware of the issue, which has now been forwarded to the President for action. I ask you to be patient until the President gives his word,” he told MPs.A government official familiar with project said State House had been holding talks with the developers on the possibility of the floors beyond the height limit to be reserved for government use.The State House is mostly surrounded by government buildings for security reasons. The headquarters of a number of ministries and state agencies are located in the area.



source :[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]Tall building a threat to Ikulu[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Tiba ya Haya ni kuhamia Dodoma
 
Hamia Dodoma kwani majengo yanayochunguria ikulu yapo mengi hamia Dodoma
 
Nyie Watu kumbe ni wa Hatari yaani watu wa JF ni noma kumbe huwa tunakula misosi pamoja lakini hatujuani kama ni wana JF? Mkongwe kwa Sasa yupo maeneo OP na PPF tower Ndani kuna Nyumba za Zamani za Tanzania Railway Yaani ukimaliza Jengo la Zamani la Voda lililovunjwa limezungushiwa Mabati kuna Mtaa mwembamba Gari Moja tu linapita Ukiingia ndani Utamkuta kajaa Msimuache Mkamuunge Mkono Mkongwe nyie Wakongwe... Kumbe....

Teh teh Mkuu habari ya Mkongwe kuwepo pale ninayo! Eneo la ubalozi wa Msumbiji? Tunaenda mkuu wala usiwe na wasiwasi. Huenda hata kilaji tulikuwa tukipata pamoja kwa mkongwe baada ya saa za kazi.
 
Biashara inayohitaji upeo na werevu wa hali ya juu kuitambua.
 
TISS. LTK, JWTZ na Jeshi la polisi wengi wao ni failed form four , unategemea nini hapo?

Hhahahahahahahahaha....inachekesha lakini very true...hao vimeo walikuwa wapi wakati linajengwa?Mpaka wageni (FBI) wanakuja kuwatonya?Duuh..bongo bana!Hakawi kukuta Kagame keshabook chumba hapo!
 
Mheshimiwa Kikwete ana vitu vingi vya kumkumbukia akitoka Osisini au akitoweka kwenye Uso wa Dunia lakini anaweza kuongeza maono haya, Mahali Ilipo Ikulu ya Nchi hivi sasa hapafai. wakati wa utawala wa Mjerumani na Mwingereza palikuwa sawa kulingana na siasa za Dinia wakati huo lakini hivi sasa panapwaya sana. Nilipata bahati ya kuingia Ikulu siku moja. limekuwa la kizamani kumbi zake ni ndogo na muundo wake ni wa kizamani. Pamoja na kwamba 'Old is dold " lakini kuna haja ya kuliangalia hil upyai. Miundombinu ya magorofa marefu yanayozunguka Ikulu sidhani ni muafaka kwa usalama wa Ikulu si vyema wapangaji wa magorofa hayo wawe wanachungulia kinachofanyika humo ndani, harufu kali ya samaki wanaokaangwa magogoni na harufu isiyopendeza ya pwani ya bahari imepoteza uzuri wake. JK naomba aangalie uwezekano wa kujenga Ikulu mpya sehemu tofauti na ilipo jengo lenye hadhi ya kimataifana la kisasa, lenye miundombinu mipya ya kiusalama na nafasi ya kutosha hata ya kuwa na wiwanja vya kutosha vya serehe na vya herikota inapobidi. Jengo hili liwe miongoni kwa majengo atakayomkabidhi Rais ajaye 2015 Sasa hivi uwezo tunao au mnasemaje wana JF?
 
By Kimbunga Kumbe mkuu ritz nawe ulikuwa ukienda pale kwa akina Mkongwe na group lake kupata msosi wa kiswahili na samaki wa ferry huku ukitozwa na vijana wa IFM! Kile kilikuwa kijiwe changu mkuu hasa pale kwa yule General Mstaafu kama unampata ambaye ndiye mwenye ile nyumba.
Mzee yule alikuwa Kanali Chacha na siyo Jenerali mstaafu kama kukmbukumbu zangu ziko sahihi, dah yaani JF ipo karibu na Jumba Jeupe kupata tetesi, ziwe za Mstaafu Tendwa au utafunaji wa mali za umma ktk mawizara ya jirani au toka kwa wabunge Ofisi ya Bunge.
 
Siku zote walikuwa wapi?je jengo la wazara ya ardhi,elimu na utumishi nayo si zaidi ya ghorofa sita?tuache kukurupuka ktk maamuzi
 
kwakweli nimekupenda wanyamaze milele tumeshachoka na nyimbo zao za mabata maa madogo yanaogelea.

UOTE=Komeo;7070774]Kwani hilo jengo limeota ghafla kama uyoga, wakaamka asubuhi wakalikuta lipo? (Hapana)
Limejengwa muda wote kwa siri? (Hapana)
Unaweza kulificha ghorofa refu kwa kuliwekea uzio? (Hapana)
Watu wa Ikulu walikuwa wanapita njia gani kuelekea Ikulu wakati ujenzi ukiendelea? (Njia hiyo hiyo)
Walikuwa hawalioni wakati mkandarasi kaweka na vibao kulitambulisha ujenzi wake? (Waliona)
Hakuna mamlaka za Serikali yetu tukufu zilizobariki ujenzi huo? (Zipo)
Wanausalama wanaotoa assessment zao za kiusalama sasa, hawakuwepo wakati linaanza kujengwa (Walikuwepo)
Walichukua hatua gani kulizuia kwa sababu za kiusalama? (Walinyamaza)
HIVI WATANZANIA WENZANGU, HATUWEZI KUACHA USANII HATA KIDOGO? (Tumejitahidi tumeshindwa)
Sasa mtajeni kigogo aliye "nyuma" ya ghorofa hili, au mnyamaze milele! Tushachoka sisi.
[/QUOTE]

Biiiiiiig up......wanyamaze Milele tumechoka kwakweli tumechoka kabisa
 
Hatuna ulinzi tena wamarekani wameweka bugs mpaka vyooni ikulu
 
Hatuna ulinzi tena wamarekani wameweka bugs mpaka vyooni ikulu
 
Ni kweli jengo kama hili linaweza likawa ni hatari kwa usalama wa Nyumba ya taifa "Ikulu"
 
Kazi ya usalama wa taifa sio kumlinda raisi siku kazi yao ku-deal na waandishi wa habari vyama vya siasa na wale ambao mitizamo yao inakinzana na serikali

Wanaomlinda Rais kuanzia mabodigadi, madereva wa misafara, maeneo ya mikutano/masherehe na sehemu yoyote atakayokuwepo, kuangalia usalama wa Ikulu, na kutafiti vyote vinavyoweza kuhatarisha usalama wa maeneo yanayozunguka ikulu, au safarini ni moja ya shughuli za watu wa usalama wa Taifa. Pamoja na kwamba kunaweza kuwepo na askari waliopangiwa kazi maeneo hayo, bado usalama wa taifa wanahusika.
 
Mheshimiwa Kikwete ana vitu vingi vya kumkumbukia akitoka Osisini au akitoweka kwenye Uso wa Dunia lakini anaweza kuongeza maono haya, Mahali Ilipo Ikulu ya Nchi hivi sasa hapafai. wakati wa utawala wa Mjerumani na Mwingereza palikuwa sawa kulingana na siasa za Dinia wakati huo lakini hivi sasa panapwaya sana. Nilipata bahati ya kuingia Ikulu siku moja. limekuwa la kizamani kumbi zake ni ndogo na muundo wake ni wa kizamani. Pamoja na kwamba 'Old is dold " lakini kuna haja ya kuliangalia hil upyai. Miundombinu ya magorofa marefu yanayozunguka Ikulu sidhani ni muafaka kwa usalama wa Ikulu si vyema wapangaji wa magorofa hayo wawe wanachungulia kinachofanyika humo ndani, harufu kali ya samaki wanaokaangwa magogoni na harufu isiyopendeza ya pwani ya bahari imepoteza uzuri wake. JK naomba aangalie uwezekano wa kujenga Ikulu mpya sehemu tofauti na ilipo jengo lenye hadhi ya kimataifana la kisasa, lenye miundombinu mipya ya kiusalama na nafasi ya kutosha hata ya kuwa na wiwanja vya kutosha vya serehe na vya herikota inapobidi. Jengo hili liwe miongoni kwa majengo atakayomkabidhi Rais ajaye 2015 Sasa hivi uwezo tunao au mnasemaje wana JF?

Sifa kuu mojawapo ya Watz ni kujikanyagakanyaga, huwa hatueleweki na pengine hatujielewi. Tokea miaka ya 1970 Bunge tukufu na serikali sikivu ya CCM viliishapitisha sheria, sheria halali, kuwa makao makuu ya serikali (ikiwa ni pamoja na Ikulu) ni DODOMA. Sheria hiyo hadi leo hii haijabatilishwa. Kilichotokea ni kwamba wahusika wa kusimamia utekelezaji wa sheria hiyo wamaeamua kula pini tu! Sasa inashanganza kuwalaumu watu waliotoa vibali vya jengo hilo - walijua hiyo Ikulu ingehamia DODOMA muda wowote. Okay, na wewe hoja yako ni muafaka, sasa kwa sababu ulizozitoa, kwa nini usipendekeze kuwa sasa ni wakati muafaka serikali kuhamia DODOMA ambako yote hayo uliyoyaeleza yatatekelezwa bila kupeleka muswada mpya Bungeni????!!!🙁
 
Mimi nashauri ikulu ihamishwe kwa kuwa haifai kufunikwa na majengo marefu. Ikiwezekana ihamishiwe Mbezi au karibu na uwanja wa ndege ili kupunguza vurugu za misafara ya wakubwa mjini
 
Binafsi sioni cha kuumiza kichwa hapa, hakuna ubishi lile ni kosa la watendaji lililo sukumwa na mmiliki wa jingo lenyewe pamoja na vimemo toka sehem sehem. Altenatively lile jengo litwaliwe kuanzia floor ya 6 hadi mwisho iwe mali ya uma na litumike na hao jamaa wa usalama ili kuweka mizania ya usalama sawa. mteja apewe altenative plot kigamboni wanako twaa ajenge tena. hii itakuwa fundisho ile principle ya Buyer be aware ita tumika ili wenye pesa wajue pesa siyo kila kitu. Vyema movement ya kutwaa jengo hilo kwa maslahi ya umma ianzie bungeni.
 
Back
Top Bottom