Jengo lenyewe mali ya serikali, tangia hapo Ikulu wamepanga kuhamia Dodoma
Si waarabu juzi tu wameingia na madege yao kujizolea cha kwetu na watu wapo tu kwenye ajira!Ukiwa hauko serious ata walio chini yako watakukanyaga tuu!
Naona security ilikuwa enzi za mwalimu bwana nowdays ni scurity ya matumbo kwanza
Si mbali utasikia "Serekali kujenga Ikulu mpya nje ya jiji kupisha ujenzi wa hoteli ya kitalii".
Zamani ndio ilikuwa si nzuri kiusalama, lakini hivi sasa ambao kutokana na kukua kwa teknolojia mtu aliwa Marekani anaweza kumtazama Jk akiwa chumbani kwake, aidha kombora linaweza kutupwa maelfu ya kilomita kutoka target yake ilipo na kuongozwa kupanda vilima na kushuka mabonde hadi kwenye target husika haoja hiyo inakuwa haina mashiko sana