TALEBAN na Washirika wao wanachopigania sio vita ya kidini ni kumiliki uzalishaji na masoko ya madawa ya Kulevya ndio maana walivamia Msumbiji

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,907
Asilimia 80 ya madawa yote ya kulevya duniani kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa la kupambana na dawa za kulevya huzalishwa Afghanstan

Taleban chini ya Osama ndio maana waliamua kuiteka Afghanstan ili kumiliki uzalishaji wote wa Drugs na wakawa ndio wasambazaji wakubwa duniani na pesa wanazopata ndizo hutumika kununua silaha KUVAMIA MAENEO MENGINE ya kufungua vituo vipya vya kusambazia madawa yao ya kulevya.Ndio maana pia walivamia Somalia na kuanzisha tawi lao pale la Alshabab ili wamiliki biashara ya Mirungi Somalia ambayo ndie mzalishaji mkubwa wa Mirungi na kushililia bandari ya Kisimayu ambayo walikuwa wakiitumia kuleta madawa yao soko la Africa na kubeba mirungi kupeleka masoko ya Ulaya

Kupanua vituo vyao vya kusambaza madawa yao hasa nchi za kusini na mashariki mwa Africa ndipo waliamua kuvamia msumbiji majimbo ya CABO DELGADO nk yaliyo pwani na kuiteka na kuweka vituo vyao pale vya kupeleka madawa Africa Mashariki na Africa Kusini.Wengi wetu mashahidi JWTZ walikamata tani tatu za madawa ya kulevya pwani yetu yale yalikuwa yakienda msumbiji kwenye ma godown yao naona bahari ilichafuka wakajikuta pwani yetu wakadakwa.

Kuvamia Msumbiji kulikuja baada ya juhudi zao za kutaka kuteka pemba na Unguja waweke makazi yao kupitia siasa kali za kidini na kupitia upinzani kushindikana wakajaribu na Tanzania BARA Mkuranga,kibiti na Rufiji NA Mtwara kwenye bandari ikashindikana ndio wakaamua kuvamia Msumbiji kufungua kituo chao cha usambazaji madawa ya kulevya ndio maana unakuta tani kibao zilidakwa ziliztoka kwao huko kuletwa kwenye dola yao waliyovamia Msumbiji

Kutimuliwa kwao Msumbiji ni ushindi mnono kwenye vita dhidi ya dawa za kulevya za Taleban kuingia Africa Mashariki na Africa ya kusini
 
Asilimia 80 ya madawa yote ya kulevya duniani kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa la kupambana na dawa za kulevya huzalishwa Afghanstan

Taleban chini ya Osama ndio maana waliamua kuiteka Afghanstan ili kumiliki uzalishaji wote wa Drugs na wakawa ndio wasambazaji wakubwa duniani na pesa wanazopata ndizo hutumika kununua silaha KUVAMIA MAENEO MENGINE ya kufungua vituo vipya vya kusambazia madawa yao ya kulevya.Ndio maana pia walivamia Somalia na kuanzisha tawi lao pale la Alshabab ili wamiliki biashara ya Mirungi Somalia ambayo ndie mzalishaji mkubwa wa Mirungi na kushililia bandari ya Kisimayu ambayo walikuwa wakiitumia kuleta madawa yao soko la Africa na kubeba mirungi kupeleka masoko ya Ulaya

Kupanua vituo vyao vya kusambaza madawa yao hasa nchi za kusini na mashariki mwa Africa ndipo waliamua kuvamia msumbiji majimbo ya CABO DELGADO nk yaliyo pwani na kuiteka na kuweka vituo vyao pale vya kupeleka madawa Africa Mashariki na Africa Kusini.Wengi wetu mashahidi JWTZ walikamata tani tatu za madawa ya kulevya pwani yetu yale yalikuwa yakienda msumbiji kwenye ma godown yao naona bahari ilichafuka wakajikuta pwani yetu wakadakwa.

Kuvamia Msumbiji kulikuja baada ya juhudi zao za kutaka kuteka pemba na Unguja waweke makazi yao kupitia siasa kali za kidini na kupitia upinzani kushindikana wakajaribu na Tanzania BARA Mkuranga,kibiti na Rufiji NA Mtwara kwenye bandari ikashindikana ndio wakaamua kuvamia Msumbiji kufungua kituo chao cha usambazaji madawa ya kulevya ndio maana unakuta tani kibao zilidakwa ziliztoka kwao huko kuletwa kwenye dola yao waliyovamia Msumbiji

Kutimuliwa kwao Msumbiji ni ushindi mnono kwenye vita dhidi ya dawa za kulevya za Taleban kuingia Africa Mashariki na Africa ya kusini
ni mapema mno kutangaza ushindi dhidi ya hao jamaa, ni wabishi balaa.. unaweza shangaa wakaibukia Dom.
uko waliko wanajipanga tujipe muda kabla ya kupeana chiazii.
 
Inaonekana una ufahamu mdogo juu ya haya mambo kuna baadhi ya maeneo umeongea uongo
Taleban tangu lini ikawa chini ya Osama au tangu ĺini Somalia ikaongoza kwa kilimo cha miring?
 
Sijawahi kuona mwanaccm mwenye akili.

Taleban/Afghanistan wana uhusiano gani na Islamic state pale Mozambique?

Je, wana uhusiano gani na alkaida pale Somalia?
Wana uhusiano gani na wale mamluki wa kibiti? 😁😁😁
 
Asilimia 80 ya madawa yote ya kulevya duniani kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa la kupambana na dawa za kulevya huzalishwa Afghanstan

Taleban chini ya Osama ndio maana waliamua kuiteka Afghanstan ili kumiliki uzalishaji wote wa Drugs na wakawa ndio wasambazaji wakubwa duniani na pesa wanazopata ndizo hutumika kununua silaha KUVAMIA MAENEO MENGINE ya kufungua vituo vipya vya kusambazia madawa yao ya kulevya.Ndio maana pia walivamia Somalia na kuanzisha tawi lao pale la Alshabab ili wamiliki biashara ya Mirungi Somalia ambayo ndie mzalishaji mkubwa wa Mirungi na kushililia bandari ya Kisimayu ambayo walikuwa wakiitumia kuleta madawa yao soko la Africa na kubeba mirungi kupeleka masoko ya Ulaya

Kupanua vituo vyao vya kusambaza madawa yao hasa nchi za kusini na mashariki mwa Africa ndipo waliamua kuvamia msumbiji majimbo ya CABO DELGADO nk yaliyo pwani na kuiteka na kuweka vituo vyao pale vya kupeleka madawa Africa Mashariki na Africa Kusini.Wengi wetu mashahidi JWTZ walikamata tani tatu za madawa ya kulevya pwani yetu yale yalikuwa yakienda msumbiji kwenye ma godown yao naona bahari ilichafuka wakajikuta pwani yetu wakadakwa.

Kuvamia Msumbiji kulikuja baada ya juhudi zao za kutaka kuteka pemba na Unguja waweke makazi yao kupitia siasa kali za kidini na kupitia upinzani kushindikana wakajaribu na Tanzania BARA Mkuranga,kibiti na Rufiji NA Mtwara kwenye bandari ikashindikana ndio wakaamua kuvamia Msumbiji kufungua kituo chao cha usambazaji madawa ya kulevya ndio maana unakuta tani kibao zilidakwa ziliztoka kwao huko kuletwa kwenye dola yao waliyovamia Msumbiji

Kutimuliwa kwao Msumbiji ni ushindi mnono kwenye vita dhidi ya dawa za kulevya za Taleban kuingia Africa Mashariki na Africa ya kusini
Mbona wao wanasema wanaeneza tuu dini Yao na kujenga nyumba zao za ibada Lila pahala!
 
Takbiiiir Takbiiiir maustadhi tunaumia Sana tukiona magaidi wanauawa huko Msumbiji.
 
Mkuu, hakuna wa kuwatimua msumbiji, bado wapo sana kule
Mkuu vikundi hivyo si vya kuvipigia makofi.....huko usemako wanaoteseka ni WAZEE ,WANAWAKE NA WATOTO.....tusiombe yaingie nchini kwetu.....tuendelee tu kuwa na amani katika vijiwe vyetu vya kahawa na mazungumzo ya Simba na Yanga........
 
Gaidi si mtu mzuri mkuu....

Akikutokea nyumbani huwa hana huruma....

#SiempreJMT
😁😁😁 Maustadhi tunaumia Sana mkuu.Wangewaacha Wala magaidi wasambaze elimu ya Allah kwa kuchinja watu na kuwabaka hapo elimu ndio inaingia vzr mkuu.
 
Asilimia 80 ya madawa yote ya kulevya duniani kwa mujibu wa shirika la umoja wa mataifa la kupambana na dawa za kulevya huzalishwa Afghanstan

Taleban chini ya Osama ndio maana waliamua kuiteka Afghanstan ili kumiliki uzalishaji wote wa Drugs na wakawa ndio wasambazaji wakubwa duniani na pesa wanazopata ndizo hutumika kununua silaha KUVAMIA MAENEO MENGINE ya kufungua vituo vipya vya kusambazia madawa yao ya kulevya.Ndio maana pia walivamia Somalia na kuanzisha tawi lao pale la Alshabab ili wamiliki biashara ya Mirungi Somalia ambayo ndie mzalishaji mkubwa wa Mirungi na kushililia bandari ya Kisimayu ambayo walikuwa wakiitumia kuleta madawa yao soko la Africa na kubeba mirungi kupeleka masoko ya Ulaya

Kupanua vituo vyao vya kusambaza madawa yao hasa nchi za kusini na mashariki mwa Africa ndipo waliamua kuvamia msumbiji majimbo ya CABO DELGADO nk yaliyo pwani na kuiteka na kuweka vituo vyao pale vya kupeleka madawa Africa Mashariki na Africa Kusini.Wengi wetu mashahidi JWTZ walikamata tani tatu za madawa ya kulevya pwani yetu yale yalikuwa yakienda msumbiji kwenye ma godown yao naona bahari ilichafuka wakajikuta pwani yetu wakadakwa.

Kuvamia Msumbiji kulikuja baada ya juhudi zao za kutaka kuteka pemba na Unguja waweke makazi yao kupitia siasa kali za kidini na kupitia upinzani kushindikana wakajaribu na Tanzania BARA Mkuranga,kibiti na Rufiji NA Mtwara kwenye bandari ikashindikana ndio wakaamua kuvamia Msumbiji kufungua kituo chao cha usambazaji madawa ya kulevya ndio maana unakuta tani kibao zilidakwa ziliztoka kwao huko kuletwa kwenye dola yao waliyovamia Msumbiji

Kutimuliwa kwao Msumbiji ni ushindi mnono kwenye vita dhidi ya dawa za kulevya za Taleban kuingia Africa Mashariki na Africa ya kusini
Zwazwa katka ubora wake

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom