Talaka Haijakatazwa

Talaka Haijakatazwa

Kwasisi waislam raha sana talaka ruksa kuoa mke zaidi ya mmoja ruksa

Sent using Jamii Forums mobile app
Inatolewa kwa sharti hiyo talaka....sio umeamka asubuhi chai haijawekwa iriki unatoa talaka...makazi yako motoni tu.......talaka itolewe pale inapobidi na unaona kabisa hakuna namna lazima itoke na si vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo pamoja mkuu, "alichounganisha Mungu asitenganishe binadamu" Tangu lini Mungu akaunganisha watu na starehe zao? Nashangaa wana ndoa wanadundana kila siku wanashindwa kutengana kwa kuogopa huo msemo! Talaka kama kazi hakuna cha kuunganishwa, haunganishwi mtu hapa!hongera waislamu kwa kuliona hilo!
 
Inatolewa kwa sharti hiyo talaka....sio umeamka asubuhi chai haijawekwa iriki unatoa talaka...makazi yako motoni tu.......talaka itolewe pale inapobidi na unaona kabisa hakuna namna lazima itoke na si vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemnyoosha vyema

Wasiojua wanazani ni rahisi kutoa talaka wamepotea kifikra
Wasiojua wasizani kuowa wake zaidi ya mmoja ni rahisi hizi ni fikra potofu pia

Kuna mipaka na masharti yake
 
Umemnyoosha vyema

Wasiojua wanazani ni rahisi kutoa talaka wamepotea kifikra
Wasiojua wasizani kuowa wake zaidi ya mmoja ni rahisi hizi ni fikra potofu pia

Kuna mipaka na masharti yake
Watu wengi ni wakurupukaji katika hayo mambo mawili.......unakuta mtu hajasoma maandiko wala nini ila kwa kua alisikia Fulani anasimulia basi analibeba juujuu......talaka ina sharti zake katika uislamu pia ndoa ya mitala ina sharti zake pia....sasa unakuta limeoa baada ya miezi kadhaa linakwambia nataka kumwacha yule mwanamke ukiuliza sababu anakwambia nimemchoka tu au maisha magumu daaaaah ........hawajui kama wanamchukiza mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupo pamoja mkuu, "alichounganisha Mungu asitenganishe binadamu" Tangu lini Mungu akaunganisha watu na starehe zao? Nashangaa wana ndoa wanadundana kila siku wanashindwa kutengana kwa kuogopa huo msemo! Talaka kama kazi hakuna cha kuunganishwa, haunganishwi mtu hapa!hongera waislamu kwa kuliona hilo!
Hili ni la wote wafatao vitabu vya Mungu
Tatizo mnatafsiriwa mandiko badala ya kufundishwa
 
Back
Top Bottom