Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,911
- Thread starter
- #21
Talaka muhimu.kama upo tayar kukaa na mke au mume unajua anytime anabeba ukimwi nje na kuuleta ndani ni wewe.
Binafsi sikubali kuangamia naona kisa kanisa lasema no talaka after ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani biblia ipo wazi, inasema kulingana na muono wa muoaji