Yap wanaweza..unapoinstall app kuna kipengele cha "allow"...pale ndo unawapa access ya kila kitu
Namba yako si wanayo au????Ukisha uniinstall app yao wanakuwa hawana namna yoyote ya kukutrack.
Sent using my Nokia Torch



Wtabaki na namba tu...hapo ndo wataweza kkpigia na kkutumia text....ila kama una app yao kwenye sim....kumbuka kutowasha location(gps)....maana n sekunde tu wtajua ulipo
tuliogoma kulip mideni yao ilojaa riba chukizi tujuane.... Hii habari nzr km inaukwl lkn... Looh watatext Mpkwachoke.. Tz kila mtu kapinda kivyake hawakusom alama nyakati hz za mfarakano wa uchumiAnzisha kampuni yakoMtu wa masoko wa TALA kazubaa sana ebu atupe siye hiyo kazi ya kukusanya madeni yani mwezi mmoja tu hatutumii mtu meseji wala nini watalipa wenyewe bila shuruti
Mimi nimeuza simu...kitambulisho kimepotea na namba za simu pia nimetupa line....watanipata wapi ....hawawezi kunipa mkopo mdogo wakati mi nalipa pesa kubwa huo ni wizi nasema kampuni ifutwe kabisa.....Wtabaki na namba tu...hapo ndo wataweza kkpigia na kkutumia text....ila kama una app yao kwenye sim....kumbuka kutowasha location(gps)....maana n sekunde tu wtajua ulipo
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahahahHuu Uzi ndio unaonyesha Wabongo ni watu wa aina gani!
Hivi hawa jamaa walikuwa wageni na Wabongo![]()
Ahahaa Ila tala wamekopesha jamani.mi mara ya tano nilivokopa 40 ndo sijaonekana huko tenaAfadhali nilikopa Mara tano mfululizo nalipa muda sahihi hawaniongezei kiwango nikasema silipi tena Deni Lao.
Ahahaaa mbona kwangu hawatumi na wananidai?Mambo ya TALA haya.. kwa hali hii ya magu watu hatuogopi vitisho tenaView attachment 1050957
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaaaa duhEssay yao iyo wanayonitumia dailyView attachment 1051003View attachment 1051005
Sent using Jamii Forums mobile app
riba yao kubwaH
hapo ndo namimi waliponiuz. Unakopa hawaongez kiwango wizi mtupu
Sas mdaiwa anashitakiwa vip? Acha wafungiwe wadaiwa wale bataNao ni wahujumu uchumi, wangojee kesi yao