Dusty Foot
JF-Expert Member
- Dec 15, 2014
- 228
- 300
Naona Tala imewasaidia wengi humu ndani..Saivi mnabaki kuichongea tena
Mdaiwa hafungwi,Lipa mkuu watakufunga
Kuna jamaa angu wamemsumbua hadi keroMdaiwa hafungwi,
Kwa jinsi nilivyoelewa hapa Wanachokosea hawa TALA ni kuleta vitisho naona. Wangekua wanapiga simu labda wanakuuliza kistaarabu umekwama wapi, na una mpango upi wa kurudisha ingewasaidia zaidi kukusanya madeni. Lakini vitisho vyao vimekua kero
Mkuu TALA ndio nini?Naona Tala imewasaidia wengi humu ndani..Saivi mnabaki kuichongea tena
Kwani mkuu huwezi kubadilisha laini..Kuna jamaa angu wamemsumbua hadi kero
jamani TALA ndiyo nini mimi siijui msinichekeTRA wamewashtaki kwa kuingiza vifaa vya mawasiliano bila kibali, kuwa na server ambayo inatumika bila kibali, kutumia mitambo ya mawasiliano bila kibali, kuitia hasara serikali ya shirikisho 60,260,000, na kosa la mwisho ni UHUJUMU UCHUMI.
Viongozi wake wawili wamepelekwa mahabusu kwa kuwa mahakama haina uwezo wa wa kusikiliza kesi ya UHUJUMU uchumi.
acha utani mkuu sijui kweli ujue?LEWA TALALILA
jamani TALA ndiyo nini mimi siijui msinicheke
acha utani mkuu sijui kweli ujue?
ok da sikuwahi kuwasikia hao jamaa na nikweli walikuwa wanatoa bila mashart magumu?Walikuwa wanatoa mikopo kwa njia ya mtandao
Utasikia et wana rb, Mara wanakuweka kwenye magazeti, nikajua hawa wasanii tuMdaiwa hafungwi,
Kwa jinsi nilivyoelewa hapa Wanachokosea hawa TALA ni kuleta vitisho naona. Wangekua wanapiga simu labda wanakuuliza kistaarabu umekwama wapi, na una mpango upi wa kurudisha ingewasaidia zaidi kukusanya madeni. Lakini vitisho vyao vimekua kero
😔😔😔 mama weeNao ni wahujumu uchumi, wangojee kesi yao
Mm nililipa kwa muda sahihi hawakuniongezea kiasi nikawakachaAfadhali nilikopa Mara tano mfululizo nalipa muda sahihi hawaniongezei kiwango nikasema silipi tena Deni Lao.