TALA wala rungu la TRA

TALA wala rungu la TRA

Kupenda kunyoa wenzao, wakisahau nawo lazima wanyolewe pia!
Walipe deni lao kama sisi tunavyolipa lao...
 
Wapo wasioijua hiyo TALA wengine wapo zimbabwe
Mnapoleta thread muandike kwa kueleza inahusiana na nini
Mbona mnatunyima uhondo wa comment za watu ili tuwajue na sisi TALA


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
bado wale wazee wa cryptocurrency wa pale jangid mbuyuni. FINTEGRI hiki kitawakumba soon
Niliona katika habari ya Ch10 jioni hii, wamepewa makosa matano.

TRA wamewashtaki kwa kuingiza vifaa vya mawasiliano bila kibali, kuwa na server ambayo inatumika bila kibali, kutumia mitambo ya mawasiliano bila kibali, kuitia hasara serikali ya shirikisho 60,260,000, na kosa la mwisho ni UHUJUMU UCHUMI.

Viongozi wake wawili wamepelekwa mahabusu kwa kuwa mahakama haina uwezo wa wa kusikiliza kesi ya UHUJUMU uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom