TALA wala rungu la TRA

TALA wala rungu la TRA

Niliona katika habari ya Ch10 jioni hii, wamepewa makosa matano.

TRA wamewashtaki kwa kuingiza vifaa vya mawasiliano bila kibali, kuwa na server ambayo inatumika bila kibali, kutumia mitambo ya mawasiliano bila kibali, kuitia hasara serikali ya shirikisho 60,260,000, na kosa la mwisho ni UHUJUMU UCHUMI.

Viongozi wake wawili wamepelekwa mahabusu kwa kuwa mahakama haina uwezo wa wa kusikiliza kesi ya UHUJUMU uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
TRA ilimaanisha TRA au TCRA
 
Wamenitumia sms et nimebaki peke yangu ninaye daiwa hivyo watanianika kwenye tovuti na kwenye magazeti...na subiri show.. na hatimaye wame anikwa wao

Sent using Jamii Forums mobile app



jahahaa.mna guts gan kukopa hizo instutions jaman hahaha...mie bora nibak kapuku hvhv..sipend kero..kuna kidogo changu nacho kilikopa bas kilikua kinanistress balaa...oh wamesema wana rb hahaha ikabid nimlipie...!mie sitak kbs
 
Niliona katika habari ya Ch10 jioni hii, wamepewa makosa matano.

TRA wamewashtaki kwa kuingiza vifaa vya mawasiliano bila kibali, kuwa na server ambayo inatumika bila kibali, kutumia mitambo ya mawasiliano bila kibali, kuitia hasara serikali ya shirikisho 60,260,000, na kosa la mwisho ni UHUJUMU UCHUMI.

Viongozi wake wawili wamepelekwa mahabusu kwa kuwa mahakama haina uwezo wa wa kusikiliza kesi ya UHUJUMU uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bai bai mikopo chonganishi

Jr
 
Essay yao iyo wanayonitumia daily
Screenshot_20190322-085842.jpg
Screenshot_20190322-085836.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom