joyce francis
Member
- Aug 28, 2016
- 15
- 2
Wamenitumia sms et nimebaki peke yangu ninaye daiwa hivyo watanianika kwenye tovuti na kwenye magazeti...na subiri show.. na hatimaye wame anikwa wao
Hhhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamenitumia sms et nimebaki peke yangu ninaye daiwa hivyo watanianika kwenye tovuti na kwenye magazeti...na subiri show.. na hatimaye wame anikwa wao
Hhhh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv wanauwezo wa kukutrack?Kwa hiyo ule mkopo niliokopa na kutishiwa kupelekwa mahakamani kila leo ndio basi tena,
Kweli kifo cha kunguru furaha kwa panzi
CC Zero IQ
Sasa hv hukopi mpk utume selfie yako.Ngoja na Mimi niwakope aisee,haiwezekani hii bahati inipite hivi
Selfie ya nini tena,ili watuweke kwenye mitandao kuwa ni wadaiwa sugu?
Mi mwenyew mwezi huu lolote linaweza tokea nimelipa mara tatu afu bado kiwango hawajapandisha jiwe aendelee kuwa kamua.Afadhali nilikopa Mara tano mfululizo nalipa muda sahihi hawaniongezei kiwango nikasema silipi tena Deni Lao.
Kuna jamaa angu anadaiwa na Hawa watu kiasi kikubwa Cha pesa. Naamini akiona bandiko hili atafurahi Sana.Niliona katika habari ya Ch10 jioni hii, wamepewa makosa matano.
TRA wamewashtaki kwa kuingiza vifaa vya mawasiliano bila kibali, kuwa na server ambayo inatumika bila kibali, kutumia mitambo ya mawasiliano bila kibali, kuitia hasara serikali ya shirikisho 60,260,000, na kosa la mwisho ni UHUJUMU UCHUMI.
Viongozi wake wawili wamepelekwa mahabusu kwa kuwa mahakama haina uwezo wa wa kusikiliza kesi ya UHUJUMU uchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app







KwakweliMi mwenyew mwezi huu lolote linaweza tokea nimelipa mara tatu afu bado kiwango hawajapandisha jiwe aendelee kuwa kamua.
Angalizo unaweza lipa deni safar hii afu usikopeshwe kama stone kawachekecha.
*Ova*
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee wawapi hujui TALA wala BRANCH? Nyie ndo muda wote kwenye mtandao mnatafuta papuchiok da sikuwahi kuwasikia hao jamaa na nikweli walikuwa wanatoa bila mashart magumu?
inatakiwa mnishukuru na kunipa pongezi mimi hapa ndo nimewachongea kwenye taasisi maana walikua wananisumbua sana
Mimi mwenyewe nasikilizia hapa,mara paap,kampuni imefutwaNa wanaodaiwa na Tala kwa zile riba zao za kichawi sheria inasemaje?




Upo sahihi kabisa,ngoja nicheki upepo kwanzaMi mwenyew mwezi huu lolote linaweza tokea nimelipa mara tatu afu bado kiwango hawajapandisha jiwe aendelee kuwa kamua.
Angalizo unaweza lipa deni safar hii afu usikopeshwe kama stone kawachekecha.
*Ova*
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna kushinda ila usifuzu kwenda popote inabid tujigawe wengine tuombe lesotho apigweUsihofu sali Sana Taifa staz ishinde Leo utakaa na naibu prezidaa kutumbua Eagle za jero jero na balimi kwa Mia 8
Kitu kimoja nilichogundua baada ya kupitia huu uzi ni kwamba tunapenda kukopa na tusipolipa tunajiona wajanja wakati ni uzuzu wa kiwango cha PHD yaani uaminifu ni zerooooo.