TALA wala rungu la TRA

TALA wala rungu la TRA

Afadhali nilikopa Mara tano mfululizo nalipa muda sahihi hawaniongezei kiwango nikasema silipi tena Deni Lao.
Mi mwenyew mwezi huu lolote linaweza tokea nimelipa mara tatu afu bado kiwango hawajapandisha jiwe aendelee kuwa kamua.
Angalizo unaweza lipa deni safar hii afu usikopeshwe kama stone kawachekecha.



*Ova*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliona katika habari ya Ch10 jioni hii, wamepewa makosa matano.

TRA wamewashtaki kwa kuingiza vifaa vya mawasiliano bila kibali, kuwa na server ambayo inatumika bila kibali, kutumia mitambo ya mawasiliano bila kibali, kuitia hasara serikali ya shirikisho 60,260,000, na kosa la mwisho ni UHUJUMU UCHUMI.

Viongozi wake wawili wamepelekwa mahabusu kwa kuwa mahakama haina uwezo wa wa kusikiliza kesi ya UHUJUMU uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa angu anadaiwa na Hawa watu kiasi kikubwa Cha pesa. Naamini akiona bandiko hili atafurahi Sana.

Itakuwa Ni mwendo wa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema ukweli, nami ni mkopaji mzuri tu wa hizi taasisi janja janja.
Nilianza na m-pawa mwaka 2015 kw kukopa 80,000/=
Nikaja Tala mwaka jana nilikopa 100,000/=
Branch nao mwaka jana nilikopa 60,000/=.
Wote wananitumia sms za vitisho daily la bado sijisikii kuwalipa maana riba zangu wamezikula sana tu.
 
Haaa hii mikenya haiishi kunitisha kila mara kumbe nayo mihujumu uchumi inikome eti wakikukopesha laki mbili riba yao elfu hamsini siwalipi na wala vitisho vyao siviogopi kwanza vyuma vimekaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita vya panzi furaha ya kunguru huu ni muda wa kumdonoa tala na kumla na bia au soda taratibu
 
Mtu wa masoko wa TALA kazubaa sana ebu atupe siye hiyo kazi ya kukusanya madeni yani mwezi mmoja tu hatutumii mtu meseji wala nini watalipa wenyewe bila shuruti
 
Usihofu sali Sana Taifa staz ishinde Leo utakaa na naibu prezidaa kutumbua Eagle za jero jero na balimi kwa Mia 8
inatakiwa mnishukuru na kunipa pongezi mimi hapa ndo nimewachongea kwenye taasisi maana walikua wananisumbua sana
 
Usihofu sali Sana Taifa staz ishinde Leo utakaa na naibu prezidaa kutumbua Eagle za jero jero na balimi kwa Mia 8
kuna kushinda ila usifuzu kwenda popote inabid tujigawe wengine tuombe lesotho apigwe
 
Kitu kimoja nilichogundua baada ya kupitia huu uzi ni kwamba tunapenda kukopa na tusipolipa tunajiona wajanja wakati ni uzuzu wa kiwango cha PHD yaani uaminifu ni zerooooo.

Mkuu

Kuna majitu majuha sana nchi yetu hii....Jitu linakopa halafu linapodaiwa linaona eti linaonewa!

Ndio maana tutaishia kua masikini hivi hivi milele.

Majitu bure kabisa!
 
Back
Top Bottom