- Thread starter
- #181
Yote niliyoandika ni kweli. Na ushahidi ninao mwingi tu.Hili la nauli ni uongo wa mchana,mbona ushahidi haipo? Nimesafiri siku za karibuni mbona sijakutana na Hilo? Mbona watu wasilalamike?
Nida huko Kuna shida Toka kitambo sana Hadi Leo haijulikani shida ni ipi maana Kila Bunge Hawa wanasemwa ila hakuna kinachobadilika,labda Bunge litengeneze azimio.
Kuhusu Petrol ni kawaida kukiwa na uhaba lazima wafanyabiashara watumie fursa hiyo kutafuta faida kubwa,japo binafsi Mkoa wangu hiyo shida haipo Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini mafuta yapo na bei ni Ile Ile sijui Kwa Vijijini.
Kuhusu Mwendokasi Wala hakuna shida uzuri mkataba uko clear ukijenga chini ya kiwango Kuna kipindi Cha Matazamio ikiharibika mkandarasi atarudia Kwa gharama yake.mfano wale waliopita Barabara ya Mpemba -Isongole na Mpanda-Tabora na Sumbawanga -Kasanga mtaona Kuna sections kibao wakandarasi wamefumua na wanarudia.
Bunge litoe azimio kuhusu nida Ili tujue shida Iko wapi
Siandiki uongo hapa, ili iweje.
Hilo la nauli, sijataka kuandika linavyofanyika. Nimefanya "due diligence" kidogo. Kwa hiyo ukiwa hujafuatilia jambo, usiseme tu eti uongo.
Hiyo barabara ya mwendokasi Mbagala, ishu sio hicho kipengele cha kuja kurudiwa, hii barabara imeanza kuharibika hata matumizi bado .
Na vituo n.k ni substandard.
Barabara ya KIMARA iko imara na inatumika mwaka wa 7 sasa, hii inameguka, mashimo, unasema kipengele cha kurudiwa?! Shit