Taja(sema)unatumia simu gani?

natumia latest version ya apple+ipad+iphone.

Yaani huwa naongea yenyewe inatype tu.
 
Ya tochi ninayo halafu ndo nimeiwekea tigo na ile line ya kijanja nimeweka kwenye nokia c3-01
 
Sina simu mchango wenu unahitajika wa hali na mali angalau na mie niwe kwenye mtandao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ