Enigma
Senior Member
- Feb 29, 2008
- 109
- 62
Kwa mara nyingine malalamiko yametolewa dhidi ya Mmiliki wa vyombo vya habari vya IPP Bw. Reginald Mengi. Huko nyuma amewahi kulalamikiwa na Mbunge wa Mkuranga Mhe. Adam Malima na muda si mrefu uliopita amelalamikiwa na mfanyabiashara mwingine Bw. Yusuph Manji.
Hata hivyo safari hii analalamikiwa na chombo cha TAJA (Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania). Katika barua ifuatayo ambayo nakala yake ametumiwa Rais Kikwete watu wataja wanatoa madai mazito na yenye utata dhidi ya mzee Mengi. Hata hivyo kwa yeyote atakayesoma kwa macho huru ataona kitu kingine kilichofichika.
Amueni wenyewe uzito, ukweli, na mantiki ya madai haya.
Hata hivyo safari hii analalamikiwa na chombo cha TAJA (Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania). Katika barua ifuatayo ambayo nakala yake ametumiwa Rais Kikwete watu wataja wanatoa madai mazito na yenye utata dhidi ya mzee Mengi. Hata hivyo kwa yeyote atakayesoma kwa macho huru ataona kitu kingine kilichofichika.
Amueni wenyewe uzito, ukweli, na mantiki ya madai haya.